Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.

Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.

Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!

Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?

Tujitafakari!
Mnapokosa hoja mnakuja na chuki za kipuuzi kama huu uzi. Mnachosahau ni ukweli kwamba hayati JPM ndiye aliyekarabati bandari zote.

Kwa akili ya kawaida huwezi kujenga SGR ikawa na uwezo wa kuchukua mzigo wa DRC, Rwanda, Burundi na Tanzania yenyewe halafu usijiongeze katika suala zima la usafirishaji wa mzigo kwa maana ya kuupandisha melini na kuushusha.

Yupo mpuuzi wa kwanza kabisa aliyeanzisha maneno ya kibaguzi na chuki dhidi ya Rais SSH, huyu hakika adhabu yake inamsubiri na itamuumiza yeye na kizazi chake chote.
 
Brother kama umeliona linawexa kutusaidia ni mwanzo mzuri ... hakua na mtazamo huu hapo awali ivyo ni hatua nzuri
Nimekuwa nikisema hili muda mrefu sana .

Watanzania bado hawako tayari kuwa na katiba mpya.

Muda ukifika itakuja tu yenyewe.

Sasa mkuu kwa hali hii ukisema ije mpya si itakuwa balaa.

Kama watu wamekaa kimya na kuridhia vifungu vya aibu kabisa hiyo katiba si itakua zaidi??

Bora tuendelee na hii hii mpaka hapo raia watakapokua na uwezo wa kufikiri sawa ili tuandike katiba nzuri na inayotekelezeka.
 
Inasikitisha hii kitu imetokea hivi. What else can we say or do?
Tunaomba Huruma ya Mwenyezi Mungu kwa watu wake
 
Nimekuwa nikisema hili muda mrefu sana .

Watanzania bado hawako tayari kuwa na katiba mpya.

Muda ukifika itakuja tu yenyewe.

Sasa mkuu kwa hali hii ukisema ije mpya si itakuwa balaa.

Kama watu wamekaa kimya na kuridhia vifungu vya aibu kabisa hiyo katiba si itakua zaidi??

Bora tuendelee na hii hii mpaka hapo raia watakapokua na uwezo wa kufikiri sawa ili tuandike katiba nzuri na inayotekelezeka.
Wasi wasi wangu ni kutokea mageuzi yatakayo mwaga damu wakati tunanafasi ya kufanya with peaceful weather
 
Kwa kifupi watanganyika amesha chafukwa akifanya hivyo polisi hawatatosha.
Vyombo vya dola vya nchi hii ni sehemu ya wizi wa kura unaoendelea kwenye chaguzi zetu. Na wananchi ni waoga kulinda haki yao hasa silaha za moto zinapotumika dhidi yao.
 
Wasi wasi wangu ni kutokea mageuzi yatakayo mwaga damu wakati tunanafasi ya kufanya with peaceful weather
Tanza
Wasi wasi wangu ni kutokea mageuzi yatakayo mwaga damu wakati tunanafasi ya kufanya with peaceful weather
Tanzania tuna historia ya kufanya mambo yetu kwa amani kabisa.

Ila kama watawala Wataendelea kushupaza shingo kwa muda mrefu

Ugumu lazima utakuwepo.

Na hii itasababishwa na gepu kubwa baina ya walio nacho na wasiokua nacho.

Ugumu wa maisha utaondoa uvumilivu.
 
Tatizo sio Samia tatizo sisi watanzania wizi balaa.

Unakumbuka Magufuli alipo ingia madarakani kaanza kwenda Bandarini unajua kwanini??.

Watanzania wizi kwanza maendeleo baadae mama Samia kaona awape wageni faida ataiona kuliko wazawa hakuna kinacho patikana.


Kuna supermarket imefungwa Tanzania kwa wizi lakini Kenya ipo. Na wenyewe wanasema Tanzania wizi wengi sana.
usimamizi mbovu kuchekeana na kujuana kazini ndo matatizo yote watu kama kina JPM wanaitwa madikteta.
 
Kuna chawa wanasema DP world wamenunua pia canada, USA, Germany sijui na wapi, kwa hiyo sisi siyo wa kwanza kuingia mkenge.
kwaio ao DP wamechukua bandari zote za US au Uingereza.?
 
Tanza
Tanzania tuna historia ya kufanya mambo yetu kwa amani kabisa.

Ila kama watawala Wataendelea kushupaza shingo kwa muda mrefu

Ugumu lazima utakuwepo.

Na hii itasababishwa na gepu kubwa baina ya walio nacho na wasiokua nacho.

Ugumu wa maisha utaondoa uvumilivu.
Ila tusisubiri yaharibike zaidi mkada amkeni huko
 
Nyamaza kimya hujui kitu. Tutaanza kuwashughulikia mnaleta kiherehere maana tumewachoka, kila kukicha uzanzibari etc. Sisi Chawa tunasema muacheni mama atakelezw ilani ya CCM, awatumikie watanzania. It is better to do something rather than nothing. Tutamshukuru miaka inayokuja kwa saaa nyie vipofu hamuwezi ona.
Sawa chawa
 
Yan huyu mama yeye na wabunge wake na kale kadada kalikokauka na walaaniwe na uzao wao wotee kwa Jina la Yesu
 
CCM ni tatizo lakini Samia ni tatizo zaidi. Yeye kuwa na wajomba zake wa kiarabu kunawafanya waarabu kumuingia kwa urahisi na kuanza kujadiliana namna rahisi ya kukwapua rasilimali za Tanganyika.
Ndio, Samia tatizo, CCM tatizo, lakini sisi raia pia tatizo kubwa zaidi.

Tunakubali mfumo wa kutegemea roho nzuri ya Rais. Tukipata Rais mwenye dhamira mbaya, matendo maovu, kinyonga, nyoka, basi tumekwisha.

Tukimpa mtu madaraka tunampa madaraka kama yote, ya kufanya lolote!

Eti mpaka ardhi ya nchi katiba inamwambia ana mamlaka nayo, kuigawa vyovyote, kuifanya lolote. Why on earth ?
 
Back
Top Bottom