Kwanini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wapambanaji na wanaojielewa?

Kwanini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wapambanaji na wanaojielewa?

Kiuhalisia kabisa mwanamke inabidi umzidi vingi sana akikuzidi unakuwa kibenteni

Dharau

Mkikosana hata kwa kidogo ataanza kuwaza kujitegemea kwa sababu nguvu ya kusimama mwenyewe inaanzia hapo

Wapambanaji wengi hawadumu ndani ya ndoa

Ngoja nikutajie

Masham sham
Wanawake live

Wol paper

Bila kusahau graduates wanawake wanaozani elimu ya kwenye kitabu ni sululisho kwenye maisha ya kifamilia (gender quality wakuu)
 
Wanawake wengi wapambanaji wanahistoria za maumivu hasa ktk mapenzi.

Wengi wao walishatendwa na wanaume, sasa wanajigeuza kuwa wanaume kwa utafutaji wa pesa ili kujifariji.

Mara nyingi huvaa sura za utafutaji kama wanaume ili waonekane na wale waliowaacha kuwa wamefanikiwa.

Ukioa mwanamke wa hivi umebeba bomu ujue lazima litalipuka.

Ila sio wanawake wote wapambanaji wengine wanania njema tu.
 
Wengi hapa watakuambia wanaume hawaoi wanawake wa hivyo sababu ni wajeuri sijui wajuaji na bla bla kibao! Ila ukweli ni kwamba wanawake wanaojielewa wengi hawataki kupelekeshwa!

Wanaume wengi wanataka wanawake ambao wataweza kuwapelekesha kwa kila kitu hata kwenye mambo ya kipuuzi! Kwa kifupi wanataka wale wanawake wa kila kitu "ndiyo mume wangu"!

Wanataka wanawake ambao hata ukiwaonesha bia na ukawaambia hii ni juisi basi wasibishe wakubali na wakae kimya hata kama ni kweli wanaona hiyo ni bia! Kwao hao ndiyo wife material!

Mtu anataka aoe mke aliyesoma na anayetafuta pesa ili amsaidie majukumu yake ila asiingilie nafasi yake kitu ambacho kwa wanawake wengi hakiwezekani! Ukimuachia majukumu yako kubali kumuachia na nafasi yako!

Uhalisia ndiyo uko hivyo ukitaka kuoa mwanamke wa kukusaidia majukumu yako wakati yake humsaidii lazima tu utamuona ana dharau na kiburi! Hasa kama mwanaume mwenyewe ndiyo wale wale mliokunywa uji wa mgonjwa!
Kupenda kwa Mwanamke = Kutii/Kumtii Mwanaume, hii ndivyo ilivyo kwa Makabila yoote duniani

Tatizo linakuja ni jinsi gani Wanawake wanaweza ku balance Utii, Unyenyeku na Upambanaji

Wanawake wengi wapambanaji unyenyekevu na utii kwa Waume Zao ni haba

Hata Biblia inawasihi Wanaume ""Wawapende" Wake zao na kuwasistiza Wanawake "Wawatii" Waume zao

Mola ndiye Mjuzi
 
Mkuu nisome vizuri nimeongelea mwanamke ambaye anatafuta pesa na anamsaidia mumewe majukumu hao ambao hawasaidii chochote lazima watimize majukumu yao kikamilifu!!

Una akili wewe???

Hii post yako ya pili nakusoma unataka mkeo akusaidie maisha,umeambiwa na nani au imeandikwa wapi kwamba ukiowa uowe mwanamke wakukusaidia majukumu yako kama baba?una-sound kiboya sana yani.

As long as anakusaidia siku akikukalisha kitako akakwambia ktk hawa watoto huyu mmoja ubini wake siyo wako nilikusaidia kutafuta kwa workmate wangu usituwekee vikao vya familia kusuluhisha wala hatutaki kuandaa mazishi ya kijana aliyejiuwa au kufa kwa stress.
 
Boss kutokana na harakati za kwao za Sasa mi ngumu sana maana unajua mwanamke anataka mume atoe kile mtu ndo maana hamna maana ya kuwa na mke mwenye kazi
Wapo wanawake ni msaada wanajielewa kabisa katikw kupambaniw familia zao assume Kuna rafiki yangu ana msharaha pungufu na mkewe yaani mkewe yupo taasisi kaajiriwa ana mwaka Sasa Ina msharahar mrefy kuliko

Ila anakwambia Kuna siku luku iliisha usiku na huwa anaweka 30k Kwa matumizi Yao akawa Hana kitu Kwa mpesa akamuomba mkewe anunue ila baadae lilikuwa deni amrudishie pesa take yeye mwanamke pesa zake amenunua gari Kwa kuziweka miezi minne tu kazini
Mkuu watoto wadogo lazy lazy kama hawa wanaolilia kuowa ili wanawake wawasaidie maisha hawawezi kukuelewa hawa dawa yao unaachana nao ili dunia iwafunze.

Unatumia nguvu nyingi kwa kitu kisichojielewa.
 
Mwisho wa siku mwanamke mwenye hofu ya Mungu na tabia njema awe na pesa au asiwe na pesa atakuwa mke mwema and vice versa

Mkuu watoto wadogo lazy lazy kama hawa wanaolilia kuowa ili wanawake wawasaidie maisha hawawezi kukuelewa hawa dawa yao unaachana nao dunia ili iwafunze.

Unatumia nguvu nyingi kwa kitu kisichojielewa.
🤣🤣Ngoja aingie kweny ndoa atajamba na omba iswe ya kikristo atakonda hao wanawake akili zao zinafanana
 
Sasa wewe mtu anatoka asubuhi anarudi jioni hapiki na mshahara anao mnono ila wewe ndo unalipa kila na gharama za maisha

Kuna umuhimu gani wa yeye kufanya kazi hata huko kazini wanawake wanazingua wengi kila siku mara mtoto anaumwa anaomba ruhusa, mara hajisikii vizuri akiwa maternity

Huo uhalisia wao na walivyoumbwa na mungu hawawezi kufanya za kushughulisha

Mfano kuna mdada alikuwa anafanya kazi kwa wahindi analipwa kama laki Saba kipind ichi Cha ukosefu ajira akapata mimba ila hakuwa na mkataba akajifungua mwezi uliopita hawakumuona karibia mwezi tangu ajifungue kazi haziendi Kwa section yake wamemtimua wakipiga mahesabu atakaa miezi Saba mbele nyumbani wakaona waajiri kijana mwingine wa kiume
Mwanamke atazaa Kwa uchungu
Mwanaume atatafuta Kwa jasho
 
Sijui kwanini linapokuja swala la kufunga ndoa wanaume wengi huwa wanaogopa kuoa wanawake wanaojitanbua na wapambanaji.

Wanaume wengi wakigundua nature ya mwanamke anaetaka kumuoa ni msomi ana kazi yake nzuli au mwanamke ana biashara zake na ana maisha yake basi linapokuja swala la kuoa huwa anajiuliza mara mbili mbili na mwishoe hataki kuo

Na kama akioa basi kama mdada ana kazi nzuli basi sharti atataka amwachishe kazi ndo amuoe na kama ana biashafa nzuli atamwachisha biashara ili awe mama nyumbani asifanye kazi .

Je, tatizo huwa ni nini maana hata bamkubw

Lakini mwanamke akiwa sio mpambanaji yaani hana kazi wala chanzo chochote na pesa na asiyejielewa ndio tunapenda kuoa
Mimi hao ndiyo nataka...
 
Sijui kwanini linapokuja swala la kufunga ndoa wanaume wengi huwa wanaogopa kuoa wanawake wanaojitanbua na wapambanaji.

Wanaume wengi wakigundua nature ya mwanamke anaetaka kumuoa ni msomi ana kazi yake nzuli au mwanamke ana biashara zake na ana maisha yake basi linapokuja swala la kuoa huwa anajiuliza mara mbili mbili na mwishoe hataki kuo

Na kama akioa basi kama mdada ana kazi nzuli basi sharti atataka amwachishe kazi ndo amuoe na kama ana biashafa nzuli atamwachisha biashara ili awe mama nyumbani asifanye kazi .

Je, tatizo huwa ni nini maana hata bamkubw

Lakini mwanamke akiwa sio mpambanaji yaani hana kazi wala chanzo chochote na pesa na asiyejielewa ndio tunapenda kuoa
Mwanamke ambaye haishi kwa wazazi wake au kuwa chini ya walezi wake hafai kuoa.
 
Boss kutokana na harakati za kwao za Sasa mi ngumu sana maana unajua mwanamke anataka mume atoe kile mtu ndo maana hamna maana ya kuwa na mke mwenye kazi
Wapo wanawake ni msaada wanajielewa kabisa katikw kupambaniw familia zao assume Kuna rafiki yangu ana msharaha pungufu na mkewe yaani mkewe yupo taasisi kaajiriwa ana mwaka Sasa Ina msharahar mrefy kuliko

Ila anakwambia Kuna siku luku iliisha usiku na huwa anaweka 30k Kwa matumizi Yao akawa Hana kitu Kwa mpesa akamuomba mkewe anunue ila baadae lilikuwa deni amrudishie pesa take yeye mwanamke pesa zake amenunua gari Kwa kuziweka miezi minne tu kazini
Pole yake kuna mke na mwanamke, ila siwezi kushangaa kama umeishi kusini eg mtwara mke akitoa matumizi nyumbani lazima Mme ulipe, kwahiyo ni tamaduni zao, wengine hatupo hivyo, wakati mwingine hiyo hiyo ya Mme mke anaweza akawa anabana/kutunza siku Mme hana inatumika hiyo.
 
Sijui kwanini linapokuja swala la kufunga ndoa wanaume wengi huwa wanaogopa kuoa wanawake wanaojitanbua na wapambanaji.

Wanaume wengi wakigundua nature ya mwanamke anaetaka kumuoa ni msomi ana kazi yake nzuli au mwanamke ana biashara zake na ana maisha yake basi linapokuja swala la kuoa huwa anajiuliza mara mbili mbili na mwishoe hataki kuo

Na kama akioa basi kama mdada ana kazi nzuli basi sharti atataka amwachishe kazi ndo amuoe na kama ana biashafa nzuli atamwachisha biashara ili awe mama nyumbani asifanye kazi .

Je, tatizo huwa ni nini maana hata bamkubw

Lakini mwanamke akiwa sio mpambanaji yaani hana kazi wala chanzo chochote na pesa na asiyejielewa ndio tunapenda kuoa
Hatuogopi, wapambanaji wengi wanatokaga kwenye mstari, wana viburi, hawana upendo, hawana mahaba, unyenyekevi na utii kama wake.

Leo jumapili tukumbushane mistari hii michache.

WAEFESO 5:23-25
23 Kwa maana mume ni kichwa cha mke kama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisa, ambalo ni mwili wake, naye mwe nyewe ni Mwokozi wa kanisa. 24 Basi, kama vile Kanisa linavyom tii Kristo, vivyo hivyo na wake pia wanapaswa kuwatii waume zao kwa kila jambo.


1WAKOTINTHO 11:
3 Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.

8 Maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke katika mwanamume.
 
Mwanamke atazaa Kwa uchungu
Mwanaume atatafuta Kwa jasho
Na wanaume wapunguze kulia lia mwanaume mzima mwili nyumba lakini hawezi kusimama kama mwanaume, wengi siku hizi malezi yafamilia hayawapi ujasiri zakutosha wengi mnakuwa watoto wa Mama , Baba zenu wakiwaterekeza basi nikulia lia na Mama zenu, sasa nyie mnao oa kwasasa fundisheni vijana wenu kuwa wanaume kwenye nyumba zao, eti mwingine anamkimbia mkewe eti mkorofi anarudi nyumbani saa 8 akute kalala haa haa haa aibu hii[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwanamme anawaza kupata pesa ili kusaidia familia yake, mwanamke anawaza pesa ili aondokane na utegemezi kwa mwanamme. Mindset 2 tofauti
 
Na wanaume wapunguze kulia lia mwanaume mzima mwili nyumba lakini hawezi kusimama kama mwanaume, wengi siku hizi malezi yafamilia hayawapi ujasiri zakutosha wengi mnakuwa watoto wa Mama , Baba zenu wakiwaterekeza basi nikulia lia na Mama zenu, sasa nyie mnao oa kwasasa fundisheni vijana wenu kuwa wanaume kwenye nyumba zao, eti mwingine anamkimbia mkewe eti mkorofi anarudi nyumbani saa 8 akute kalala haa haa haa aibu hii[emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂imebidi nicheke naona umeamua kuwachana😁😁

Ukweli lakini mwanaume anaelialia mara fyaaa mara fyeee huwa wananipaga mawazo sana
 
Tuseme tuu ni mwanamke mpambanaji siyo anayejielewa
Mwanamke kupambana kutafuta ela haimfanyi kuwa na sifa ya moja kwa moja ya kujielewa
Ishu ya wanaume kukwepa watu wa aina iyo sababu nikwamba mwanamke moja kati ya sifa yake ni kutunzwa na kudekezwa (utafanya ivi na kunasaa anakukasirikia minuno kibao)
Sasa ndiyo unaenda kutunzwa wewe au kile unafanya nayeye ananguvu yakuweza kukifanya lazima achanue mbawa apae
 
Back
Top Bottom