Kwa hili la Ommy Dimpoz na Babake wee uliye biological mother/father ukimkataa/kumtelekeza mtoto wako ujue umemuumiza sana kisaikolojia na makuzi yake

Kwa hili la Ommy Dimpoz na Babake wee uliye biological mother/father ukimkataa/kumtelekeza mtoto wako ujue umemuumiza sana kisaikolojia na makuzi yake

Uzuri wa hii issues hakuna wa kusema mama alimlisha sumu mwanae maana ashatangulia

Nilivyomsikiliza ommy sio kwamba hakuhitaji ukaribu na mzee wake Ila mzee mwenyewe alikuwa mbali naye hasa wakati akimuhitaji zaidi mfano maza ake alipofariki..

It's sad kiukweli
Kumbuka Mzee kipindi hicho alikua Mtu wa long trip na malori Sasa huo muda wa kukaa na kumpeti Ommy angeupata saa ngapi!? Ommy Kama Ommy yeye alifanya jitahadaa gani za kumtafuta Baba yake!!? Je alisha kwenda kwa Mzee wake anakoishi akafukuzwa!!?
 
Mzee Nyembo alikula maisha na pisi kali, hakujihusisha na maisha ya mwanae hata mama yake alipokufa akiwa angali mdogo. Kwa ukatiri alioonyesha sio kosa Ommy Dimpoz akiishi naye kwa umbali hivi hivi kwa sababu hizi:

1. Mzee alitarajia Ommy awe chokoraa, choka mbaya au kibaka ndio maana hakujali
2. Mzee aliona ni kawaida kuzaa kama mbuzi ukaenda zako, mbuzi akitungisha mimba huwa harudi kwa ndama kudai chochote. Naye aishi hivyo hivyo
3. Mzee alijua possibility ya mwanae kufanikiwa ila alijishauri kwamba ale bata atakuja kuomba msamaha
4. Kuna vijana maelfu wanaacha watoto wao, itakuwa ni inspiration kwao kuona kumbe unaweza fyatua tu ukadanga zako miaka ya baadaye mtoto atakutunza. Waliokimbia majukumu wakikaziwa hivi ni onyo kwa vijana wa ovyo ovyo
Labda na Mama yake Ommy nae alikua ni miongoni mwa hizo pisi kali za Mzee wake Ommy!?
 
Kumbuka Mzee kipindi hicho alikua Mtu wa long trip na malori Sasa huo muda wa kukaa na kumpeti Ommy angeupata saa ngapi!? Ommy Kama Ommy yeye alifanya jitahadaa gani za kumtafuta Baba yake!!? Je alisha kwenda kwa Mzee wake anakoishi akafukuzwa!!?
Mkuu yawezekana hujamsikiliza ommy,

Kasema alishawahi mfuata, na katika story mzee akatamba hawezi mtafuta mtoto, ila mtoto atamtafuta baba, hicho nacho kilimuumiza zaidi kwa sababu na yeye ndo alikuwa amemtafuta.

Mambo ya familia huwa ni magumu sana. Wanaume tunazingua sometimes tukijipa moyo kuwa mkubwa hakosei.
 
Mkuu Mbona unaita wenzio wajinga, kwahiyo wewe ndo mwelevu sana kwa haya unayochangia? Heshimu mawazo ya wenzako hata Kama yanakinzana na kile unachokiamini wewe

Angalia ID yake anajiita nani mwenyewe.
 
That's irrelevant. Matunzo ya mtoto hayaangalii mnapendana au lah! Kama umekojoa ndani ni jukumu lako kulea.

Ni ajabu unaona ni sawa Baba kutelekeza ila lazima yeye alelewe esp lizee kama hili ambalo lilionyesha kabisa kutokujali
Huyo Ommy na usanii wake unadhani hajawahi kumkataa mtoto?
 
Huyo ommy na usanii wake unadhani hajawahi kumkataa mtoto?

Again that's irrelevant and none of my business. Tunaongea objective facts hapa sio nadharia. Mimi sina muda wa kuwaza what Ommy has or hasn't done but I know for sure kizee chake kilimtelekeza.

Mwanaume yeyote anayetelekeza mtoto ni umbwa na deserves nothing from mtoto either ni baba wa Ommy, Dayamondi au mtoto yeyote yule that is my stance.
 
Na pia kuna tabia tunazo wa Africa kwamba mtoto wako ni lazima akusaidie, kitu ambacho hakina ulazima. Ni vema wazazi wakaandaa uzee wao vizuri na siyo kuja kutegemea fadhila za watoto wao, unless watoto wamependa wenyewe kuwasupport wazazi wao hata kama wazazi waliwalea ama hawakuwalea.

Kwa mfano huyu mzee asingekuwa na tamaa za mafanikio ya mwanae ama asingekuwa anamtafuta mwanae kwa sababu ya mafanikio, bali tu kumaliza tofauti zao, hii ingekuwa rahisi sana kusamehewa na mwanae, kuliko kumtafuta mtoto wako kisha kuanza kudai fadhila kitu ambacho si busara na hekima.

Umeongea point kubwa sana

Mzee akisikia umepata kakibarua sehemu ndo anaanza kukutafuta

Halafu kila siku anatangaza shida[emoji706]
 
Haya mambo ni ya kuwaachia wenyewe wanafamilia...

Huyo Omary anachokijua bila shaka ni kutokana na alivyosimuliwa na pengine sio kutokana na hali halisi...

Waafrika tuna mambo mengi kweli, huenda mama wa mtoto alimueleza huyo mwanaume kwamba mtoto si wake, huenda wazazi wa mama walimkataa huyo mwanaume n.k

Mfano halisi upo kwa mtu kama Nassib Abdul, ambaye baba yake halisi hadi sasa haijulikani ni yupi ingawaje mamaye anataja mtu tofauti na yule ambaye mwanaye miaka yote alikuwa akijua ni baba aliyemtelekeza...
 
Sasa waislamu wanaruhusu kuoa wake wanne... ila baba ommy aliona ommy awe mtotoo haramuu leo anakuja kulia njaaa shenzi sanaa
 
Kumbuka Mzee kipindi hicho alikua Mtu wa long trip na malori Sasa huo muda wa kukaa na kumpeti Ommy angeupata saa ngapi!? Ommy Kama Ommy yeye alifanya jitahadaa gani za kumtafuta Baba yake!!? Je alisha kwenda kwa Mzee wake anakoishi akafukuzwa!!?
Umesikiliza alichoelezea Ommy mkuu nikusaidie kwamba baada ya Mama yake kufariki Ommy alimtafuta baba yake hapa alikuwa anatafuta faraja na upendo kweli alifanikiwa kuonana nae ila majibu aliyokutana nayo katika maongezi na baba yake yalimkata maini na baba yake hakuwahi mtafuta tenaaa baada ya hapo.
 
Again that's irrelevant and none of my business. Tunaongea objective facts hapa sio nadharia. Mimi sina muda wa kuwaza what Ommy has or hasn't done but I know for sure kizee chake kilimtelekeza.

Mwanaume yeyote anayetelekeza mtoto ni umbwa na deserves nothing from mtoto either ni baba wa Ommy, Dayamondi au mtoto yeyote yule that is my stance.
Wewe bado hayajakukuta.na haujakuwa.kuna mwalimu kauwa mke na watoto wake na yeye kajiuwa.ommy amshukuru baba yake alimuacha mzima mpaka leo amekuwa mkubwa.
Yakikukuta utajua
 
Kadri siku zangu za maisha zinavyozidi kusonga mbele nazidi kutambua maisha hayana maana.

Maisha yanahitaji kuwa mnyenyekevu, kusamehe, kuwa mwema, kukubaliana na hali husika, na kuwachukulia wengine kwa upole.

Maisha hayana jipya, hasa ukiwaona waliolala huko ocean Road, hvyo tunapopata muda wa kusamehe, tusamehe tu bila ya kutafuta justification, ni ngumu ila inawezekana.

Mwisho wa siku tulivyonavyo tutaviacha.
Ommy dimpoz anakwepa mzigo wa kuleq Mzee na ndugu 14.
 
Wewe bado hayajakukuta.na haujakuwa.kuna mwalimu kauwa mke na watoto wake na yeye kajiuwa.ommy amshukuru baba yake alimuacha mzima mpaka leo amekuwa mkubwa.
Yakikukuta utajua

Unaongea ujinga kama jina lako.

Mwalimu aliyeua ni mpumbavu kama Baba Ommy.

Nachelea kusema hata wewe ni mjinga kwa kusapoti mauaji na utekelezaji wa watoto but ushajiita mwenyewe
 
Kumbuka Mzee kipindi hicho alikua Mtu wa long trip na malori Sasa huo muda wa kukaa na kumpeti Ommy angeupata saa ngapi!? Ommy Kama Ommy yeye alifanya jitahadaa gani za kumtafuta Baba yake!!? Je alisha kwenda kwa Mzee wake anakoishi akafukuzwa!!?

Alikuwa anakaa huko miaka yote,

hakuwa na time ya kwenda kuuhani msiba na kama ni mtu wa malori hizo trip alizopiga hakuna hata moja ambayo ilikuwa karibu na alipokuwa ommy

Halafu kwa nini mfanye kwamba jukumu la mtoto kuwa karibu na mzazi ni la mtoto na sio mzazi aliyejitenga. Au na wewe ni moja ya wanaoamini "atanitafuta"


Kama unaona mtoto kuwa karibu yako ni uamuzi wake bhasi endelea kuacha iwe hivyo hivyo hata akifanikiwa, sio utake kula kivulini vitu ambavyo hukutaka kuhangaika navyo juani.
 
Back
Top Bottom