YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Usilitaje bure jina la MunguI swear to God, mali wanazomiliki CCM zilizokua za umma ipo siku zitarudishwa serikalini. Hata kama sio Leo lakini ipo siku zitarudi tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usilitaje bure jina la MunguI swear to God, mali wanazomiliki CCM zilizokua za umma ipo siku zitarudishwa serikalini. Hata kama sio Leo lakini ipo siku zitarudi tuu
Ndoto za mwehu endelea kuota Hakuna binadamu aweza zuia mtu kuota ndoto ziwe za anafukuzwa na jinamizi za mikojo au akiota anakunya sebuleni kwa mkwewe au zozote endelea kuota ni haki yako
Asante.Pascal Mayalla you are Zero on this topic umekunywa kakiroba kalikopigwa marufuku. Your answer is below Sea level of great thinkers wa jamii forums
Wote waliobaki CCM ni majizi ya kutupwaBila shaka unamaanisha kama walivyokuwa Lowassa na Sumaye. Kumbuka hao ni wanaCCM original na Viongozi waandamizi katika Serikali ya CCM. Au CCM imeanza kuiba baada ya hawa mabwana kutoka?
Sent using Jamii Forums mobile app