HawastahiliNaunga mkono hoja! Wanastahili.
Alidhani Hilo halijafikiriwa,,umemjibu vizuri SanaHii ni rejea,ili mpokeaji asijekusema haiwezekani.
Na akiacha ionekane wazi kwamba kaamua kugoma.
Askari yupo tayar kufanya kazi kwenye mazingira magumu...wewe ni askari maslah... askari Lia Lia.....Rais Samia pokea andiko hili linaloletwa kwako nasi askari wako wa Wizara ya Mambo ya ndani kutoka Magereza, Polisi nk .
Rais tunayo madai yetu ya muda mrefu ambayo kisheria tunastahili kulipwa.
1. Posho za maji na umeme zilipwe moja kwa moja kwenye mishahara yetu moja kwa moja tofauti na sasa ambapo posho hizo zinaliwa na wajanja wachache wizarani na ndani ya majeshi yetu, ifanyike kama inavyonyika JWTZ
2. Posho ya chakula ipandishwe kutoka 10,000 per day Hadi 15,000 per day kwa sababu gharama za maisha zimepanda hasa vyakula kutokana na wakulima kupandisha bei baada ya serikali yako tukufu kuwaruhusu nje ya nchi ili nao wafaidi matunda ya jasho lao, tunaomba posho hiyo iwe 450,000 kwa mwezi.
3. Posho ya pango (ngome) alipwe kila Askari kama ilivyo JWTZ ili Askari warekebishe nyumba chakavu wanazoishi kambini.
Rais madai yetu ni ya muda mrefu sana lakini yamekuwa yanadhibitiwa na viongozi wetu ndani ya majeshi yetu au wizarani kwa manufaa yao wenyewe.
Aidha tunakuomba utuondoe utumishi na utupeleke mfuko maalumu (consolidated fund) maana sheria zetu haziendani na utumishi.
Rais tunajua unayo mambo mengi ya kufanya lakini tunaomba uyaangalie mambo hayo kwa huruma na upendo ili kuboresha maslahi ya Askari wako. Kama unavyoelewa askari hana chama cha kumtetea bali chama chake ni wewe Rais hivyo ndivyo tunavyofundishwaga mafunzoni.
Tunakutakia afya njema mama, bajeti hii tunaomba utufikirie kwa mambo hayo kadhaa tuliyoyaainisha hapo juu.
Tunakusalimu kwa jina la jamhuri tukufu ya muungano wa Tanzania.
Hujui ukisemacho binti mrembo,,,mipaka yetu tunaijua wewe unataka wao walalamike wakati wanaona wanachopewa kinakidhi angalau,,,tulia binti wenye akili wajadili na wenye mamlaka wafanyie kazi,,hakuna nidhamu mbele ya njaaRejea yanini kwani Hao aliowataja wako wanafanya majukumu yanayofanana???kanuni na taratibu zao zinafanana???
Wao ushawahi Kuja kuona wanaandika kama alivyoandika huyu wa wizara ya mambo ya ndani bado huoni tofauti baina yao???
Kama Fulani kama Fulani hakuna kitu kama Fulani jeshini Raia ndiye anaweza kusema nipe kama fulani sio kauli ya mwanajeshi hii
Hujui mambo ya dola mzee tulia,,,posibility ya kufa kazini ukaacha familia ni 75% ndo unataka ulinganishe hicho kimshahara na viposho na risk tunayoikabili kila siku!?Kwahiyo mnataka itoke Posho ya laki 300,000 Kwa mwezi iende 450,000 Kwa mwezi!?? Halafu ulipiwe maji na umeme!??aiseee!!! Hatari!! Hivi Ina maana huwezi kujilipia umeme Kwa mwezi shiling 20000!? Aisee !! Hatari!!
Ndio maana wakitoka kazini baada kustaafu hufa mapema kupenda bure ni kwingi mnoAnaweza kujilipa ila kimsingi pesa hiyo ataichukua kwako raia,halafu utakuja ulie lie hapa polisi wana njaa mpaka buku 2 wanabeba.
AminaSawa lakini na nyie kuweni na utu kupiga watu Hadi wanashindwa kutembea ni Jambo Ambalo halifai Kabisa
Mbona unatuchikia kiasi hiki,!?Ndio maana wakitoka kazini baada kustaafu hufa mapema kupenda bure ni kwingi mno
Pole xn polisi wenye tabia hizo ni kweli wapo ila wengi ni wasafi na wanastahili kutunzwa vizuriPORISI HAMFAI KBSA MLINILIA 70k KISA KUTRAKI SIMU
NA MLISHIRIKI KWENYE UCHAFUZI 2020
HAMSTAHILI
kama huna ndugu hupati kazi vyombo hvi vya ulinzi, laana hiyo iendelee kuwatafuna. yaani 10k per day kwa ajili ya msosi unaiona haitoshi??Rais Samia pokea andiko hili linaloletwa kwako nasi askari wako wa Wizara ya Mambo ya ndani kutoka Magereza, Polisi nk .
Rais tunayo madai yetu ya muda mrefu ambayo kisheria tunastahili kulipwa.
1. Posho za maji na umeme zilipwe moja kwa moja kwenye mishahara yetu moja kwa moja tofauti na sasa ambapo posho hizo zinaliwa na wajanja wachache wizarani na ndani ya majeshi yetu, ifanyike kama inavyonyika JWTZ
2. Posho ya chakula ipandishwe kutoka 10,000 per day Hadi 15,000 per day kwa sababu gharama za maisha zimepanda hasa vyakula kutokana na wakulima kupandisha bei baada ya serikali yako tukufu kuwaruhusu nje ya nchi ili nao wafaidi matunda ya jasho lao, tunaomba posho hiyo iwe 450,000 kwa mwezi.
3. Posho ya pango (ngome) alipwe kila Askari kama ilivyo JWTZ ili Askari warekebishe nyumba chakavu wanazoishi kambini.
Rais madai yetu ni ya muda mrefu sana lakini yamekuwa yanadhibitiwa na viongozi wetu ndani ya majeshi yetu au wizarani kwa manufaa yao wenyewe.
Aidha tunakuomba utuondoe utumishi na utupeleke mfuko maalumu (consolidated fund) maana sheria zetu haziendani na utumishi.
Rais tunajua unayo mambo mengi ya kufanya lakini tunaomba uyaangalie mambo hayo kwa huruma na upendo ili kuboresha maslahi ya Askari wako. Kama unavyoelewa askari hana chama cha kumtetea bali chama chake ni wewe Rais hivyo ndivyo tunavyofundishwaga mafunzoni.
Tunakutakia afya njema mama, bajeti hii tunaomba utufikirie kwa mambo hayo kadhaa tuliyoyaainisha hapo juu.
Tunakusalimu kwa jina la jamhuri tukufu ya muungano wa Tanzania.
Thubutuuu ..Kwanza Ombi lenyewe limechelewa, maana Bajeti imeshachelewa. Lakini inaonesha ni jinsi gani woga ulivyojaa kwenye jamii yetu ya Kitanzania. Anapokuja IGP ni kwa nini huwa hamumwambia hayo mambo??