Kumbuka Mzee kipindi hicho alikua Mtu wa long trip na malori Sasa huo muda wa kukaa na kumpeti Ommy angeupata saa ngapi!? Ommy Kama Ommy yeye alifanya jitahadaa gani za kumtafuta Baba yake!!? Je alisha kwenda kwa Mzee wake anakoishi akafukuzwa!!?Uzuri wa hii issues hakuna wa kusema mama alimlisha sumu mwanae maana ashatangulia
Nilivyomsikiliza ommy sio kwamba hakuhitaji ukaribu na mzee wake Ila mzee mwenyewe alikuwa mbali naye hasa wakati akimuhitaji zaidi mfano maza ake alipofariki..
It's sad kiukweli
Mkuu Mbona unaita wenzio wajinga, kwahiyo wewe ndo mwelevu sana kwa haya unayochangia? Heshimu mawazo ya wenzako hata Kama yanakinzana na kile unachokiamini weweKweli wewe mjinga.
Labda na Mama yake Ommy nae alikua ni miongoni mwa hizo pisi kali za Mzee wake Ommy!?Mzee Nyembo alikula maisha na pisi kali, hakujihusisha na maisha ya mwanae hata mama yake alipokufa akiwa angali mdogo. Kwa ukatiri alioonyesha sio kosa Ommy Dimpoz akiishi naye kwa umbali hivi hivi kwa sababu hizi:
1. Mzee alitarajia Ommy awe chokoraa, choka mbaya au kibaka ndio maana hakujali
2. Mzee aliona ni kawaida kuzaa kama mbuzi ukaenda zako, mbuzi akitungisha mimba huwa harudi kwa ndama kudai chochote. Naye aishi hivyo hivyo
3. Mzee alijua possibility ya mwanae kufanikiwa ila alijishauri kwamba ale bata atakuja kuomba msamaha
4. Kuna vijana maelfu wanaacha watoto wao, itakuwa ni inspiration kwao kuona kumbe unaweza fyatua tu ukadanga zako miaka ya baadaye mtoto atakutunza. Waliokimbia majukumu wakikaziwa hivi ni onyo kwa vijana wa ovyo ovyo
Mkuu yawezekana hujamsikiliza ommy,Kumbuka Mzee kipindi hicho alikua Mtu wa long trip na malori Sasa huo muda wa kukaa na kumpeti Ommy angeupata saa ngapi!? Ommy Kama Ommy yeye alifanya jitahadaa gani za kumtafuta Baba yake!!? Je alisha kwenda kwa Mzee wake anakoishi akafukuzwa!!?
Mkuu Mbona unaita wenzio wajinga, kwahiyo wewe ndo mwelevu sana kwa haya unayochangia? Heshimu mawazo ya wenzako hata Kama yanakinzana na kile unachokiamini wewe
Huyo Ommy na usanii wake unadhani hajawahi kumkataa mtoto?That's irrelevant. Matunzo ya mtoto hayaangalii mnapendana au lah! Kama umekojoa ndani ni jukumu lako kulea.
Ni ajabu unaona ni sawa Baba kutelekeza ila lazima yeye alelewe esp lizee kama hili ambalo lilionyesha kabisa kutokujali
Huyo ommy na usanii wake unadhani hajawahi kumkataa mtoto?
Na pia kuna tabia tunazo wa Africa kwamba mtoto wako ni lazima akusaidie, kitu ambacho hakina ulazima. Ni vema wazazi wakaandaa uzee wao vizuri na siyo kuja kutegemea fadhila za watoto wao, unless watoto wamependa wenyewe kuwasupport wazazi wao hata kama wazazi waliwalea ama hawakuwalea.
Kwa mfano huyu mzee asingekuwa na tamaa za mafanikio ya mwanae ama asingekuwa anamtafuta mwanae kwa sababu ya mafanikio, bali tu kumaliza tofauti zao, hii ingekuwa rahisi sana kusamehewa na mwanae, kuliko kumtafuta mtoto wako kisha kuanza kudai fadhila kitu ambacho si busara na hekima.
Umesikiliza alichoelezea Ommy mkuu nikusaidie kwamba baada ya Mama yake kufariki Ommy alimtafuta baba yake hapa alikuwa anatafuta faraja na upendo kweli alifanikiwa kuonana nae ila majibu aliyokutana nayo katika maongezi na baba yake yalimkata maini na baba yake hakuwahi mtafuta tenaaa baada ya hapo.Kumbuka Mzee kipindi hicho alikua Mtu wa long trip na malori Sasa huo muda wa kukaa na kumpeti Ommy angeupata saa ngapi!? Ommy Kama Ommy yeye alifanya jitahadaa gani za kumtafuta Baba yake!!? Je alisha kwenda kwa Mzee wake anakoishi akafukuzwa!!?
Wewe bado hayajakukuta.na haujakuwa.kuna mwalimu kauwa mke na watoto wake na yeye kajiuwa.ommy amshukuru baba yake alimuacha mzima mpaka leo amekuwa mkubwa.Again that's irrelevant and none of my business. Tunaongea objective facts hapa sio nadharia. Mimi sina muda wa kuwaza what Ommy has or hasn't done but I know for sure kizee chake kilimtelekeza.
Mwanaume yeyote anayetelekeza mtoto ni umbwa na deserves nothing from mtoto either ni baba wa Ommy, Dayamondi au mtoto yeyote yule that is my stance.
Ommy dimpoz anakwepa mzigo wa kuleq Mzee na ndugu 14.Kadri siku zangu za maisha zinavyozidi kusonga mbele nazidi kutambua maisha hayana maana.
Maisha yanahitaji kuwa mnyenyekevu, kusamehe, kuwa mwema, kukubaliana na hali husika, na kuwachukulia wengine kwa upole.
Maisha hayana jipya, hasa ukiwaona waliolala huko ocean Road, hvyo tunapopata muda wa kusamehe, tusamehe tu bila ya kutafuta justification, ni ngumu ila inawezekana.
Mwisho wa siku tulivyonavyo tutaviacha.
Wewe bado hayajakukuta.na haujakuwa.kuna mwalimu kauwa mke na watoto wake na yeye kajiuwa.ommy amshukuru baba yake alimuacha mzima mpaka leo amekuwa mkubwa.
Yakikukuta utajua
Kumbuka Mzee kipindi hicho alikua Mtu wa long trip na malori Sasa huo muda wa kukaa na kumpeti Ommy angeupata saa ngapi!? Ommy Kama Ommy yeye alifanya jitahadaa gani za kumtafuta Baba yake!!? Je alisha kwenda kwa Mzee wake anakoishi akafukuzwa!!?
Mbona hakumzika wala kuja msibani alipofariki Ommy akiwa shule ya msingi. Tufanye alikuwa miongoni mwa pisi zake, Ommy anahusika na nini hapo mbona mzee analalamikaLabda na Mama yake Ommy nae alikua ni miongoni mwa hizo pisi kali za Mzee wake Ommy!?
Kama mzee Nyembo hataki aombe jina lake lisitumike na hilo ni ombi sio takwa la kisheria. Na yule mtoto wa 15 ambaye Ommy kamsema vipi naye mzee alimtafuta au kisa sio maarufu hajajua yuko wapi?Kama ni Mzazi tapeli, mbona Ommy anatumia saa name yake toka kitambo tu!! Si ndiyo huyo Mzee Nyembo!!??