Ka-nabyule
Member
- Jan 5, 2016
- 82
- 40
Suala la mali za umma ambazo CCM ilijimilikisha kipindi cha kuanza siasa ya vyama vingi ni suala la muda tu! Na hii sio kwa viwanja tu, bali hata majengo na mali kadhaa. Hivi ipo siku vitarejea na pasipo udhuru. Niwakumbushe kipindi cha utawala wa G. W. Bush aliwahi kusema "its just a mater of time" akiamini kumpata gaidi Osama, na hata Raisi Obama alipoingia madarakani alirejea kauli ile ile ya Bush na hatimaye Osama alipatikana na kufa kifo cha AIBU. Ndivyo itakavyokuwa kwa CCM,chama changu kipendwa nilichokitumikia kwa miongo mingi.