Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
watu sasa ivi wechachamaa wanataka ukomo wa mwenyekiti ndani ya chadema, katiba ya chama ibadilishwe!, ww unaulizia viwanja!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hilo hawalioni. Wamezibwa macho na super gluewatu sasa ivi wechachamaa wanataka ukomo wa mwenyekiti ndani ya chadema, katiba ya chama ibadilishwe!, ww unaulizia viwanja!!
ukimaanisha mume ni CCM na mke ni Tanzania?maana hoja yangu ni mali zirudi serikalini,wewe mbona kila tukisemacho sisi kibaya kwako,hapa haitetewi Chadema ndugu!Hoja yako inafanana na ya mwanamke aliyeamua kuachika kwa mume wake kisha akalazimisha kugawana mali walizochuma pamoja ilhali mali hizo zimeandikwa hati ya mume na watoto wake. Ndivyo chadema wanavyofanya. Mali ni za ccm na hati zina majina ya CCM. Msahau kabisa chadema kupata viwanja hivyo. Kama mnashindwa kujenga hata ofisi, mtaweza kumiliki viwanja?
Hizo ni fikra za kijinga kabisa. Mleta mada hajasema Chadema ndiyo wanaotaka viwanja hivyo. Sisi wananchi ndiyo tunavihitaji viwanja virudi kwa halmashauri za miji vilipo. Mfano wako ni wa kijinga kwa sababu Chadema siyo walioomba kuanzishwa vyama Vingi, na wakati vinaanzishwa Chadema haikuwepo. Baada ya vyama kuanzishwa, Ccm ilipata usajili kama vingine na kabla ya hapo Mali hizo zilikuwa za uma kwani tulijenga kama "wananchi" na si kama "wanaccm". Hata kabla ya vyama vingi, siyo kila mwananchi alikuwa mwanachama wa ccm.Hoja yako inafanana na ya mwanamke aliyeamua kuachika kwa mume wake kisha akalazimisha kugawana mali walizochuma pamoja ilhali mali hizo zimeandikwa hati ya mume na watoto wake. Ndivyo chadema wanavyofanya. Mali ni za ccm na hati zina majina ya CCM. Msahau kabisa chadema kupata viwanja hivyo. Kama mnashindwa kujenga hata ofisi, mtaweza kumiliki viwanja?
watu sasa ivi wechachamaa wanataka ukomo wa mwenyekiti ndani ya chadema, katiba ya chama ibadilishwe!, ww unaulizia viwanja!!
CCM na Chadema ni jumuia za hiari tu,kuna siku zitakufa kama ilivyo KANU,lakini Tanzania itabakiwatu sasa ivi wechachamaa wanataka ukomo wa mwenyekiti ndani ya chadema, katiba ya chama ibadilishwe!, ww unaulizia viwanja!!
Tenà yule ndiye mwenyekiti wa ccm mkoa wa Dar. Huyo ni m/kiti wa majizi makubwa maana mengi ya majizi hayo yako DarHahahahaha CCM Kumejaa mijizi.... Hao matajiri Fuatilia utaujua ukweli kuwa wengi ni makada wa CCM, si mnamkumbuka yule kada aliekua na kiwanda cha ARV Feki??
Tatizo ni kwamba unawaelewesha watu ambao hawana hata uwezo wa kukariri.Hizo ni fikra za kijinga kabisa. Mleta mada hajasema Chadema ndiyo wanaotaka viwanja hivyo. Sisi wananchi ndiyo tunavihitaji viwanja virudi kwa halmashauri za miji vilipo. Mfano wako ni wa kijinga kwa sababu Chadema siyo walioomba kuanzishwa vyama Vingi, na wakati vinaanzishwa Chadema haikuwepo. Baada ya vyama kuanzishwa, Ccm ilipata usajili kama vingine na kabla ya hapo Mali hizo zilikuwa za uma kwani tulijenga kama "wananchi" na si kama "wanaccm". Hata kabla ya vyama vingi, siyo kila mwananchi alikuwa mwanachama wa ccm.
umeandika unacho kiamini???ccm matapeli tu
mkuu hawa vijana wa ccm,mmmmh kwa kweli ni shida nchi yetu inamizigo mingi sanaukimaanisha mume ni CCM na mke ni Tanzania?maana hoja yangu ni mali zirudi serikalini,wewe mbona kila tukisemacho sisi kibaya kwako,hapa haitetewi Chadema ndugu!
Kadi yako namba ngapHizo ni fikra za kijinga kabisa. Mleta mada hajasema Chadema ndiyo wanaotaka viwanja hivyo. Sisi wananchi ndiyo tunavihitaji viwanja virudi kwa halmashauri za miji vilipo. Mfano wako ni wa kijinga kwa sababu Chadema siyo walioomba kuanzishwa vyama Vingi, na wakati vinaanzishwa Chadema haikuwepo. Baada ya vyama kuanzishwa, Ccm ilipata usajili kama vingine na kabla ya hapo Mali hizo zilikuwa za uma kwani tulijenga kama "wananchi" na si kama "wanaccm". Hata kabla ya vyama vingi, siyo kila mwananchi alikuwa mwanachama wa ccm.