Kwanini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wapambanaji na wanaojielewa?

Kwanini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wapambanaji na wanaojielewa?

Sijui kwanini linapokuja swala la kufunga ndoa wanaume wengi huwa wanaogopa kuoa wanawake wanaojitanbua na wapambanaji.

Wanaume wengi wakigundua nature ya mwanamke anaetaka kumuoa ni msomi ana kazi yake nzuli au mwanamke ana biashara zake na ana maisha yake basi linapokuja swala la kuoa huwa anajiuliza mara mbili mbili na mwishoe hataki kuo

Na kama akioa basi kama mdada ana kazi nzuli basi sharti atataka amwachishe kazi ndo amuoe na kama ana biashafa nzuli atamwachisha biashara ili awe mama nyumbani asifanye kazi .

Je, tatizo huwa ni nini maana hata bamkubw

Lakini mwanamke akiwa sio mpambanaji yaani hana kazi wala chanzo chochote na pesa na asiyejielewa ndio tunapenda kuoa
Oa wewe kaka kuna mtu aliyekuzuia kila mtu na maisha yake na mipango yake
 
Mwanamke anayejielewa tu ndie anayeolewa.

Haijalishi ana kazi, Hana kazi, mpambanaji, goli kipa au yupo yupo TU.

Inavoonekana hujaelewa Maana ya "kujielewa" linapokuja suala Zima la kuoa au kuolewa
 
"Lakini mwanamke akiwa sio mpambanaji yaani hana kazi wala chanzo chochote na pesa na asiyejielewa ndio tunapenda kuoa."


Wewe na nani uliyemuusisha kwenye hii paragraph yako? 🤮🤮🤮🤮
 
Wengi hapa watakuambia wanaume hawaoi wanawake wa hivyo sababu ni wajeuri sijui wajuaji na bla bla kibao! Ila ukweli ni kwamba wanawake wanaojielewa wengi hawataki kupelekeshwa!

Wanaume wengi wanataka wanawake ambao wataweza kuwapelekesha kwa kila kitu hata kwenye mambo ya kipuuzi! Kwa kifupi wanataka wale wanawake wa kila kitu "ndiyo mume wangu"!

Wanataka wanawake ambao hata ukiwaonesha bia na ukawaambia hii ni juisi basi wasibishe wakubali na wakae kimya hata kama ni kweli wanaona hiyo ni bia! Kwao hao ndiyo wife material!

Mtu anataka aoe mke aliyesoma na anayetafuta pesa ili amsaidie majukumu yake ila asiingilie nafasi yake kitu ambacho kwa wanawake wengi hakiwezekani! Ukimuachia majukumu yako kubali kumuachia na nafasi yako!

Uhalisia ndiyo uko hivyo ukitaka kuoa mwanamke wa kukusaidia majukumu yako wakati yake humsaidii lazima tu utamuona ana dharau na kiburi! Hasa kama mwanaume mwenyewe ndiyo wale wale mliokunywa uji wa mgonjwa!
Ulianza vibaya, ila umemaluza vizur.
Hoja yako Inakanganya Sana.
 
Kwasababu mwanamke anaejiita mpambanaji na msomi hua na hulka ya kutaka kuishi kama mwanaume ndani ya nyumba.

Imeandikwa, mwanaume atamuoa mwanamke. Na sio mwanaume atamuoa mwanaume mwenzake.
Uzi unasema mwanamke anayejielewa na mpambanaji. Hao unaowaongelea hawajielewi
 
Dizaini ya mwanamke uliemzungumzia hapo hua anapenda kutawala sio kutawaliwa, hata kwenye habari ya uzazi wanazingua sana, utaskia mtoto wa 2 tutazaa huyu akifikisha miaka 7.
 
Hapana wanaoogopa ni wavulana....bali mwanaume anaoa mwanamke yeyote waliyekubaliana katika hilo..........

Mwanaume anatumia akili zaidi kuliko hisia na mvulana anatumia hisia zaidi kuliko akili Hali ya kuwa tumeagizwa tuishi nao kwa akili.....

Ukitambua maana ya uanaume wako na wajibu na thamani yako yako kama mwanaume basi unaweza ukamuoa mwanamke yeyote na mkaishi vyema kabisa.....

Kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume na mvulana......

Uanaume au uvulana unapimwa na kutofautishwa kwa ukomavu na weledi wa namna unavyoyaendea au kuyashughulikia mambo yako......

Na ni rahisi kujua kama utatumia fahamu zako kwa usahihi....
Mkuu unawajua wanawake wa sasa hivi au unajisemea tu yoyote aweza olewa, ila jua tu kuna sampuli ya mwanamke haioleki kabisaaaa na mwanaume yoyote duniani, pia wapo wanaume.
 
Wengi hapa watakuambia wanaume hawaoi wanawake wa hivyo sababu ni wajeuri sijui wajuaji na bla bla kibao! Ila ukweli ni kwamba wanawake wanaojielewa wengi hawataki kupelekeshwa!

Wanaume wengi wanataka wanawake ambao wataweza kuwapelekesha kwa kila kitu hata kwenye mambo ya kipuuzi! Kwa kifupi wanataka wale wanawake wa kila kitu "ndiyo mume wangu"!

Wanataka wanawake ambao hata ukiwaonesha bia na ukawaambia hii ni juisi basi wasibishe wakubali na wakae kimya hata kama ni kweli wanaona hiyo ni bia! Kwao hao ndiyo wife material!

Mtu anataka aoe mke aliyesoma na anayetafuta pesa ili amsaidie majukumu yake ila asiingilie nafasi yake kitu ambacho kwa wanawake wengi hakiwezekani! Ukimuachia majukumu yako kubali kumuachia na nafasi yako!

Uhalisia ndiyo uko hivyo ukitaka kuoa mwanamke wa kukusaidia majukumu yako wakati yake humsaidii lazima tu utamuona ana dharau na kiburi! Hasa kama mwanaume mwenyewe ndiyo wale wale mliokunywa uji wa mgonjwa!
Habari ya sisi kumtawala mwanamke ipo kimaandiko sio tunajitakia sisi,

Ivi kama nimemuoa mwanamke ana majukumu gani tena nje ya familia yetu adi mseme hatakua tayari kusaidia moja kwa moja?
 
anaeolewa ni yule anaejitambua nafasi yake ni ipi na mume wake ni ipi na anahiheshimu nafasi hiyo.
xo ht akiwa mpambanaji vipi na hatambui nafasi yake na majukumu ni kazi bure.
wacha tuwe tunapita tu.
 
Sasa labda nikuulize swali. Mwanaume ambae amekamilika kifahamu, kiakili, kimawazo, na hulka zote atataka mwanamke wa namna hiyo ili amuongezee jambo gani katika maisha yake?!
 
Sijui kwanini linapokuja swala la kufunga ndoa wanaume wengi huwa wanaogopa kuoa wanawake wanaojitanbua na wapambanaji.

Wanaume wengi wakigundua nature ya mwanamke anaetaka kumuoa ni msomi ana kazi yake nzuli au mwanamke ana biashara zake na ana maisha yake basi linapokuja swala la kuoa huwa anajiuliza mara mbili mbili na mwishoe hataki kuo

Na kama akioa basi kama mdada ana kazi nzuli basi sharti atataka amwachishe kazi ndo amuoe na kama ana biashafa nzuli atamwachisha biashara ili awe mama nyumbani asifanye kazi .

Je, tatizo huwa ni nini maana hata bamkubw

Lakini mwanamke akiwa sio mpambanaji yaani hana kazi wala chanzo chochote na pesa na asiyejielewa ndio tunapenda kuoa

Ni sawa na kuoa mwanaume mwenzio jambo ambalo tamaduni zetu haziruhusu.
 
Hakuna cha ubinafsi mkuu tatizo ni mgawanyo wa majukumu! Siku wanaume mkianza kufanya majukumu ya wanawake na kuyachukulia kama yenu basi na wanawake nao wataanza kufanya majukumu ya wanaume na kuyachukulia kama yao!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapana wanaoogopa ni wavulana....bali mwanaume anaoa mwanamke yeyote waliyekubaliana katika hilo..........

Mwanaume anatumia akili zaidi kuliko hisia na mvulana anatumia hisia zaidi kuliko akili Hali ya kuwa tumeagizwa tuishi nao kwa akili.....

Ukitambua maana ya uanaume wako na wajibu na thamani yako yako kama mwanaume basi unaweza ukamuoa mwanamke yeyote na mkaishi vyema kabisa.....

Kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume na mvulana......

Uanaume au uvulana unapimwa na kutofautishwa kwa ukomavu na weledi wa namna unavyoyaendea au kuyashughulikia mambo yako......

Na ni rahisi kujua kama utatumia fahamu zako kwa usahihi....
Case closed.
 
Wengi hapa watakuambia wanaume hawaoi wanawake wa hivyo sababu ni wajeuri sijui wajuaji na bla bla kibao! Ila ukweli ni kwamba wanawake wanaojielewa wengi hawataki kupelekeshwa!

Wanaume wengi wanataka wanawake ambao wataweza kuwapelekesha kwa kila kitu hata kwenye mambo ya kipuuzi! Kwa kifupi wanataka wale wanawake wa kila kitu "ndiyo mume wangu"!

Wanataka wanawake ambao hata ukiwaonesha bia na ukawaambia hii ni juisi basi wasibishe wakubali na wakae kimya hata kama ni kweli wanaona hiyo ni bia! Kwao hao ndiyo wife material!

Mtu anataka aoe mke aliyesoma na anayetafuta pesa ili amsaidie majukumu yake ila asiingilie nafasi yake kitu ambacho kwa wanawake wengi hakiwezekani! Ukimuachia majukumu yako kubali kumuachia na nafasi yako!

Uhalisia ndiyo uko hivyo ukitaka kuoa mwanamke wa kukusaidia majukumu yako wakati yake humsaidii lazima tu utamuona ana dharau na kiburi! Hasa kama mwanaume mwenyewe ndiyo wale wale mliokunywa uji wa mgonjwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umetisha sana sis.
 
Una akili wewe???

Hii post yako ya pili nakusoma unataka mkeo akusaidie maisha,umeambiwa na nani au imeandikwa wapi kwamba ukiowa uowe mwanamke wakukusaidia majukumu yako kama baba?una-sound kiboya sana yani.

As long as anakusaidia siku akikukalisha kitako akakwambia ktk hawa watoto huyu mmoja ubini wake siyo wako nilikusaidia kutafuta kwa workmate wangu usituwekee vikao vya familia kusuluhisha wala hatutaki kuandaa mazishi ya kijana aliyejiuwa au kufa kwa stress.
Huwa unapovukwa sana, uwage unasoma na kuelewa lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyie hao wanaowapelekesha si nipewe mie mmoja,, atakuja wasimulia humu,, [emoji48][emoji48][emoji48] mwanaume ni mwanaume tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utafanya nn wee?
 
Back
Top Bottom