Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Kwa manufaa ya uma.

Tuache kwanza mchakato huo.

Vitapitishwa vitu vya ajabu tulaumiane miaka mingi ijayo.
Sikubaliani nawe katika hili.

Ila jinsi nilivyokusoma ukisononeka kwenye yote uliyoandika kwenye mada hii, mwishowe ilibidi nijiulize swala la ajabu kidogo.

Samahani naiweka mbele, siyo nia yangu ya kukashifu chochote, lakini nikawaza:
Hivi ingetokea Magufuli akajitokeza sasa hivi, na kukuta anayoyafanya msaidizi wake mkuu; hivi angejisikiaje?

Hivi huyu mama asingetumbuliwa mara mblimbili na kupewa maneno makali kwa haya anayoyafanya sasa hivi?
 
Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.

Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.

Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!

Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?

Tujitafakari!
Kumbe mkurugenzi wa TPA ni mzanzibar ?Kweli Samia alijiandaa .
 
Kwani mzanzibari sio mtanzania?

Hebu tuache haya mambo ya ubaguzi usio na maana

Na bandari haijauzwa, na haiwez kuuzwa,

So punguza presha ya na taharuki
Mkataba ni miaka mingapi?
 
Tatizo hapo ni katiba mbovu isiyowakataza Wazanzibari kufanya maamuzi ya Tanganyika,wakati Mtanganyika hawezi kufanya kazi SMZ....huu Muungano ufilie mbali
[emoji625][emoji625]
 
Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.

Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.

Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!

Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?

Tujitafakari!
CCM OYEE
 
Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.

Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.

Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!

Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?

Tujitafakari!
Natoa wito Kwa Serikali kuanza kuwashighulikia wapotoshaji kama Hawa
 
Tatizo sio Samia tatizo sisi watanzania wizi balaa.

Unakumbuka Magufuli alipo ingia madarakani kaanza kwenda Bandarini unajua kwanini??.

Watanzania wizi kwanza maendeleo baadae mama Samia kaona awape wageni faida ataiona kuliko wazawa hakuna kinacho patikana.


Kuna supermarket imefungwa Tanzania kwa wizi lakini Kenya ipo. Na wenyewe wanasema Tanzania wizi wengi sana.
Kawapa wageni au kawapa ndugu zake?. Tenda ya kubinafusisha bndari ilitangazwa wapi??
 
Tatizo sio Samia tatizo sisi watanzania wizi balaa.

Unakumbuka Magufuli alipo ingia madarakani kaanza kwenda Bandarini unajua kwanini??.

Watanzania wizi kwanza maendeleo baadae mama Samia kaona awape wageni faida ataiona kuliko wazawa hakuna kinacho patikana.


Kuna supermarket imefungwa Tanzania kwa wizi lakini Kenya ipo. Na wenyewe wanasema Tanzania wizi wengi sana.
Unamaanisha nakumati au
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
JamiiForums110999366.jpg
JamiiForums-1251171175.jpg
 
Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.

Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.

Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!

Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?

Tujitafakari!
Tanzania iliyo asisiwa na Mwl Nyerere hii
 

Attachments

  • FB_IMG_1686228239332.jpg
    FB_IMG_1686228239332.jpg
    20.2 KB · Views: 4
Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.

Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.

Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!

Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?

Tujitafakari!
Wabongo hatuna uzalendo bhana waziri mkuu makamo mwanasheria mkuu wabunge wote hao ni wengi serikalini kuliko hao ulio wataja bado mkuu wa majeshi,vipi wazidiwe akili na watu hao wachache?kama waliona nguvu ya rais kuwazidi kwa nini wasikinukishe?
 
Tatizo sio Samia tatizo sisi watanzania wizi balaa.

Unakumbuka Magufuli alipo ingia madarakani kaanza kwenda Bandarini unajua kwanini??.

Watanzania wizi kwanza maendeleo baadae mama Samia kaona awape wageni faida ataiona kuliko wazawa hakuna kinacho patikana.


Kuna supermarket imefungwa Tanzania kwa wizi lakini Kenya ipo. Na wenyewe wanasema Tanzania wizi wengi sana.
Unamaanisha Samia ni mwizi pia!.
 
Wabongo hatuna uzalendo bhana waziri mkuu makamo mwanasheria mkuu wabunge wote hao ni wengi serikalini kuliko hao ulio wataja bado mkuu wa majeshi,vipi wazidiwe akili na watu hao wachache?kama waliona nguvu ya rais kuwazidi kwa nini wasikinukishe?
Wanawaza matumbo yao tu kwa kuwa na wao wanufaika!
 
Dungai alisemaga lakin akawa excommunicado
 
Back
Top Bottom