Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Sheikh wako utopolo kama wewe. Vita vinapiganwa ukanda huo toka enzi za Mussa.

Unganeni waarabu wote muipige Israel muone kinachowatokea. Shubamit!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nmechekaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 

[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenichekesha sanaaa
Either upigwe ukimbie au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo hata huelewi palestina anapambana na nani?
Hujiulizi kwann mataifa yenye nguvu hayaingilii?hujiulizi kwann miaka nenda rudi haiishi?
Kama unaweza kupigana na Mungu na ukashinda sawa,Israel atapigwa! Laa sivyoo sahau,mtapigwa mpk muombe pooo!
Tutarudi hapa Ku comment!
 
Israel haitapigwa kamwe,ila Palestina watapigwa na Gaza itapigwa na baadhi ya nchi zitakapoona wanashindwa suluhisho wataona waligawanye jiji LA Jerusalem kitu ambacho Mungu hataki na ndo balaa litaanzia hapo,Haya unayoyaona ni maandalizi tu!subiri uone!

Kuna nchi zitaungana ila nazo zitapigwa zote!

Soma biblia kitabu chote cha zakaria!
 
Israel will not exist in the next 25 years: Khamenei



5 years ago
Hakuna wa kuofuta Israel,hawakuanza Leo kutaka kuifuta!
Ila Gaza haita exist!
Jamani mbona biblia iko wazi!
Achaneni na nabii fake hizi
 
Israel itakuja kuchapika kipigo cha mbwa koko sio leo wala kesho Lazima unabii utimie kama Bible ilivyosema
Mnasoma biblia gani[emoji16]soneni kwa mafunuo na kuelewa,
According to bible,Israel haiwezi kupigwa na Taifa lolote ila itapiga!
 
Biblia unaisingizia,either hujaelewa au umesimuliwa!
Israel haiwezi kupigwa,Islam haiwezi kutawala dunia!
Soma zakaria yote,na ufunuo ,Daniel pia utaona nani atakuja kutawala dunia!
 
Ufunuo 13:13Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu.
Huyu anaeongelewa hapa ni mpinga Kristo ambae sshv roho yake ndo inafanya kazi,yeye bado kufunuliwa!
 
"They Jews left BLACK and returned WHITE" hii nukuu ya rais wa misri Gamal Nasser according to the Bible....

Wale ni wavamizi ndio maana wapalestina hawawezi kukubali kuondoka kwenye nchi ile
Israel ni kwao walipewa na Mungu! Hawawezi kuondoka!
Kwanza watu wengi hata hamuelewi kuwa hii vita nn kinagombewa hapa mnafikiri ni ardhi tu!
 
Mnaota nyie

Lile eneo ni la Israel na lazima wavunje ule msikiti wa al aqsa
 
Miaka 60 israel hawajashinda hii vita, Mwenyezi Mungu anawalinda wapalestina.
 
duuh,this is Really propaganda,Mungu huyu ninaemjua hawezi kukaa upande wa madhalimu haiwezekani mtu akupore ardhi yako halafu Mungu awe upande wake,vitu vingine tutumie logic tusikubali kulishwa propaganda,siye Mungu huyu ninaemjua anayeweza kuwa hivyo ulivyopropagandishwa
 
Ni kweli hii ilishatabiriwa na ayatollah wa iran kwamba Israel haitokuwepo miaka 25 ijayo hayo aliyasema mwaka 2015 leo ni 2021 ishapita miaka 5 sheikh wa maka naye katabiri kwamba miaka 20 ijayo hii inaenda kutokea kweli
hakuna ajuae ya sirini zaidi ya Mungu pekee,huo utabaki kuwa utabiri kama utabiri mwingine kikubwa hao jamaa mbona inafahamika ni wavamizi wa ardhi ya watu,dunia na jumuia za kimataifa zitende haki...na kikubwa zaidi hakika mwisho wa udhalimu ni maangamivu
 
Nataka utoe conclusion je ukristo ni sawa na uyahudi despite the whole similarities
 
Nataka utoe conclusion je ukristo ni sawa na uyahudi despite the whole similarities


jihu rahisi ni kuwa sio sawa... sababu nje ya biblia judaism ni mchanganyiko wa Imani na tamaduni za kiyahudi

Ukristo ni imani tu....similarties na judaism zinaishia kwenye biblia tena agano la kale

mfano uislam na judasim similarities zao ziko kwenye tamaduni. na kidogo imani..wote wana Adhini kuitana kuswali.. wote, wanasujudu, wote hawaingii na viatu kwenye nyumba za ibada..wote wana uchaguzi wa vyakula..

wote wanatumia torah (Agano la kale) ... ingawa waislam wanaamini Wayahud wamechakachua Torah yao ...ndo maana quran ikashushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…