sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wala sio discipline huo ni udhaifu
Samahani kama kuna watu watakwazika
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wala sio discipline huo ni udhaifu
Samahani kama kuna watu watakwazika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] so akizingua tuu unatafuta side chickKuwa na pisi moja sio kazi kwangu hata kwa miaka 10 tunaweza ishi kama one-to-one function. I been a one woman guy for years. Kinacholeta utata ni huwa sipendi mwanamke aninyanyase in any way!
Sharti ni moja tu nikitaka mbunye asianze viji sababu vya kinaa vile mara oh nimechoka..,we kila siku unataka tu...,ntakupa asubuhi!
Ukiona umeanza usumbufu kunipa tunda mpaka tuanze kutongozana upya ni swala la muda tu[emoji28] we jiandae kisaikolojia.
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Taratibu akili zinawarudia.
Sio kujiendekeza just a natural feeling unahitaji sex but not from your woman. Some new different testInawezekana mkuu, ni swala la kuamua tu, na watu wote wanaweza hii sema tu huwa wanaamua kujiendekeza
Kujiendekeza maana yake nini? Hivi huwa mnadhan kuwa na one woman is an esay task?
n kujiendekeza tu hakuna kingne, kila kitu kinaanzia kichwani.
Na ndyo maana watu wa hiv hamuoi, maana mnaona mtakosa uhuru wenu wakuhangaika na dunia. Ukishajipenda na kuthamin afya yako huwez kufanya vtu kama hvyo, n kutokana na kujikinai(weng hudhan n urijali)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ninashuhudia kwamba mwanaume kuwa na mwanamke mmoja ni kujitafutia kifo cha mapema ,serious mmoja kweli lahaula la kuta kama roho!!? Utafeli mi nilijaribu ila nikafail mapema mno izi papuchi za kimasihara ziliniponza
We ni me au KE? wapo wanaooa na bado wana side chicks, ni ele tu tunatofautiana ktk kuficha siri
n kujiendekeza tu hakuna kingne, kila kitu kinaanzia kichwani.
Na ndyo maana watu wa hiv hamuoi, maana mnaona mtakosa uhuru wenu wakuhangaika na dunia. Ukishajipenda na kuthamin afya yako huwez kufanya vtu kama hvyo, n kutokana na kujikinai(weng hudhan n urijali)
Huwa sipendi kero za reja reja😅 kama utashindwa kuishi kama mpenzi wangu basi usitegemee miujiza. Hilo sharti ni jepesi mno.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] so akizingua tuu unatafuta side chick
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Sema huna hela au nguvu za kiume wewe kula korosho alafu tafuta sana pesa utakuja kumuelewa mtoa madaSema huwezi ww Tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado hujaoa... ukioa utakutana na mambo mengine mengi mzeee tegemea excuse zakutosha.Huwa sipendi kero za reja reja[emoji28] kama utashindwa kuishi kama mpenzi wangu basi usitegemee miujiza. Hilo sharti ni jepesi mno.
Ntafurahi sana maana matokeo ya kuacha kujiendekeza yatakuwa mazuri sana!😅 Wapo wanawake wengi tu ambao wanajitambua mbona ntaruka nao kimya kimya.Bado hujaoa... ukioa utakutana na mambo mengine mengi mzeee tegemea excuse zakutosha.
Utaambiwa uvumilie na uache kujiendekza
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Hehehe my one and only. Anakuja kukubonda na likitu heavy kichwaniKuwa na mwanamke mmoja unajitengenezea ugonjwa mbaya unaitwa oneitis,,hapo ndio utajua hujui....wanaume wote walotulia na mwanamke mmoja basi walikuja kujuta
True say..Kutulia na mwanamke mmoja ni kati ya discipline kubwa ambayo wanaume wengi hatuiwezi.
tujitahidi
[emoji1787][emoji1787] wanajitundikaga kama mbuzi wa buchani..alafu huku watu wanaendelea kujipakuliaHehehe my one and only. Anakuja kukubonda na likitu heavy kichwani
Ni risk sana kijana kuwa na mwanamke mmoja na kumzoea sana[emoji1787][emoji1787] wanajitundikaga kama mbuzi wa buchani..alafu huku watu wanaendelea kujipakulia