Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,528
kama kisheria wananchi wanahaki basi hata leo inawezekana. Nyerere mwaka 1992 hakuwa na nguvu sana hata kama angetaka viwanja virudishwe angewezashindwa.
bado ushawishi alikuwa nao,KWA WATU WA MAKTABA...je hakuna hotuba yake,maandiko/mahojiano alipowahi kuliongelea hili?nini ulikuwa msimamo wake?...