Kuna wakati ni heri kijana akaendesha bodaboda kwa kipato cha kawaida na risks nyingi kuliko kwenda pale Kiboko kuwa mfanyakazi wa kiwanda cha bomba(hollow sections) na nondo. Trust me!Jaribuni kufikiria kidogo, kwanini Bongo Kuna bodaboda, Dubai, Marekani, Canada hakuna bodaboda? Kwanini kijana wa Tanzania, akose ajira ya maana viwandani,akimbilie bodaboda kama mbadala wa kusongesha maisha?
Bodaboda wameshakuwa saturated,faida imepunguaUmesema vyema ila jiulize kwa nini Rais kawatafutia mashamba na si bodaboda?
Aache kudharau kazi za watu,Kwa nini hakukodisha magari badala yake akakofisha bodaboda?Ww km unakataa sio laana ni maoni yako na lema katoa maoni yake katiba unawapa uruhu nyie wote kutoa maone na fikla zake
Cdm Kwa sehemu kubwa hawana akili ndio maana hawana strategy Wala seraSo wewe unaamini ccm wote wana akili na cdm wote hawana akili?.huo ni wendawazimu.
Nenda Kijiji chochote jamii ya kikristo inakuwa na maisha Bora kuliko "Wapagani" 🏃🏃🏃🏃chadema na wakristo hawaja wahi kueleweka kamwe.
Nabii fake wa siku za mwisho 😁😁Godbless Lema wa Chadema....
Kwamba Bodaboda ni Kazi ya Laana!
Sawa Tumekusikia! Ebu tuambie kama umeona hao ni laana!
Ina maana kwamba hata Abiria wao nao ni Laana kubwa zaidi. Maana wao ndio wanaowawezesha hao Bodaboda kuweza kujiendesha kutokana na malipo wanayowalipa.
Na ikumbukwe kwamba Wananchi wengi wa kipato cha kati na cha chini ndio wanaonufaika na huduma hii ya Bodaboda nchini Tanzania.
Na pia ikumbukwe kwamba kwa hapa nchini Tanzania.
Hilo tabaka pia ndio ambalo linashiriki siasa katika kiwango cha upigaji kura kwenye chaguzi mbalimbali.
Je, Lema unamaanisha hata wapiga kura wa nchi hii nao wamelaaniwa?
Pia tuambie ....kama Bodaboda ni laana nchi hii.Inakuwaje mkwawatumia kwenye shughuli zenu zote za kisiasa nchini.
Je, mnaitumia laana ili kupata Political mileage toka kwao?
#Lema na #Chadema njooni hapa mtutajie nchi ya Afrika ambako hakuna Bodaboda!
Na mnapowaita Bodaboda laana,ni kazi ipi mmewaandalia ambayo ni mbadala wa hiyo laana!
Msiishie kuchonganisha Wananchi huku mkiwa hamna lolote la mbadala vichwani.
Mfano mzuri ni hapo #Kenya kwa Rutto, aliwaahidi Paradiso kwa kujiita "Hustler" .....
Nenda leo Kenya au angalia media zao na uone kinachojiri huko...
Umaskini ni LAANA.Godbless Lema wa Chadema....
Kwamba Bodaboda ni Kazi ya Laana!
Sawa Tumekusikia! Ebu tuambie kama umeona hao ni laana!
Ina maana kwamba hata Abiria wao nao ni Laana kubwa zaidi. Maana wao ndio wanaowawezesha hao Bodaboda kuweza kujiendesha kutokana na malipo wanayowalipa.
Na ikumbukwe kwamba Wananchi wengi wa kipato cha kati na cha chini ndio wanaonufaika na huduma hii ya Bodaboda nchini Tanzania.
Na pia ikumbukwe kwamba kwa hapa nchini Tanzania.
Hilo tabaka pia ndio ambalo linashiriki siasa katika kiwango cha upigaji kura kwenye chaguzi mbalimbali.
Je, Lema unamaanisha hata wapiga kura wa nchi hii nao wamelaaniwa?
Pia tuambie ....kama Bodaboda ni laana nchi hii.Inakuwaje mkwawatumia kwenye shughuli zenu zote za kisiasa nchini.
Je, mnaitumia laana ili kupata Political mileage toka kwao?
#Lema na #Chadema njooni hapa mtutajie nchi ya Afrika ambako hakuna Bodaboda!
Na mnapowaita Bodaboda laana,ni kazi ipi mmewaandalia ambayo ni mbadala wa hiyo laana!
Msiishie kuchonganisha Wananchi huku mkiwa hamna lolote la mbadala vichwani.
Mfano mzuri ni hapo #Kenya kwa Rutto, aliwaahidi Paradiso kwa kujiita "Hustler" .....
Nenda leo Kenya au angalia media zao na uone kinachojiri huko...
Umemaliza mkuu..sina haja ya kuwajibu hawa wajinga tena. Wanadhani waendesha bodaboda wanapenda hiyo kazi,hawapendi kufanya kazi viwandani wapate mishahara mikubwa, bima,afya, mikopo... Haya majinga ya ccm hayajuiJaribuni kufikiria kidogo, kwanini Bongo Kuna bodaboda, Dubai, Marekani, Canada hakuna bodaboda? Kwanini kijana wa Tanzania, akose ajira ya maana viwandani,akimbilie bodaboda kama mbadala wa kusongesha maisha?
Ni ufukara tu na umaskini wa nchi yetu.
Ulaana wake upo hapo,waendesha boda hawana laaana,kazi yao jinsi isivyo na Mapato na staha za kuleta maisha Bora,ndio laaana hiyo, tunaamua kufanya kazi za hovyo Ili mkono uende kinywani. Hii haikupangwa na Mungu, ni mipango duni ya CCM kwa miaka 60!
Vijana wa Zenj, na wamasai wanakuwa ma beachboy wanatumika kama sex toys kwa wazungu,kwa vile wanapata vipato tuipambe hiyo kazi kama kazi ya maana? Ni laaana tupu.
Ni mtoto wa waziri, RC, DC au kiongozi gani wa umma anayefanya kazi ya kuendesha bodaboda??Lema kwa kuwa yeye amelipwa pesa za bure basi anataka kila mtu iwe hivyo. Bodaboda ni kazi nzuri
Hongera sana brother 🤓🤓Nimegundua sijawahi kupanda bodaboda.
Kama anaona serikali imeshindwa kutengeneza mazingira wezeshi ya ajira staha yeye kama mwanasiasa na Moja ya kiongozi wa Chadema, chama chake pamoja na yeye Wana Maoni gani au sera zipi zitakazotengeneza hizo kazi za staha si tu unabeza kazi za watu na mwisho utoi solution wewe utakuwa una tofauti gani na chama tawala?- Hoja yake ni kwamba serikali imeshindwa kutengeneza mazingira ya kutoa ajira rasmi na za staha.
Swali zuri akikujibu nitagKama ni hivyo why mnawatumia kisiasa kwenye maandamano na mikutano yenu?
Mnatumia laana kupata political mileage?
Kwani mhitimu wa Chuo Kikuu anapaswa kuifanya nini?Hivi kuna maana gani kwa mhitimu wa chuo kikuu kurudi mtaani na kuwa bodaboda!