Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea tu kumfariji!!! laki 1 ni hela ndogo sana kufungulia mtaji
Endelea tu kumfariji!!! laki 1 ni hela ndogo sana kufungulia mtaji
Jaman wana Jf naombeni msaada wa mawazo mfano "una mtaji wa shiling laki 3 utafanya biashara gani kwa mjini au kijijini ambayo utamake profiti na jinsi gan utaweza kuavoid loss?'.. Najua kuna weng ni unemployed na wanaogopa kuthubutu kisa mtaji mdogo so jiunge nam kwa kuad maswali ili tuweze kuthubutu.
Kijana kuna uzi nimeuweka unahusu biashara ya viatu vya mtumba vya kike na kiume kutoka jamhuri ya korea
viatu tunauza kwa bero na vinakuwa mchangayiko kama vile open shoes simple viatu vya mpira boot vya ofisi raba n.k
bei zetu ni kama ifuatavyo.
vya wanaume sh. 220000 kwa bero moja na inapungua kutegemeana na idadi ya bero za mteja
vya kike 130,000 na inapungua kulingana na idadi ya bero anazochukua mteja
NB. bero moja la viatu vya kiume lina wastani wa viatu pair 55 hadi 60 Kwa kawaida 60
vya kike pair 80 hadi 90
PIGA SIMU NAMBA 0758176058 kwa maelezo zaidi na jinsi ya kuweka oda ya mzigo. Pia inapatikana kwa watsap
Viatu ni vya ubora wa hali ya juu na vinaenda na wakati na vingi vinakuja vikiwa kama vipya kwa maana havijatumika sana
TUNAPATIKANA CHANG'OMBE DAR.
KARIBU SANA NA HUWEZI JUTA......
Njoo chukua viatu jumla nauza 16 Ww wauza 20 Mali toka nairobiView attachment 196918
bei yako ni ghali Mie ninavyo bei ya jumla 13500 rejareja 17000
Anzisha biashara ya kutengeneza mkaa wa kisasa ambayo soko lake si la kutafuta lipo na pia unaweza anza na mtaji hata wa sh elfu tano nipigie nikupe maelezo zaidi 0758 308193
Huu sio upatu?