Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Kumbe mzee akiwa huko husumbuliwijohnthebaptist,
Makonda hakuwa mjanja. Angejikita Kawe angepita. Ndungulile baba yake alikuwa ni mtu wa system. Hao hawakatwi, huoni akina Nape, January wamesurvive pamoja na ukaidi wao hapo nyuma.
Kiongozi wa wenye meno machafuKatambi ni kiongozi mahiri ndio maana hata Mbowe alikuwa anamkumbatia.
Ukweli unaumaYou are so cheap
Bila kusahau kosa la uhalifu wa kivitaKumwacha Makonda imekuwa ni namna ya kumsaidia.
Kama angepitishwa, angepata pingamizi la udanganyifu wa jina halisi, elimu na vyeti vya masomo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Raisi Lissu hawezi teua wahuni na wauaji kwenye Baraza lakePsycholoical warfares against voters, but finally atakuwa waziri kupitia uteuzi wa baba J.
Makonda genius hadi mabeberu aliwa zinguaMAKONDA AIJIBU HIVI MAREKANI BAAD YA KUMFUNGIA KWENDA HUKO
Mabeberu hatari sana wakishakuweka katika buku lile buku jeusi basi hata waliokuwa wanakubeba watakutosa, na wapo tayari kuafikiana na serikali inayohusika kuwakubalia wamshughulikie vipi bila kuitia serikali husika aibu mradi wapewe uhakikisho kuwa aliyetuhumiwa kwa ushahidi aondolewe madarakani asije kuleta madhara zaidi kwa jamii.
Hakuna masele wawiliHapana mkuu wewe ndo umechanganya! Stephen Masele, ndiye alikuwa Mbunge wa Pan, na mbunge wa Shy town.
Moja mpaka 5 wakati wagombea walikuwepo wa 4Ndugulile kashinda kihalali. Hakutoa Rushwa. Makonda alitoa Rushwa.
Shy town number moja mpaka tano wote walitoa Rushwa. Katambi hakutoa Rushwa.
Hujui lolote .Shy town watia nia walikuwa zaidi ya 20. Katambi alishika number 6Moja mpaka 5 wakati wagombea walikuwepo wa 4
Kwani hakuna opposition party?Wewe zuia tu komenti zangu ya mwisho mwisho nikusaidie tu kidogo Jiwe anaenda kuifunga jamii forum muda si mrefu pamoja na unavyojitahidi kumbeba Hana shukrani ,we mbebe tu anafunga mark my words.
Huu uongo sisterHujui lolote .Shy town watia nia walikuwa zaidi ya 20. Katambi alishika number 6
fedha ya mfukoni kwa mtu usiipigie mahesabu aisee..atachaguliwa mpaka iwe sasa kwasasa hivi ni raia kama sie wengne tuPsycholoical warfares against voters, but finally atakuwa waziri kupitia uteuzi wa baba J.
Mkuu alisema kuwa anajua kufanya kazi hta kama hana cheti kwahiyo tusubili tuonee.Mnasahau kwamba huyo Paul hata elimu yake ni shida. Yeye safari hii atabaki kulea mwanae tu hakuna namna
Hujui mazingaombwe na sarakasi za ccm ww.Heheh maji yanazidi kukorogeka tu.. kwa ndani tayari imeisha hiyo...kwa nje ndio imebaki picha tu kivuli.
Huyo dada ni jembe,chai jaba atakalishwa mapema
Katibu mkuu wa wizara fulani ? Hapana, ile ni nafasi ya technical personnel haihitaji kabisa siasa wala mwanasiasa. Utaangusha nchi ukiweka siasa paleUsije shangaa kateuliwa kuwa mkurugenzi wa taasisi kubwa au katibu wa wizara