Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

Mbinu zote zinatumika Kilimo, biashara,ufundi,viwanda na Ajira za kuahiriwa.
 
Ulitaka afanye nini ikiwa hawezi kutengeneza kazi?

Wewe ni mgeni na mfumo wa Elimu ya Tanzania na Dunia ya 3?

Wewe huku elewa alivyo maanisha, Lema ameiongelea hii kwenye upper Dimension!
Ni kwamba hii nchi niwtajiri sana tusikubali kuendesha mabodaboda na huku nchi yetu ni tajiri kuliko hata [emoji1190] Oman
Mawazo ya maendeleo yasiishie kuendesha bodaboda!
Nchi ina ibiwa mpaka inatia kichefuchefu na unaona sawa tu kwakuwa una bodaboda!
Change your thoughts, change your life!
Tafuta kitabu kilicho andikwa na HERIEL NAFTAEL KIDA kina itwa LAANA YA UMASKINI ndipo utakapo mwelewa vizuri Lema. That’s all!
 
Mtoa mada anaulewa finyu kiakili.je ikija tokea kila mtu apewe bodaboda itakuwaje? Jifunzeni technologia mtaishi carne hii ya science, shona nguo, zuia mitumba.lipa kodi.
 
Unajichanganya sana unazungumzia boda boda za deliver na ofisi zenye kazi fulani.
Huku tanzania ni bodaboda kwa kupakiza
 
Nawashangaa hata Sekretarieti ya ccm wanatakiwa watumie hii kama. silaha ya Kisiasa, uzuri Kila Mkoa una Uongozi wa bodaboda,walaaniwe kabisa Hawa wapuuzi.
Hii propaganda imekushinda tafuta nyingine. Waambie Arusha waliosikia waitumie kama Bodaboda watawaelewa. Unaleta vitaarifa nusu bila kueleza urefu wake unajifanya unajua siasa? Waelekeze CCM Arusha waseme kwenye mikutano maana walikuwepo relini Jana uone kama itapokelewa na hao bodaboda.
 
Kulima ni kazi bwasheee.Jiulize kwa nini wewe sijakutuna?Ni kwa sababu umeongea vitu vya msingi tena vinavyojenga siyo vinavyodhalilisha utu wa mtu au uhai wa chama chochote.
Hujanituna ,sema hujanitukana.
Lema pia simlaumu wala sio dharau kayaona huko alikotoka.
Hao vijana wa boda ni tatizo hawana elimu wanarukia tu hizo pikipiki kesho wako MOI.
Moi kuna wajinga pale wana tenda ya kutengeneza magongo.
Kwahiyo unafikishwa pale mguu umeteguka dokta uchwara anasema ukakatwe mguu utaoza unapigwa antena kuna yule mtengeneza magongo yuko hapo nje anapima gongo lako futi ngapi.
Mpaka wanakuja ndugu zako we kilema wanapewa bili laki 3-6.
 
JF uwiiiiii [emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
Great thinkers kweli[emoji35]
 
Nani hajui Nchi ni tajiri? Na hiyo tajiri sama ameitoa wapi na kulinganisha na Nchi gani?

Pili alikuja na strategy au anaropoka tuu? Au strategy yenu ndio hiyo ya kusema tupeni Nchi miaka 5 tuu? Acheni upumbavu nq dharau nyie Chadema.

Mara kadhaa Huwa mnawaita Wananchi ni wajinga yet mnataka hao hao wajinga waandane Ili nyie muingie madarakani si.ndio?

Kila siku Huwa nasema humu kwamba sijawahi sikia mkakati wowote wa Chadema Kutatua shida za Nchi ila wao wimbo wao ni Katiba na Serikali ya Majimbo na kulaumu,kuorodhesha matatizo ya Watzn bila suluhu huku wakibeza juhudi za serikali..
 
Sio propaganda ndio ukweli huo mnadharau sana nyie wapuuzi
 
Haya matusii mengine bwanaaa, kwahiyo walivyojipanga kumpokea, inamaana amepokelewa na walio laaniwaa?? Hivi anajua maaana ya Hilo neno laaana??
 
Lema Yuko sahihi.

AJALI za barabarani zinaua vijana wengi nchini kuliko UGONJWA wowote.
 
Sie tusio na vyombo vya usafiri itakuaje ikitokea Bodaboda hawatafanya shughuli yao.
Utapanda gari - taxi kwa kuwa utakuwa na uwezo wa kulipia. Hivi kupanda pikipiki na upepo na baridi na mvua unafikiri ni raha, ni shida. Ni kweli bodaboda zimesaidia lakini kama mtu anapata namna nyingine ya kupata kipato, boda boda unaiacha.
Halafu watu wanalaumu bila kufuatilia mtiririko na logic aliyojenga
 
Elimu vs kipaji
Hua havikai pamoja..................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…