Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?


Thats great umenifunza kitu klchobeba mengi
 
Boss naomba namba yako ya simu please au Kuna yeyote mwenye namba ya Ndg. Mwasalemba naomba anisaidie.....tuliona jambo jema kuanzisha group whatsapp ili tubadilishane mawazo lakini imekuwa kimya sana.....naomba ntafutwe kwa namba 0786623636 mnisaidie namba ya mwasalemba
 
Jaman hata mwingine mwenye moyo wa kutusaidia tuliowengi aanzishe group tupate coarse kidogo
 
Iko vzuri hii,.ila kwa sie Wa yes yes mzungu kala mafenesi lazima uingizwe cha kuchuchumaa..
Mmmmhh kweli ila Mimi ndio changamoto zangu ila sioni aibu kuomba muongozo na kwangu sio sababu ya kutofanya jambo la muhimu
 
nicheki kaka ukikutana na ugumu oote...naeza shauri,au kabla ujamlipa nipe link za uyo supplier nimcheki then nicheki kwa simu nikupe namba ya forwarder...! usisite kiongozi sina malipo,labda niwe busy tu nikiwa na muda,tutashare uzoefu.
Mwenyezimungu akubariki mkuu ipo siku nitaomba muongozo wako tatizo rugha ndio mtihani sana ila nikipata muongozo wa ana kwa ana na kompyuta mpakato utanielekeza vizuri jinsi ya kubageni mtandaoni, nami sio mbaya sana kwenye maelekezo
 
ahsante sana kwa ukarimu wako Elimu ulioitoa wewe ni nadra sana kuipata bure ... naamini hujafanya bure coz mungu atakulipa inshaallah mungu akujaalie..... nimekuwa inspired 100%
THANKX MUCH
 
Naomba uniunge bro 0754755989
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…