Legacy kubwa ya Magufuli aliyoaiacha na itakumbukwa kwa vizazi vingi ni kuwa Rais wa nchi akiwa ni mgonjwa wa akili.
Hiii ni legacy ya pekee sana maana vichaa wengi huishia barabarani lakini yeye kaishia ikulu,what a legacy!
Kuna mwingine ana legacy ya kushikishwa ukuta huko ubeberuni, nayo ni legacy tu
 
Pole kwa kuteseka.
 
Ni kweli na bahati mbaya mnafiki anaweza kumgeuka yeyote
Kumwamini mnafiki ni kujichimbia shimo then ukajifukia mwenyewe; ni ukichaa usio na viwango. Wagonjwa wa aina hiyo, hata Mirembe hawapokelewagiNi
 
Point hapa ni kuwa viongozi wanaotaka kumkosoa wafanye hivyo moja kwa moja na sio kwa uficho
 
Legacy imeajiandika. Wenye donge tu ndio wanahangaika sio Mimi.
 
Haya ni maoni yangu na mtu yeyote halazimishwi kuyapokea.

Sihitaji kurudia mazuri ya Magufuli. Tunajua alikuwa Rais wa watu aliyeongoza kwa ajili ya watu wa chini kabisa.
Sasa wale wa Juu walikuwa hawana kiongozi na wale wa kati maana ali deal na watu wa chiiiiiiiini kaaabiisa.


Basi alikuwa hafai. Wote tumepiga kura
 
Dhalimu legacy yake ni UDHALIMU NA DHULUMA. Tia hiyo akilini mwako.


 
Legasi ya kupotezwa kwa Ben Saanane na Azory siyo.....ok tunaisubiri kwa hamu...mpo chapter gani vile?
 

Wabongo hatutumii akili ......ndo maana nchi inakuwa na kodi za ajabu........UMEWAHI SIKIA WAP SERIKALI INAJENGEA WANANCHI NYUMBA ....... ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…