Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinacholeta utata ni huwa sipendi mwanamke aninyanyase in any way!
Sharti ni moja tu nikitaka mbunye asianze viji sababu vya kinaa vile mara oh nimechoka..,we kila siku unataka tu...,ntakupa asubuhi!
Ukiona umeanza usumbufu kunipa tunda mpaka tuanze kutongozana upya ni swala la muda tu😅 we jiandae kisaikolojia.
Well saidKutulia na mwanamke mmoja ni kati ya discipline kubwa ambayo wanaume wengi hatuiwezi.
tujitahidi
Si utoe sababu mkuu😅..kwani hujui ukisikia demu anakutaka kichwa cha juu kinakosa utulivu na focus ?Mpotezee
Mimi huku wananitaka sana na kichwa cha chini huwa wanakifanya kichachamae haswaa lakini kwa sababu Yesu alishanifungia Spidi gavana huo ndio usalama wangu vinginevyo ningebatizwa jina moja la hovyo sana. Miaka 30 ndio ingekuwa sio ya kuhesabu. Lakini naruka viunzi kama Usain BoltSi utoe sababu mkuu[emoji28]..kwani hujui ukisikia demu anakutaka kichwa cha juu kinakosa utulivu na focus ?
Sema huwezi ww Tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kutulia na mwanamke mmoja ni kati ya discipline kubwa ambayo wanaume wengi hatuiwezi.
tujitahidi
Huko ni kuoa uchawi na ushirikinaMwanamke mmoja ? Like seriously ?
Labda niwe na hernia halafu sina hela
Tofauti na hapo siwezi kushindana na nature yetu
Hata king Solomon kwenye Bible alishindwa itakuwa mie
Na waislamu hawana unafki unaoa wanne
Shukuru mkeo anatoka kt familia maskini otherwise hakuna rangi ungeacha onaNimeshindwaaga kuacha kuchepuka na nimeshafumaniwaga na amekuwa wakunisamehaga kilaa leo
Muache oa mwingineUpande mmoja upo sahihi lakini baadhi ya wanawake kuwavumilia ni jambo gumu sana. Mwanamke ukishamuweka ndani kama mke anakua mtu mwngne kabisa, vijitabia vya ajabu vinaibuka hapo.
Aliekwambia kuoa ndio suluhu ni nini mbona wanandoa ndio wanaongoza kwa kuchepuka?
Natania tu mkuu cna hata mchumba sembuse mkee,Shukuru mkeo anatoka kt familia maskini otherwise hakuna rangi ungeacha ona
Mkuu natania tu bhana cna hata huyo mchumba sembuse mkee,nimetania tuSiku yako yajaa huo msamaha utausikilizia kwenye bomba … muombee asikuchoke ukichokwa ni kwisha habari yako ,,watu kama nyie mnaishiaga kujiua na kuwa vichaa
Si kila saa inakuwa hivyo hiyo ni probability tuHuko ni kuoa uchawi na ushirikina
Usiombe hio discipline use NAyo utajichimbia kaburilako mwenyeweKutulia na mwanamke mmoja ni kati ya discipline kubwa ambayo wanaume wengi hatuiwezi.
tujitahidi