Kutulia na mwanamke mmoja ni kati ya discipline kubwa ambayo wanaume wengi hatuiwezi

Kutulia na mwanamke mmoja ni kati ya discipline kubwa ambayo wanaume wengi hatuiwezi

Kinacholeta utata ni huwa sipendi mwanamke aninyanyase in any way!

Sharti ni moja tu nikitaka mbunye asianze viji sababu vya kinaa vile mara oh nimechoka..,we kila siku unataka tu...,ntakupa asubuhi!

Ukiona umeanza usumbufu kunipa tunda mpaka tuanze kutongozana upya ni swala la muda tu😅 we jiandae kisaikolojia.
hahahahha sawa, fanya uoe ili umiliki mali yako mwnyewe mpendwa Extrovert
 
Mwanamke mmoja ? Like seriously ?

Labda niwe na hernia halafu sina hela


Tofauti na hapo siwezi kushindana na nature yetu



Hata king Solomon kwenye Bible alishindwa itakuwa mie


Na waislamu hawana unafki unaoa wanne
 
Si utoe sababu mkuu[emoji28]..kwani hujui ukisikia demu anakutaka kichwa cha juu kinakosa utulivu na focus ?
Mimi huku wananitaka sana na kichwa cha chini huwa wanakifanya kichachamae haswaa lakini kwa sababu Yesu alishanifungia Spidi gavana huo ndio usalama wangu vinginevyo ningebatizwa jina moja la hovyo sana. Miaka 30 ndio ingekuwa sio ya kuhesabu. Lakini naruka viunzi kama Usain Bolt
 
Siku yako yajaa huo msamaha utausikilizia kwenye bomba … muombee asikuchoke ukichokwa ni kwisha habari yako ,,watu kama nyie mnaishiaga kujiua na kuwa vichaa
Mkuu natania tu bhana cna hata huyo mchumba sembuse mkee,nimetania tu
 
Back
Top Bottom