Kwanini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wapambanaji na wanaojielewa?

Kwanini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wapambanaji na wanaojielewa?

Huyo paragraph mwisho..... wanawake ubinafsi ndio asili yao. Nina mwanagu dereva wa bajaj,kuna siku alipiga kazi paragraph night kali, alichelewa kurudi home,halafu siku hiyo biashara haikuwa nzuri,so akachelewa kuamka mke wake alienda Sokoni. Sasa akawa anaitafuta simu yake ya mkononi, katafuta kaona ajaribu kuiangalia kabatini. Kufika kabatini akapekua upande wake, akaona acha ajaribu upande wa mke wake. Kupekua kakutana na 1.4m mwanamke kaificha.

Jamaa alichoka mke wake anarudi sokoni, mto alikojolea Pampas, inahitajika Pampas jamaa alimtizama akaondoka zake, yule mwanamke kwenda kabatini mwake ndipo akagundua mme wake aliziona zile hela. Baadae kwa aibu ndipo akamwambia hizo hela alipewa na baba yake miezi miwili iliyopita baada ya kuuza shamba.

Kwenye swala hela wanawake ni wabinafsi hakuna yaani chao chao,chako chao na ndio maana kuna wengine wanataka magolikipa ili mke awe na familia au kuna wengine mpaka wanawatoa kazini wake zao. Ila ukimpata mwanamke ambaye mpambanaji anajua role yake, anajua nini maaana ya maisha (yana kupanda na kushuka) ,basi utakuwa umepata kilicho chema.

Sasa umpate mpambanaji, ana elimu mixer 50/50 na plus ubinafsi waliokuwa nao, basi utakuwa imejitengenezea Kajehanum kako kadogo hapo nyumbani kwako.
Hakuna cha ubinafsi mkuu tatizo ni mgawanyo wa majukumu! Siku wanaume mkianza kufanya majukumu ya wanawake na kuyachukulia kama yenu basi na wanawake nao wataanza kufanya majukumu ya wanaume na kuyachukulia kama yao!
 
Hakuna cha ubinafsi mkuu tatizo ni mgawanyo wa majukumu! Siku wanaume mkianza kufanya majukumu ya wanawake na kuyachukulia kama yenu na wanawake nao wataanza kufanya majukumu ya wanaume na kuyachukulia kama yao!
Sasa ndani 1.4m ,unakaa nazo zaidi ya miezi miwili hata kutoa hela ya Pampas Tsh 500 kumnunulia mtoto unashindwa kweli?Wakati unajua mme wako kazi zake za kuungaunga na ndio maana kuna wengine hawataki wake zao wafanye kazi ,sasa hata 10% unacho ingiza hakionekani sasa hiyo kazi ina msaada gani the kwenye familia.

Unatetea upuuzi.
 
Sasa ndani 1.4m ,unakaa nazo zaidi ya miezi miwili hata kutoa hela ya Pampas Tsh 500 kumnunulia mtoto unashindwa kweli?Wakati unajua mme wako kazi zake za kuungaunga na ndio maana kuna wengine hawataki wake zao wafanye kazi ,sasa hata 10% unacho ingiza hakionekani sasa hiyo kazi ina msaada gani the kwenye familia.

Unatetea upuuzi.
Kama mnajua maisha yanabadilika na kuna wakati mwanamke anaweza kumzidi kipato mumewe kwanini sasa bado mmekazana na huo mgawanyo wenu wa majukumu usio na kichwa wala miguu? Ndiyo maana nasema usimlaumu mtu kwa sababu hata wanaume mkiambiwa msaidie kazi za nyumbani huwa hamtaki hata kama mnaweza na muda mnao ila huwa mnataka wake zenu ndiyo wafanye kila kitu na bado majukumu yenu wawasaidie!
 
Kama mnajua maisha yanabadilika na kuna wakati mwanamke anaweza kumzidi kipato mumewe kwanini sasa bado mmekazana na huo mgawanyo wenu wa majukumu usio na kichwa wala miguu? Ndiyo maana nasema usimlaumu mtu kwa sababu hata wanaume mkiambiwa msaidie kazi za nyumbani huwa hamtaki hata kama mnaweza na muda mnao ila huwa mnataka wake zenu ndiyo wafanye kila kitu na bado majukumu yenu wawasaidie!
Endelea kukaza kichwa, ila kanzu haitokuja kufanana na dela.
 
Kasoma kapata kazi mkoa mwingine ataishi vipi kwa wazazi au walezi? Oeni wale waliofeli darasa saba mbona wapo wengi sana tena huko vijijini ndiyo wamejaa nendeni huko.
Mwanamke mpaka anapata kazi kabla ya kuolewa anakuwa tayari alishakosa sifa za kuolewa tayari.

Wanawake wa kuoa wengi bado hawajapata kazi in their early 20s.
 
Ukitaka kujua tabia ya mkeo filisika! Shida iko hapo kuwa wamama mkipata pesa hamtawaliki ndani ya nyumba.
 
System kwa jinsi ilivyo mwanamke anaeonekana mpambanaji anapitia mengi so huwa siyo mwaminifu then huwa hajitoi sana
 
Boss kutokana na harakati za kwao za Sasa mi ngumu sana maana unajua mwanamke anataka mume atoe kile mtu ndo maana hamna maana ya kuwa na mke mwenye kazi
Wapo wanawake ni msaada wanajielewa kabisa katikw kupambaniw familia zao assume Kuna rafiki yangu ana msharaha pungufu na mkewe yaani mkewe yupo taasisi kaajiriwa ana mwaka Sasa Ina msharahar mrefy kuliko

Ila anakwambia Kuna siku luku iliisha usiku na huwa anaweka 30k Kwa matumizi Yao akawa Hana kitu Kwa mpesa akamuomba mkewe anunue ila baadae lilikuwa deni amrudishie pesa take yeye mwanamke pesa zake amenunua gari Kwa kuziweka miezi minne tu kazini
Wanawake wa hivyo hawajielewi. Unafanya kazi ili iweje sasa. Mimi wala sinaga hizo, kama luku imeisha nanunua kwa hela yangu, ada za watoto nilikuwa nachangia, yaani kwz ujumla tulikuwa tunashirikiana kwz kila kitu. Ila ndio hivyo tena akapata mchepuko akarubuniwa, ila akapigwa na kitu kizito anajuta hadi leo. Maisha nikusaidiana kama mwanamke anajua thamani ya familia yake. Nafanya kazi na wanqwake wengi tu wanaojielewa.na wanachangia vizuri tu ustawi wa familia zao
 
Wanawake wa hivyo hawajielewi. Unafanya kazi ili iweje sasa. Mimi wala sinaga hizo, kama luku imeisha nanunua kwa hela yangu, ada za watoto nilikuwa nachangia, yaani kwz ujumla tulikuwa tunashirikiana kwz kila kitu. Ila ndio hivyo tena akapata mchepuko akarubuniwa, ila akapigwa na kitu kizito anajuta hadi leo. Maisha nikusaidiana kama mwanamke anajua thamani ya familia yake. Nafanya kazi na wanqwake wengi tu wanaojielewa.na wanachangia vizuri tu ustawi wa familia zao
Yaani mkiwa kama ivyo raha sana tamaa zinatugharimu sisi wanaume sometimes
 
Kasoma kapata kazi mkoa mwingine ataishi vipi kwa wazazi au walezi? Oeni wale waliofeli darasa saba mbona wapo wengi sana tena huko vijijini ndiyo wamejaa nendeni huko.
Halafu hawa wanzume bwana, wanawapeleka watoto zao wa kike shule za mamilioni ili wapate elimu nzuri na hatimaye wapate kazi nzuri halafu wanawadanyanya wenzao kuwa hawataki wanawake wapambanaji. Halafu hao hao hawataki kuwaowa watoto wa masikini kwa kuogopa vizinga.
 
Yaani mkiwa kama ivyo raha sana tamaa zinatugharimu sisi wanaume sometimes
Masuala ya usawa wa kijinsia naona tumeyachukulia vibaya. Kuwa mwanamke mwenye nafasi haimaanishi kumdharau mwenzako. Ustawi wa familia unajengwa na mume na mke, sio mmoja kumnyonya mwenzake. Nafasi zetu tuzitumie vizuri ili kumpungizia mwenza wako majukumu ya familia. Sasa mtu kazi nzuri halafu unataka upewe sijui hela za saloon, kucha etc . Mara moja moja akikupa fine lakini isiwe ndio ada.
 
Ukitaka kujua tabia ya mkeo filisika! Shida iko hapo kuwa wamama mkipata pesa hamtawaliki ndani ya nyumba.
Inategemea na mtu. Wengine tuliishi nao maisha ya kuungaunga kwa kiroho safi tu. Lakini alichonifanyia Mungu ndio anajua. Lakini na yeye alipatikana haswa
 
Sawa endeleeni kuishi kwenye hiyo hiyo mifano yenu wakati uhalisia huku ni tofauti! Endeleeni kuwangoja hao wanawake mnaowataka!
Mkienda against na nature ambayo Mungu kaiweka matokeo yake ndio haya, Single mother kibao, watoto wanakosa upendo wa familia iliyo kamilika, matokeo tunakuwa na kizazi ambacho hakina upendo na husitegemee kama kitakuwa kizazi cha kuwajibika kwenye familia.

Ila dunia ni yako chaguo ni lako kama umekaza fuvu endelea kukaza, ila 50/50 sio mpango wa Mungu.
 
Mkuu nisome vizuri nimeongelea mwanamke ambaye anatafuta pesa na anamsaidia mumewe majukumu hao ambao hawasaidii chochote lazima watimize majukumu yao kikamilifu! By the way oeni ambao hawajasoma wala hawana kazi wala biashara ili mjue moja kuwa mmeoa magolikipa basi kuliko kuoa hao ambao wanatafuta ila pesa zao hazionekani!
Hamna huyo mwanamke, hayupo acha ufala chalii
 
Wanawake wengi wapambanaji wanahistoria za maumivu hasa ktk mapenzi.

Wengi wao walishatendwa na wanaume, sasa wanajigeuza kuwa wanaume kwa utafutaji wa pesa ili kujifariji.

Mara nyingi huvaa sura za utafutaji kama wanaume ili waonekane na wale waliowaacha kuwa wamefanikiwa.

Ukioa mwanamke wa hivi umebeba bomu ujue lazima litalipuka.

Ila sio wanawake wote wapambanaji wengine wanania njema tu.
Popote ulipokaa agiza kinywagi unachopenda nitumie lipa namba
 
Back
Top Bottom