CCM wanajua ukweli wanakaa kimya!
Siku akipatika Rais/Mwenyekiti jasiri,Viwanja vyote vya mpira vitarudishwa kwenye Halmashauri ili visimamiwe,kutunzwa na kuleta tija.
Tanzania itainuka kimichezo endapo tu viwanja vitarejeshwa,na kukarabatiwa na Serikali
CCM ilifanya dhuluma kuvichukua viwanja,huku ikijua kuwa vilijengwa kutokana na michango ya wananchi.