hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Mkataba ni miaka mingapi?
Wewe umeona ni miaka mingapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkataba ni miaka mingapi?
Kuna uzi uliandikwa tokea November 2022 niliusoma juzi hapa kuhusu bandari kubinafsishwa. Sisi watanzania tupo bizi sana na Yanga na Simba, lakini mambo ya nchi hatupo serious kabisa.Kawapa wageni au kawapa ndugu zake?. Tenda ya kubinafusisha bndari ilitangazwa wapi??
Heshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Kama upi?Hakuna mtanzania anayekataa uwekezeji, tutachokataa ni mitataba mibovu na yakinyonyaji
Mkapa aliuza/alisaini mkataba wa mali gani kutoka Zanzibar??Mkapa nae alikuwa mzanzibar
Kama huo usio na ukomo yahani muwekeaji ndio ashike mpiniKama upi?
Wazanzibar wamegundua kuwa Watanganyika wote waliopo kwenye nafasi za uongozi wote ni sample ya Msukuma akili hazimo kabisa.Ndio maana unaona wazanzibar sasa wanauza bandari yetu Viongozi wote wa TANGANYIKA waliopo kwenye serikali hii wameridhia AKILI HAKUNA.Heshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Kwa sababu ya ujinga wetu huku bara.Heshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
1.Raisi MzanzibariKumbe mkurugenzi wa TPA ni mzanzibar ?Kweli Samia alijiandaa .
Heshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
1.Raisi Mzanzibari
2.Waziri wa Wizara ya Bandari Mzanzibari
3.Katibu Mkuu wa wizara ya Bandari Mzanzibari.
4. Mkuu wa Bandari Mzanzibari
Kweli Samia alijiandaa.
UpuuuziAllah amjaalie mama huyu afya njema na umri mrefu wa kuishi
Marais wazuri wanaendelea kuishi na mazuri, na kukumbukwa kwa mazuri waliyotufanyia
1 Mwinyi
2 kikwete
3 samia
Wataendelea kuishi tena na tena.Allah amjaalie mama huyu afya njema na umri mrefu wa kuishi
Marais wazuri wanaendelea kuishi na mazuri, na kukumbukwa kwa mazuri waliyotufanyia
1 Mwinyi
2 kikwete
3 samia
Wataendelea kuishi tena na tena.
Kama ndio hivi punde si punde Sam 💯 itabidi akaongoza maraika huko.1.Raisi Mzanzibari
2.Waziri wa Wizara ya Bandari Mzanzibari
3.Katibu Mkuu wa wizara ya Bandari Mzanzibari.
4. Mkuu wa Bandari Mzanzibari
Kweli Samia alijiandaa.