Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kubaki hapa hapa jfHakuna Mkuu wa Wilaya anataka kuacha kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi na kuwahudumia Watanzania ili aje kwenye Chama ambacho kazi yake ni kugomea kila kitu
Leo niko huko pia mimi mkuuNashukuru ila mimi siyo Mnyika , naitwa Erythrocyte natokea Kyela , Mbeya
Nywanina.!! Kweli wewe ni ntuzuBanantuzu huwa hatuchezewi!
Tena ana bahati alipona. Nywanina gete! [emoji51][emoji51][emoji51]
Hana nafasi yeyote huyoHuyu atatukoroga sana huyu bado ana mawasiliano na Polepole.
Mimi ni miongoni mwa watu makini niliyefatilia kisa cha Elia Fanuel Kuhamia CCM.Hawa vijana waliondoka CHADEMA wenyewe kwa kununuliwa baada ya kushawishiwa , huku wengine wakihamia ccm baada ya vitisho, yeyote anayeogopa vitisho vya watawala hafai kwenye siasa za upinzani.
Ninatambua msululu wa wasaliti wanaoomba kurejea CHADEMA, wakiwemo Wakuu wa Wilaya wawili ambao wako tayari kuachia vyeo na kurudi walikotoka (Haifamiki walichokisahau), Bali naitahadharisha sana Chadema kuwa makini inapowapokea watu hawa , ni kweli kwamba mtaji wa chama cha siasa ni watu, Lakini ni lazima WATU HAO WAWE BINADAMU.
View attachment 2176348
🤣🤣🤣Huyu atatukoroga sana huyu bado ana mawasiliano na Polepole.
woote watarudi hata akina Halima huko waliko hawana Raha kabisa.Alisharudi kitambo sn, ingia Twitter utaona, hapa huku Rombo mkuu anashinda ofisi za CHADEMA
Hao wanasiasa dhaifu wamerudi chadema??Mnajinasibu kuwa ninyi ni chama kikuu cha upinzani na kuwa mnainfluence kubwa sasa inakuwaje mnashangilia mtu aliyekimbilia kupoza njaa kwa utendaji wa kijiji?
Sasa hivi mtakuwa mnaiita press Conference kila magalasa yanaporudi Chadema.
Maana Chadema yenu ilishapoteza mvuto na ushawishi kwa jamii.
Nilitegemea Dk Mollel arudi Chadema ili mtikise watu kisiasa.
Acha kujitoa ufahamuHao wanasiasa dhaifu wamerudi chadema??
Ukikosa akili unaongea lolote linalokutoka mdomoni🤣🤣
Mfumuko wa bei umefumua bongo za watu.Hao wanasiasa dhaifu wamerudi chadema??
Ukikosa akili unaongea lolote linalokutoka mdomoni🤣🤣
Acha kujichetua.Mfumuko wa bei umefumua bongo za watu.
Huyu naona na tumbo litapasuka.Mfumuko wa bei umefumua bongo za watu.
Na kweli[emoji38][emoji38]Mfumuko wa bei umefumua bongo za watu.
Mkuu, usimpe sifa ambayo hana! Huyo KIUMBE hana UFAHAMU wowote!Acha kujitoa ufahamu