Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Mimi napita tu wanajamvi
 
Wewe una chuki sana na wazanzibar! Hakuna linaloamriwa bila kupita kwenye baraza la mawaziri ambalo limejaa wabara.
Epuka ubaguzi na mwache mama apige kazi. Mbara wenu Magufuli aliwaua na kuwafunga gerezani mkawa kimya.
Huyu mama mdemokrasia wa lweli kawapa fursa ya kusema ndo mnaropokea hadi mnamtovukia adabu.
Kuweni waungwana basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…