Kutambua uwezo wa akili kati ya mtu mweusi na mweupe angalia Korea Kaskazini na Iran dhidi ya Mataifa ya Afrika

Kutambua uwezo wa akili kati ya mtu mweusi na mweupe angalia Korea Kaskazini na Iran dhidi ya Mataifa ya Afrika

Ukitaka kutambua utofauti wa uwezo wa akili baina ya mtu mweusi na mweupe.

Tazama namna North Korea yenye vikwazo chungu nzima, Iran yenye vikwazo chungu nzima dhidi ya mataifa ya kusini mwa jangwa la Sahara usiisahau nchi ya Tanzania.

NB: Napo sisitiza kuwa uwezo wa kiakili wa mtu mweupe haupo sawa na wa mtu mweusi tuwe tunaelewa.
Kaka Iran ilikuwepo hata kabla ya Yesu pamoja wakina North Korea!
 
Kila dhana ina upande kinzani. Ukidai Kuna mwanaume kwa upande mwingine Kuna mwanamke.

Kijiji vs mji. Mwerevu vs mpumbavu. Hata huko Ulaya Kuna masikini vs matajiri. Mfano Ureno ni nchi masikini na inategemea misaada fulani toka EU.

Kipimo halisi cha werevu ni kiwango cha ujinga

Kipimo cha utajiri ni kiwango cha umasikini.

Wengine tunaona Ulaya ni werevu na matajiri kwa sababu Afrika Kuna umasikini mwingi na wajinga wengi
Haya wewe kiinchi chako cha hovyo kina fanana na nchi gani ya ulaya ?
 
Ukitaka kutambua utofauti wa uwezo wa akili baina ya mtu mweusi na mweupe.

Tazama namna North Korea yenye vikwazo chungu nzima, Iran yenye vikwazo chungu nzima dhidi ya mataifa ya kusini mwa jangwa la Sahara usiisahau nchi ya Tanzania.

NB: Napo sisitiza kuwa uwezo wa kiakili wa mtu mweupe haupo sawa na wa mtu mweusi tuwe tunaelewa.
Kwani jirani yako mkigombana akakwambia usikanyage kwake hicho ni kikwazo. Kikwazo mtu anakiweka kwenye ubongo wake. Angalia Haiti imepata uhuru miaka 300 iliyopita kutoka kwa ufaransa na mpaka Leo inateswa na kipindupindu na Haina kikwazo chochote
 
Kwani jirani yako mkigombana akakwambia usikanyage kwake hicho ni kikwazo. Kikwazo mtu anakiweka kwenye ubongo wake. Angalia Haiti imepata uhuru miaka 300 iliyopita kutoka kwa ufaransa na mpaka Leo inateswa na kipindupindu na Haina kikwazo chochote
So, unakubaliana na uzi ?
 
Mfano Ureno ni nchi masikini na inategemea misaada
Kuna baadhi ya Weupe wanadai kuwa Wareno walikuwa ni Super power enzi za zamani na ndio walikuwa wa kwanza kujizolea makoloni Afrika na kuchukua Watumwa wengi.

Wanadai kuwa Wareno walizaana sana na Watumwa weusi kutoka Mozambique Angola Cape Verde nk ndio maana wamekuwa maskini na hohe hahe na viwango hafifu vya IQ vya kuvukia barabara.

Source: stormfront
 
Kuna baadhi ya Weupe wanadai kuwa Wareno walikuwa ni Super power enzi za zamani na ndio walikuwa wa kwanza kujizolea makoloni Afrika na kuchukua Watumwa wengi.

Wanadai kuwa Wareno walizaana sana na Watumwa weusi kutoka Mozambique Angola Cape Verde nk ndio maana wamekuwa maskini na hohe hahe na viwango hafifu vya IQ vya kuvukia barabara.

Source: stormfront
Hii mpya sana
 
Hii ilisababishwa na kitu kinaitwa adaptation.
Mazingira yetu hayasababidha akili yetu kua evolve maana mahitaji yalikua yanapatikana kirahisi na watu walikua scattered.
Wenzetu mazingira yaliwalazimisha kutumia akili ya ziada kukabiliana nayo,
Mf uwepo WA baridi uliwalazimisha kuwa na technology Bora ya nyumba
 
Hata humu mada za kipuuzi zina mamilioni ya wasomaji na wachangiaji kwa mfano "kula tunda kimasihara" "mada ya unywaji pombe" nadhani kuna ukweli wa asilimia fulani kwenye uhafifu wa IQ za Mwafrika mweusi.
 
Tuachane na Iran na NK.

Haya wewe mwafrika unataka ujipende kwa kitu gani cha maana ulicho nacho ?
Unauliza "wewe mwafrika unataka ujipende kwa kitu gani cha maana ulicho nacho?"
Orodha ni ndefu, watakupatia Waafrika wengine hapa jf; ila kwa sasa hapa nilipo najivunia hewa safi sina haja ya kuvaa barakoa na maji safi hayana sumu za takataka za nyuklia.
 
Tuachane na Iran na NK.

Haya wewe mwafrika unataka ujipende kwa kitu gani cha maana ulicho nacho ?
Watu wanapambana kulinda himaya zao dhidi ya mafedhuli anaona n waangamizi.

Anasahau ulimwengu ulivyoumbwa ni kwa wenye msuli tuu huna utapangiwa hadi ratiba ya kumla mkeo.
 
Mimi huwa najiuliza ilikuwaje sisi Wabantu tukasombwa na kwenda kuuzwa kama mifugo na hawa Wamanga pori?

Mbona Maasai waliogopwa kama ukoma?
Fact n nyingi mojawapo n decide and rule,mnagombanishwa walioshindwa wanauzwa au wengine wanatekwa kwa kua hawana himaya za kuwalinda tena.
Maasai waliogopwaje?
 
Kuvaa Mawigi ya nywele za kiasia pia kunaonyesha uhafifu wa akili.
 
Unauliza "wewe mwafrika unataka ujipende kwa kitu gani cha maana ulicho nacho?"
Orodha ni ndefu, watakupatia Waafrika wengine hapa jf; ila kwa sasa hapa nilipo najivunia hewa safi sina haja ya kuvaa barakoa na maji safi hayana sumu za takataka za nyuklia.
We unaekunywa maji safi na hewa safi umemzidi nini ambae hana ivyo.
Tuache kujifariji tubadilike ili tuache kudharaulika huko duniani.
 
Back
Top Bottom