ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Mkuu ingia kwanza ngomani, kama utaweza kuvumilia kwa mda mrefu huku mmelala same bed, kama kweli kipindi cha ujauzito hadi miezi mitatu baada ya kujifungua utaweza kuvumilia, basi nitakupà Nobel prize mzee.😂Ntafurahi sana maana matokeo ya kuacha kujiendekeza yatakuwa mazuri sana!😅 Wapo wanawake wengi tu ambao wanajitambua mbona ntaruka nao kimya kimya.
Wengine mbunye sio ishu ya kila siku ila ukihitaji unaitaka kwa wakati. Mwanamke analiwa mara moja kwa week na bado aniletee ungese wa namna hio atafurahi!