Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatokea Tutuo ipi?Kama ilivyorudishwa Chimwaga now Udom ndivyo viwanja navyo vinatakiwa kurudi maana ni vya taifa si chama
Baba Jesca kabla hajatoka madarakani hajitahidi awe amerudisha viwanja vyote ambavyo chama chake walijimilikisha kinyume na utaratibu.Iko wazi, tuseme karibu ya Viwanja vyote vya michezo Tanzania vinamilikiwa na CCM, sina shida na hilo...
Shida yangu ni kutaka viwanja hivi vipewe serikali, kupitia halmashauri za wilaya hata ikiwezekana kwa ubia, CCM hawawezi kuviendeleza, srikali ikipewa itaviemdeleza.
CCM ndio inayoshika dola, maendeleo yetu kama nchi tunategemea kusimama na kutekelezeka kwa ilani ya CCM, CCM itoe hata kwa ubia viwanja hivi kwa serikali, vikarabatiwe na wote serikali na CCM watanufaika kwa mapato.
Tukivipata hivi viwanja na vikaboreshwa hata ligi yetu itakuwa ni bora sana, badala ya kujenga vipya vya serikali
Enzi zetu tulikuwa tunacheza biafraa
Sahv kiwanja chichiem wamewaweka watu wa gereji nk, Sahv pale ni vurugu tu.....
Kiwanja kingine cha buibui chupuchupu wakigawe wfanye ujennzi bila kusimama kidete nacho kingeondoka
Kuna watu mule hawafaham umuhimu wa viwanja vya wazi wao ni kuuza tu
Ova