Kwanini Wahaya hawana maendeleo kama Wachaga wakati kote elimu ilifika mapema?

Sijui kwanini pale Kariakoo zamani kuna mtaa tulikuwa tunakatazwa kabisa kupita, Morogoro Road kule karibu na jengo la vijana, tunaambiwa "msipite huko kwa wahaya aibu".

Sifahamu kwanini ilikuwa vile. Kuna mwenye kuelewa?
Miaka ile kuanzia kona ya barabara za Lumumba/Morogoro hadi Msimbazi/Morogoro vilikuwa vibanda vya Wahaya kujiuza
 
kinachowaponza wahaya ni kujikweza,,,kinachowapandisha wachagga ni kujishusha!!!!!unaweza kumkuta tajiri wa kichagga anacheza draft,,,lakini tajiri wa kihaya never!!
 
Kale kakijiji kao kanawaangusha kanaitwa Katerero.
 
Umekosea kuwaunganisha Wakenya humu ungesema Wakenya kabila la Wajaluo
Wakikuyu hawana tabia hii
 
Stori bila statistics ni porojo.

Chanzo cha stori yako ni kipi!

Maendeleo gani unazungumzia?

Ukisema maendeleo una maana gani

Maendeleo katika nyanda zipi?

MBALI NA HAPO,UNAONESHA CHUKI DHIDI YA KABILA HUSIKA.
Statistics Hizo hapo
 
Soma hiyooo,lazma kuwe na WA kwanza na WA mwisho
Kilimanjaro Tangu uhuru haijawh kutoka top 5 ya Elimu au mãendeleo
 
Kwa kweli siogopei hii nimeona kabisa nimeishi nao sana wote wananuk midomo tena wanaume wa kike sijajua ....Kuna mmoja alikuwa supervisor wangu yaani anatoa maelekezo harufu inatoka kabisa bila ya wasiwasi.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Sina mbavu
 
Kwa wote hao walioelimika ni wachache sana.

Wengi wao (majority) wamesoma lakini hawajaelimika.

Walisomea ujinga kwa kiwango kikubwa.
Wivu utakuua wewe kibibi
Unaona wivu n'a Elimu Yako ya memkwa uliosomea huko makunduchi
 
Kama watanzania wameanza kubeza elimu kiasi hiki, mkae mkijua taifa hili ambalo akili ndogo inaogoza akili kubwa tunatumbukia shimoni
Wapi kabeza Elimu? Kasema mmesoma lakini hamna Akili ya mãendeleo kama Wachaga
Kichwa chako kina Akili 7 kama jina lako[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Truth
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…