Lini Viwanja vinavyomilikiwa na CCM vitakuwa chini ya umiliki wa Serikali Kuu au Halmashauri husika?

Lini Viwanja vinavyomilikiwa na CCM vitakuwa chini ya umiliki wa Serikali Kuu au Halmashauri husika?

Uwanja unaitwa CCM KIRUMBA. Ushaona neno ccm so haina haja ya kuuliza ni mali ya nani.
 
Watanzania,

Nimekuwa natafakari maono ya TANU na baadaye CCM katika ujenzi wa viwanja vya michezo nchi nzima ni wa kupongezwa na kuendelezwa.

Leo hii karibu katika kila makao makuu ya mikoa kuna uwanja wa michezo ni jambo jema sana kwetu sisi wapenda michezo.Ninakumbuka miaka ya 90 mwanzoni nikiwa nasoma Tabora School mkuu wa mkoa wa Tabora ndugu Lawrence Gama (RIP) alivyosimamia kidete ujenzi uwanja wa Ally H.Mwinyi.

Kumekuwa na malalamiko kuwa CCM wanyang'anywe viwanja hivyo sababu vilijengwa enzi za chama kimoja.Hii hoja haina mashiko kwani leo mtu akihama dhehebu lake huondoka na mgao wa mali kadri alivyochangia?mfano,ukihama ukatoliki utadai mali zako?la hasha utaondika mwenyewe.Na ndivyo ilivyokuwa baada ya mwaka 1992 ilikuwa ni hiyari kuhama CCM hivyo kudai rasilimali za CCM ni ujinga.

Nawatakia jumapili njema
 
Kwel...ujinga na umeandika ujinga....kuhama chama..

Ni ujinga si upumbavu wa kibaki chamani huku huthaminiwi
 
Hivyo Viwanja ni vya Watanzania wote na si vya CCM pekee! Mfumo wa vyama vingi ulipoanza vilipashwa kurudishwa Serikalini
 
Viwanja vya serikali vinavyomilikiwa na CCM. Vilijengwa kwa nguvu na kodi ya wananchi wote. Naamini ipo siku (hata kama miaka 100 ijayo) vitarudishwa kwa wamiliki halisi.
 
hivyo viwanja ni vya serikali wala si vya ccm maana ujenzi wake ulihusisha wananchi wote wenye walio kuwa wana ccm na wasio.wana ccm maana hakukuwa na mbadala na.vitarudi vyote kwa wananchi
 
ushabiki wa vyama ndio mchawi wetu,viwanja hivyo vilijengwa na wananchi vinge milkishwa halmashauri za miji husika lakini kutokana na uhuni wa viongozi na washabiki kama ww leo huko geita ccm mkoa imechukua kiwanja cha shule ya msingi kalangalala na kukifanya kuwa kiwanja chake,hivyo shule kukosa kiwanja cha michezo,tuendeleeni kushabikia ujinga huku tuna haribu mambo.
 
Hivi ukichangia harusi ya mtu huyo mkewe nawe umekuwa unahaki Naye?
 
Pumba kabisa, kwahiyo miaka hiyo ulitegemea viwanja vijengwe na UDP??? Huo ulikuwa ni wajibu wao
 
Watanzania,

Nimekuwa natafakari maono ya TANU na baadaye CCM katika ujenzi wa viwanja vya michezo nchi nzima ni wa kupongezwa na kuendelezwa.

Leo hii karibu katika kila makao makuu ya mikoa kuna uwanja wa michezo ni jambo jema sana kwetu sisi wapenda michezo.Ninakumbuka miaka ya 90 mwanzoni nikiwa nasoma Tabora School mkuu wa mkoa wa Tabora ndugu Lawrence Gama (RIP) alivyosimamia kidete ujenzi uwanja wa Ally H.Mwinyi.

Kumekuwa na malalamiko kuwa CCM wanyang'anywe viwanja hivyo sababu vilijengwa enzi za chama kimoja.Hii hoja haina mashiko kwani leo mtu akihama dhehebu lake huondoka na mgao wa mali kadri alivyochangia?mfano,ukihama ukatoliki utadai mali zako?la hasha utaondika mwenyewe.Na ndivyo ilivyokuwa baada ya mwaka 1992 ilikuwa ni hiyari kuhama CCM hivyo kudai rasilimali za CCM ni ujinga.

Nawatakia jumapili njema
Viwanja vyenyewe vina hali mbaya sana na haviendelezwi
 
Watanzania,

Nimekuwa natafakari maono ya TANU na baadaye CCM katika ujenzi wa viwanja vya michezo nchi nzima ni wa kupongezwa na kuendelezwa.

Leo hii karibu katika kila makao makuu ya mikoa kuna uwanja wa michezo ni jambo jema sana kwetu sisi wapenda michezo.Ninakumbuka miaka ya 90 mwanzoni nikiwa nasoma Tabora School mkuu wa mkoa wa Tabora ndugu Lawrence Gama (RIP) alivyosimamia kidete ujenzi uwanja wa Ally H.Mwinyi.

Kumekuwa na malalamiko kuwa CCM wanyang'anywe viwanja hivyo sababu vilijengwa enzi za chama kimoja.Hii hoja haina mashiko kwani leo mtu akihama dhehebu lake huondoka na mgao wa mali kadri alivyochangia?mfano,ukihama ukatoliki utadai mali zako?la hasha utaondika mwenyewe.Na ndivyo ilivyokuwa baada ya mwaka 1992 ilikuwa ni hiyari kuhama CCM hivyo kudai rasilimali za CCM ni ujinga.

Nawatakia jumapili njema
Ni mpuzi ww mimi babangu alinyangänywa ngómbe 3 kwa nguvu kujenga kiwanja cha Namfua. Baba hakuwahi kuwa mwanachama wa TANU wala CCM. Wananchi wote walichangishwa kwa lazima kujenga hivyo viwanja hivyo, kwa hiyo ni mali ya serikali sio ya chama. Ni mjinga tu ndio ataona ni halali kikundi cha watu (CCM) kushikilia mali za taifa na kujihalilishia kuwa zao.
 
ushabiki wa vyama ndio mchawi wetu,viwanja hivyo vilijengwa na wananchi vinge milkishwa halmashauri za miji husika lakini kutokana na uhuni wa viongozi na washabiki kama ww leo huko geita ccm mkoa imechukua kiwanja cha shule ya msingi kalangalala na kukifanya kuwa kiwanja chake,hivyo shule kukosa kiwanja cha michezo,tuendeleeni kushabikia ujinga huku tuna haribu mambo.
Mkuu,zama hizo hadi majeshi yalikuwa na makada.Siku Martin Luther alipojitenga na ukatoliki hakudai pensheni bali alianza upya.
 
Back
Top Bottom