kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
MtanyookaThat woman is evil.
Yaani zimeuzwa bandari zote kwenye bahari na maziwa makuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MtanyookaThat woman is evil.
Yaani zimeuzwa bandari zote kwenye bahari na maziwa makuu.
Sikubaliani nawe katika hili.Kwa manufaa ya uma.
Tuache kwanza mchakato huo.
Vitapitishwa vitu vya ajabu tulaumiane miaka mingi ijayo.
Kumbe mkurugenzi wa TPA ni mzanzibar ?Kweli Samia alijiandaa .Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.
Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.
Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!
Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?
Tujitafakari!
Mkataba ni miaka mingapi?Kwani mzanzibari sio mtanzania?
Hebu tuache haya mambo ya ubaguzi usio na maana
Na bandari haijauzwa, na haiwez kuuzwa,
So punguza presha ya na taharuki
[emoji625][emoji625]Tatizo hapo ni katiba mbovu isiyowakataza Wazanzibari kufanya maamuzi ya Tanganyika,wakati Mtanganyika hawezi kufanya kazi SMZ....huu Muungano ufilie mbali
CCM OYEERais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.
Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.
Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!
Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?
Tujitafakari!
Natoa wito Kwa Serikali kuanza kuwashighulikia wapotoshaji kama HawaRais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.
Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.
Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!
Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?
Tujitafakari!
Kawapa wageni au kawapa ndugu zake?. Tenda ya kubinafusisha bndari ilitangazwa wapi??Tatizo sio Samia tatizo sisi watanzania wizi balaa.
Unakumbuka Magufuli alipo ingia madarakani kaanza kwenda Bandarini unajua kwanini??.
Watanzania wizi kwanza maendeleo baadae mama Samia kaona awape wageni faida ataiona kuliko wazawa hakuna kinacho patikana.
Kuna supermarket imefungwa Tanzania kwa wizi lakini Kenya ipo. Na wenyewe wanasema Tanzania wizi wengi sana.
Unamaanisha nakumati auTatizo sio Samia tatizo sisi watanzania wizi balaa.
Unakumbuka Magufuli alipo ingia madarakani kaanza kwenda Bandarini unajua kwanini??.
Watanzania wizi kwanza maendeleo baadae mama Samia kaona awape wageni faida ataiona kuliko wazawa hakuna kinacho patikana.
Kuna supermarket imefungwa Tanzania kwa wizi lakini Kenya ipo. Na wenyewe wanasema Tanzania wizi wengi sana.
Kilichojadiliwa siyo mkataba wa ubinafsishaji bali ni mkataba wa uwekezaji.Kawapa wageni au kawapa ndugu zake?. Tenda ya kubinafusisha bndari ilitangazwa wapi??
Tanzania iliyo asisiwa na Mwl Nyerere hiiRais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.
Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.
Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!
Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?
Tujitafakari!
Wabongo hatuna uzalendo bhana waziri mkuu makamo mwanasheria mkuu wabunge wote hao ni wengi serikalini kuliko hao ulio wataja bado mkuu wa majeshi,vipi wazidiwe akili na watu hao wachache?kama waliona nguvu ya rais kuwazidi kwa nini wasikinukishe?Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.
Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.
Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!
Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?
Tujitafakari!
Kidumu chama Cha mapinduziThat woman is evil.
Yaani zimeuzwa bandari zote kwenye bahari na maziwa makuu.
Hakuna cha tenda wala quotation bali ziara ya Mama ilitosha kuuza ardhi na bandari zetu!Kawapa wageni au kawapa ndugu zake?. Tenda ya kubinafusisha bndari ilitangazwa wapi??
Unamaanisha Samia ni mwizi pia!.Tatizo sio Samia tatizo sisi watanzania wizi balaa.
Unakumbuka Magufuli alipo ingia madarakani kaanza kwenda Bandarini unajua kwanini??.
Watanzania wizi kwanza maendeleo baadae mama Samia kaona awape wageni faida ataiona kuliko wazawa hakuna kinacho patikana.
Kuna supermarket imefungwa Tanzania kwa wizi lakini Kenya ipo. Na wenyewe wanasema Tanzania wizi wengi sana.
Wanawaza matumbo yao tu kwa kuwa na wao wanufaika!Wabongo hatuna uzalendo bhana waziri mkuu makamo mwanasheria mkuu wabunge wote hao ni wengi serikalini kuliko hao ulio wataja bado mkuu wa majeshi,vipi wazidiwe akili na watu hao wachache?kama waliona nguvu ya rais kuwazidi kwa nini wasikinukishe?