Kwanini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wapambanaji na wanaojielewa?

Kwanini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wapambanaji na wanaojielewa?

Sijui kwanini linapokuja swala la kufunga ndoa wanaume wengi huwa wanaogopa kuoa wanawake wanaojitanbua na wapambanaji.

Wanaume wengi wakigundua nature ya mwanamke anaetaka kumuoa ni msomi ana kazi yake nzuli au mwanamke ana biashara zake na ana maisha yake basi linapokuja swala la kuoa huwa anajiuliza mara mbili mbili na mwishoe hataki kuo

Na kama akioa basi kama mdada ana kazi nzuli basi sharti atataka amwachishe kazi ndo amuoe na kama ana biashafa nzuli atamwachisha biashara ili awe mama nyumbani asifanye kazi .

Je, tatizo huwa ni nini maana hata bamkubw

Lakini mwanamke akiwa sio mpambanaji yaani hana kazi wala chanzo chochote na pesa na asiyejielewa ndio tunapenda kuoa
Shida hao mnao waita wapambanaji na wenye kujitambua ukweli hawajitambui yaani ni wajinga na ni mizigo kuliko unavyo ona wewe.

Sisi tunapenda kuoa wanawake wenye dini na tabia njema, huwezi kumkuta mwanamke mwenye kujitambua akawa mpambanaji kwa maana hii unayo ikusudia wewe. Mwanamke mwenye kujitambua yeye hukaa nyumbani na kulea familia. Kinyume na hapo huyo hajitambui.

Shukrani.
 
Kasoma kapata kazi mkoa mwingine ataishi vipi kwa wazazi au walezi? Oeni wale waliofeli darasa saba mbona wapo wengi sana tena huko vijijini ndiyo wamejaa nendeni huko.
Naomba unywe soda hapo ulipo chap nakuja kulipa tupate na kupeana mikono ya hongera 👊🏿👊🏿👊🏿
 
98% Kiafrika mwanamke akipata bas matako yake yanalia mbwata, mwanamke akiwa na elimu, kipato, cheo bas wanahis wameshamaliza kila kitu apa duniani ata ile caring ya ndoa kwao wanahis kero na wengi uwa hawataki kuolewa
 
98% Kiafrika mwanamke akipata bas matako yake yanalia mbwata, mwanamke akiwa na elimu, kipato, cheo bas wanahis wameshamaliza kila kitu apa duniani ata ile caring ya ndoa kwao wanahis kero na wengi uwa hawataki kuolewa
Eti matako yanalia nini 🤣🤣🤣🤣
 
Jamani mbona hamna jemaaa…mtatuua nyie watu
Hiyo ni mie jamani kama mzabzab.
Mie mwanamke kwa kweli naangalia tako na uzuri wa shape. Hayo mambo ya sijui anakipato au ana akili hayanihusu maana nnajuajukumu la mke ni kukata mauno basi.
 
Wengi hapa watakuambia wanaume hawaoi wanawake wa hivyo sababu ni wajeuri sijui wajuaji na bla bla kibao! Ila ukweli ni kwamba wanawake wanaojielewa wengi hawataki kupelekeshwa!
Kiumbe chochote kiwe kinavyokuwa hakipendi kupelekeshwa haijalishi kina mali, hakina mali wala hakina elimu na mfano wake. Hili ondoa kabisa.
Wanaume wengi wanataka wanawake ambao wataweza kuwapelekesha kwa kila kitu hata kwenye mambo ya kipuuzi! Kwa kifupi wanataka wale wanawake wa kila kitu "ndiyo mume wangu"!
Sisi waowaji ambao tunajua ni ipi nafasi ya mke hasa nyumbani, tunasema hatuoi mwanamke anaye kaa nyumbani kwa lengo la kumpelekesha, kwanza mwanamke wa "ndiyo" hana ladha, bali tunataka wanawake watiifu na wenye kujua nafasi zao.

Tunao mwanamke ambaye ukimuamrisha kwenye shari au jambo ovu, anakataa na kukunasihi. Hawa ndiyo wanawake tunao waoa.

Kwa ufupi sisi waowaji tuna oa ili tupate utulivu na mapenzi.
Mtu anataka aoe mke aliyesoma na anayetafuta pesa ili amsaidie majukumu yake ila asiingilie nafasi yake kitu ambacho kwa wanawake wengi hakiwezekani! Ukimuachia majukumu yako kubali kumuachia na nafasi yako!
Huu kwanza ni uzwa zwa, inakuwaje mwanaume una oa, ili mkeo akusaidie majukumu ? Kuna vijana huwa nawashangaa sana, hawa ndiyo wanapelekea Wanawake nao wazidi kuwa wajinga.

Mwanamke yake nyumba tu na kulea.
 
Shida hao mnao waita wapambanaji na wenye kujitambua ukweli hawajitambui yaani ni wajinga na ni mizigo kuliko unavyo ona wewe.

Sisi tunapenda kuoa wanawake wenye dini na tabia njema, huwezi kumkuta mwanamke mwenye kujitambua akawa mpambanaji kwa maana hii unayo ikusudia wewe. Mwanamke mwenye kujitambua yeye hukaa nyumbani na kulea familia. Kinyume na hapo huyo hajitambui.

Shukrani.
😂😂unachekesha lakini
 
Hiyo ni mie jamani kama mzabzab.
Mie mwanamke kwa kweli naangalia tako na uzuri wa shape. Hayo mambo ya sijui anakipato au ana akili hayanihusu maana nnajuajukumu la mke ni kukata mauno basi.
Mnatuweka kwenye wakati mgumu sana sisi flatscreen
 
Nyie hao wanaowapelekesha si nipewe mie mmoja,, atakuja wasimulia humu,, [emoji48][emoji48][emoji48] mwanaume ni mwanaume tu
 
Nyie hao wanaowapelekesha si nipewe mie mmoja,, atakuja wasimulia humu,, [emoji48][emoji48][emoji48] mwanaume ni mwanaume tu
Hata mm kwa kwel huwa nawaza mwanaume utapelekwaje kiboya hivyo hata kama pesa ni zake cha Moto atakipata
 
Boss kutokana na harakati za kwao za Sasa mi ngumu sana maana unajua mwanamke anataka mume atoe kile mtu ndo maana hamna maana ya kuwa na mke mwenye kazi
Wapo wanawake ni msaada wanajielewa kabisa katikw kupambaniw familia zao assume Kuna rafiki yangu ana msharaha pungufu na mkewe yaani mkewe yupo taasisi kaajiriwa ana mwaka Sasa Ina msharahar mrefy kuliko

Ila anakwambia Kuna siku luku iliisha usiku na huwa anaweka 30k Kwa matumizi Yao akawa Hana kitu Kwa mpesa akamuomba mkewe anunue ila baadae lilikuwa deni amrudishie pesa take yeye mwanamke pesa zake amenunua gari Kwa kuziweka miezi minne tu kazini
Huyo paragraph mwisho..... wanawake ubinafsi ndio asili yao. Nina mwanagu dereva wa bajaj,kuna siku alipiga kazi night kali, alichelewa kurudi home,halafu siku hiyo biashara haikuwa nzuri,so akachelewa kuamka mke wake alienda Sokoni. Sasa akawa anaitafuta simu yake ya mkononi, katafuta kaona ajaribu kuiangalia kabatini. Kufika kabatini akapekua upande wake, akaona acha ajaribu upande wa mke wake. Kupekua kakutana na 1.4m mwanamke kaificha.

Jamaa alichoka mke wake anarudi sokoni, mtoto alikojolea Pampas,akamwambia inahitajika hela ya Pampas jamaa alimtizama akaondoka zake, yule mwanamke kwenda kabatini mwake ndipo akagundua mme wake aliziona zile hela. Baadae kwa aibu ndipo akamwambia hizo hela alipewa na baba yake miezi miwili iliyopita baada ya kuuza shamba.

Kwenye swala hela wanawake ni wabinafsi hakuna yaani chao chao,chako chao na ndio maana kuna wengine wanataka magolikipa ili mke awe na familia au kuna wengine mpaka wanawatoa kazini wake zao. Ila ukimpata mwanamke ambaye mpambanaji anajua role yake, anajua nini maaana ya maisha (yana kupanda na kushuka) ,basi utakuwa umepata kilicho chema.

Sasa umpate mpambanaji, ana elimu mixer 50/50 na plus ubinafsi waliokuwa nao, basi utakuwa imejitengenezea Kajehanum kako kadogo hapo nyumbani kwako.
 
Wanawake wengi wapambanaji wanahistoria za maumivu hasa ktk mapenzi.

Wengi wao walishatendwa na wanaume, sasa wanajigeuza kuwa wanaume kwa utafutaji wa pesa ili kujifariji.

Mara nyingi huvaa sura za utafutaji kama wanaume ili waonekane na wale waliowaacha kuwa wamefanikiwa.

Ukioa mwanamke wa hivi umebeba bomu ujue lazima litalipuka.

Ila sio wanawake wote wapambanaji wengine wanania njema tu.
100%
 
Una akili wewe???

Hii post yako ya pili nakusoma unataka mkeo akusaidie maisha,umeambiwa na nani au imeandikwa wapi kwamba ukiowa uowe mwanamke wakukusaidia majukumu yako kama baba?una-sound kiboya sana yani.

As long as anakusaidia siku akikukalisha kitako akakwambia ktk hawa watoto huyu mmoja ubini wake siyo wako nilikusaidia kutafuta kwa workmate wangu usituwekee vikao vya familia kusuluhisha wala hatutaki kuandaa mazishi ya kijana aliyejiuwa au kufa kwa stress.
Huyo uliemquote hapo ni mwanamke.wakati mwingine id zinachanganya.pole
 
Upambanaji n mzur endapo mwanamke hatasahau kuwa yy n mke, tatzo litanza endapo mwanamke atasahau kuwa yy n mke na kuanza kujilinganisha na mume wake.

Wapo wanaojitambua lkn pia wapo wasiojitambua, hata ktka hao ambao s wapambanaji(wamama wa nyumbani) wapo wenye vburi na dharau pia.

Sku zote jasir aachi asili, hapa haijalish anajimudu au n tegemez kama n mtu wa madharau na majivuno atabaki kuwa hivyo hvyo hata kama anamtegemea mumewe kwa 100%.

N katka hao wachache mliokutana nao, haimaanish kuwa hapana wanawake wapambanaji na wanaotambua nafas zao kama wake.

Heshima mtu anazaliwa nayo, kama s mtu mwenye heshma na kujitambua apaswalo kufanya hata kama n kapuku hiyo haitabadili tabia aliyo nayo. Kuna watu n wajuaji weny madharau na kibur, lkn hata mia mfukon hawana na elimu ndyo hivyo tena kama yangu drs la 2 c. N jins tu mtu ameumbwa
 
Huyo paragraph mwisho..... wanawake ubinafsi ndio asili yao. Nina mwanagu dereva wa bajaj,kuna siku alipiga kazi paragraph night kali, alichelewa kurudi home,halafu siku hiyo biashara haikuwa nzuri,so akachelewa kuamka mke wake alienda Sokoni. Sasa akawa anaitafuta simu yake ya mkononi, katafuta kaona ajaribu kuiangalia kabatini. Kufika kabatini akapekua upande wake, akaona acha ajaribu upande wa mke wake. Kupekua kakutana na 1.4m mwanamke kaificha.

Jamaa alichoka mke wake anarudi sokoni, mto alikojolea Pampas, inahitajika Pampas jamaa alimtizama akaondoka zake, yule mwanamke kwenda kabatini mwake ndipo akagundua mme wake aliziona zile hela. Baadae kwa aibu ndipo akamwambia hizo hela alipewa na baba yake miezi miwili iliyopita baada ya kuuza shamba.

Kwenye swala hela wanawake ni wabinafsi hakuna yaani chao chao,chako chao na ndio maana kuna wengine wanataka magolikipa ili mke awe na familia au kuna wengine mpaka wanawatoa kazini wake zao. Ila ukimpata mwanamke ambaye mpambanaji anajua role yake, anajua nini maaana ya maisha (yana kupanda na kushuka) ,basi utakuwa umepata kilicho chema.

Sasa umpate mpambanaji, ana elimu mixer 50/50 na plus ubinafsi waliokuwa nao, basi utakuwa imejitengenezea Kajehanum kako kadogo hapo nyumbani kwako.
Walivyokuwa na akili pungufu wanakikusanya wanaanza kuambia eti haki sawa
 
Back
Top Bottom