Lissu angekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ingekuwa vizuri, Mbowe akae pembeni
kwahiyo mie nifanyaje na wakati kama Taifa tunasonga mbele vizuri sana kwa umoja? 🐒

Hii nchi ni yetu sote katiba mbovu tuliyo nayo inawaacha nje wengi wenye kutufaa Zaidi.

Wanaachwa vipi Messi au Mbape nje kama nchi inahitaji kombe la dunia?
 
Hii nchi ni yetu sote katiba mbovu tuliyo nayo inawaacha nje wengi wenye kutufaa Zaidi.

Wanaachwa vipi Messi au Mbape kama nchi inahitaji kombe la dunia?
kama Taifa katiba haijawahi kua tatizo tangu 1977 na kwakweli kama zipo changamoto basi ni chache sana na hazizuii kama Taifa kuendelea kupiga hatua za kimaendeleo...

kwa muda muafaka kadiri itakavyoonekana inafaa tutafanya marekebisho kidogo pale kwenye ulazima, na kama Taifa na tusonge mbele 🐒
 
kama Taifa katiba haijawahi kua tatizo tangu 1977 na kwakweli kama zipo changamoto basi ni chache sana na hazizuii kama Taifa kuendelea kupiga hatua za kimaendeleo...

kwa muda muafaka kadiri itakavyoonekana inafaa tutafanya marekebisho kidogo pale kwenye ulazima, na kama Taifa na tusonge mbele 🐒

Iweke kwenye friji hii post yako tutakukumbusha siku kitakapokuwa kimeeleweka
 
kiongozi alieko sasa ameonyesha kiwango cha chini sana cha kiuongozi katika kujikwamua kwenye mikwamo ya masula mbalimbali ya kitaifa na kimataifa kwa njia za kidemokrasia na kidipomasia...

badala yake ana hamasisha chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao ya kidemokrasia madarakani, na kuchochea wanachama wake kujiandaa kufanya vurugu na fujo na kufanya mapinduzi ya kiongozi aliechaguliwa na wananchi kidemokrasia, hali ambayo tayari imezua taharuki, wasiwasi na inahatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi humu nchini...

kama mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu katika siasa za vyama vingi, kiongozi huyo wa Chadema anapaswa kuachia ngazi au kuondolewa mara moja uongozini, kwasababu amepoteza uhalali wa kiuongozi kitaifa na kimataifa, kwasabb ya kukiuka ustaarabu wa kidemokrasia, sheria za kitaifa na kimataifa, katika kufikia muafaka wa amani ikiwa kuna mkwamo wa kisiasa mahali flani na sio kutumia fujo, vurugu, uharibifu na pengine vifo kufikia suluhu ya mkwamo huo....

Napendekeza TUNDU ANTIPAS LISU makamu mwenyekiti taifa, kuchukua wadhifa huo maramoja, ili kuficha aibu na fedheha kubwa sana kwa chadema yenyewe, Demokrasia ya Tanzania na Taifa kwa ujumla,

kwa mtu mchochezi kama huyu mwenye record za kutumia umafia kupata uongozi, lakini pia mtu mwenye record za uhalifu kama vile ugaidi kutoa wito kwa mataifa ya ng'ambo kuja kufanya uchunguzi wa mambo ambayo yanawezekana kufanywa na vyombo vya ndani ya nchi yetu,

sambamba na kuomba hayo kwa mataifa ya nje, humu nchini anapanga mapinduzi yenye sura ya vurugu na umwagaji damu...
Hiyo ni aibu kwa chadema na Taifa kwa ujumla. kiongozi huyo aondolewe haraka sana kwa maoni yangu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
kiongozi alieko sasa ameonyesha kiwango cha chini sana cha kiuongozi katika kujikwamua kwenye mikwamo ya masula mbalimbali ya kitaifa na kimataifa kwa njia za kidemokrasia na kidipomasia...

badala yake ana hamasisha chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao ya kidemokrasia madarakani, na kuchochea wanachama wake kujiandaa kufanya vurugu na fujo na kufanya mapinduzi ya kiongozi aliechaguliwa na wananchi kidemokrasia, hali ambayo tayari imezua taharuki, wasiwasi na inahatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi humu nchini...

kama mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu katika siasa za vyama vingi, kiongozi huyo wa Chadema anapaswa kuachia ngazi au kuondolewa mara moja uongozini, kwasababu amepoteza uhalali wa kiuongozi kitaifa na kimataifa, kwasabb ya kukiuka ustaarabu wa kidemokrasia, sheria za kitaifa na kimataifa, katika kufikia muafaka wa amani ikiwa kuna mkwamo wa kisiasa mahali flani na sio kutumia fujo, vurugu, uharibifu na pengine vifo kufikia suluhu ya mkwamo huo....

Napendekeza TUNDU ANTIPAS LISU makamu mwenyekiti taifa, kuchukua wadhifa huo maramoja, ili kuficha aibu na fedheha kubwa sana kwa chadema yenyewe, Demokrasia ya Tanzania na Taifa kwa ujumla,

kwa mtu mchochezi kama huyu mwenye record za kutumia umafia kupata uongozi, lakini pia mtu mwenye record za uhalifu kama vile ugaidi kutoa wito kwa mataifa ya ng'ambo kuja kufanya uchunguzi wa mambo ambayo yanawezekana kufanywa na vyombo vya ndani ya nchi yetu,

sambamba na kuomba hayo kwa mataifa ya nje, humu nchini anapanga mapinduzi yenye sura ya vurugu na umwagaji damu...
Hiyo ni aibu kwa chadema na Taifa kwa ujumla. kiongozi huyo aondolewe haraka sana kwa maoni yangu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
🤔
 
sumu sio supu
haionjwai kwa kulambwa

aliwahi kusikika mzee wa mikonyagi akirindima
 
kiongozi alieko sasa ameonyesha kiwango cha chini sana cha kiuongozi katika kujikwamua kwenye mikwamo ya masula mbalimbali ya kitaifa na kimataifa kwa njia za kidemokrasia na kidipomasia...

badala yake ana hamasisha chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao ya kidemokrasia madarakani, na kuchochea wanachama wake kujiandaa kufanya vurugu na fujo na kufanya mapinduzi ya kiongozi aliechaguliwa na wananchi kidemokrasia, hali ambayo tayari imezua taharuki, wasiwasi na inahatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi humu nchini...

kama mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu katika siasa za vyama vingi, kiongozi huyo wa Chadema anapaswa kuachia ngazi au kuondolewa mara moja uongozini, kwasababu amepoteza uhalali wa kiuongozi kitaifa na kimataifa, kwasabb ya kukiuka ustaarabu wa kidemokrasia, sheria za kitaifa na kimataifa, katika kufikia muafaka wa amani ikiwa kuna mkwamo wa kisiasa mahali flani na sio kutumia fujo, vurugu, uharibifu na pengine vifo kufikia suluhu ya mkwamo huo....

Napendekeza TUNDU ANTIPAS LISU makamu mwenyekiti taifa, kuchukua wadhifa huo maramoja, ili kuficha aibu na fedheha kubwa sana kwa chadema yenyewe, Demokrasia ya Tanzania na Taifa kwa ujumla,

kwa mtu mchochezi kama huyu mwenye record za kutumia umafia kupata uongozi, lakini pia mtu mwenye record za uhalifu kama vile ugaidi kutoa wito kwa mataifa ya ng'ambo kuja kufanya uchunguzi wa mambo ambayo yanawezekana kufanywa na vyombo vya ndani ya nchi yetu,

sambamba na kuomba hayo kwa mataifa ya nje, humu nchini anapanga mapinduzi yenye sura ya vurugu na umwagaji damu...
Hiyo ni aibu kwa chadema na Taifa kwa ujumla. kiongozi huyo aondolewe haraka sana kwa maoni yangu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
........Mafisi (CCM) yanapendekeza kwa mwenye bucha aache mlango wazi wa bucha yake akienda kulala ili usiku mifisi (mi-CCM) hii ije kusomba nyama zote

......... Ndugu Tlaatlaah wewe na wenzako kina chiembe Crocodiletooth, Lucas Mwashambwa, min -me na chawa wengine huko CCM, hizo ndoto zenu za mchana zikihanikizwa na maombi yenu ya kishetani haya, ni bora mngezana na kujiombea mwenyewe mwepuke kiyama na mateso yaliyo mbele yenu wenyewe, wake zenu, waume zenu, watoto wenu na wajukuu zenu

........Damu za ndugu zetu mlizozimwaga huko maporini si mapenzi ya Mungu bali ni ukatili wa CCM tu na sasa damu hizo zinamlilia Mungu na zinatafuta kulipa kisasi kwenu. ACHENI UJINGA, ACHENI UPUMBAVU, ACHENI KIBURI, TUBUNI MUOKOE NAFSI ZENU NA ZA VIZAZI VYEMU ELSE MOTO UTAWAWAKIA MUDA WOWOTE!!
 
........Mafisi (CCM) yanapendekeza kwa mwenye bucha aache mlango wazi wa bucha yake akienda kulala ili usiku mifisi (mi-CCM) hii ije kusomba nyama zote

......... Ndugu Tlaatlaah wewe na wenzako kina chiembe Crocodiletooth, Lucas Mwashambwa, min -me na chawa wengine huko CCM, hizo ndoto zenu za mchana zikihanikizwa na maombi yenu ya kishetani haya, ni bora mngezana na kujiombea mwenyewe mwepuke kiyama na mateso yaliyo mbele yenu wenyewe, wake zenu, waume zenu, watoto wenu na wajukuu zenu

........Damu za ndugu zetu mlizozimwaga huko maporini si mapenzi ya Mungu bali ni ukatili wa CCM tu na sasa damu hizo zinamlilia Mungu na zinatafuta kulipa kisasi kwenu. ACHENI UJINGA, ACHENI UPUMBAVU, ACHENI KIBURI, TUBUNI MUOKOE NAFSI ZENU NA ZA VIZAZI VYEMU ELSE MOTO UTAWAWAKIA MUDA WOWOTE!!
Mkuu sijawahi kuwa chawa wala sijawahi kuwa mfuasi wa hicho chama ,nitake radhi umenitukana vibaya.
 
Binafsi naona Mbowe angeachia kijiti cha uenyekiti wa Chama ampe Lissu au Heche John

Nasema haya kwasababu Chadema kwa sasa na upinzani unahitaji mtu mwenye maamuzi magumu, misimamo mikali na ambaye hajapoa sana

Simchukii Mbowe hata kidogo wala siangalii ukabila wala dini, ingekua natizama hayo basi ningemfavor mbowe kwasababu labda tunatoka kijiji kimoja. Mimi sio mkabila kama mwendazake au mdini kama Gwajima.

Nachotazama ni utendaji, sasahiv upinzani wanahitaji apatikane mtu mwenye misimamo mikali sana sio mtu mpole mpole kama Mbowe.

Chama kinahitaji watu kama Lissu au wengineo ndo waongoze Chama sio Mbowe

Mbowe sasa imetosha!! Mkabidhi mtu mwingine kijiti sasa!
Naunga mkono hoja, ila its too little too late! Kuelekea 2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je atabaki ama atatimka?. Lissu Cool Down!, usiitishe Press kumjibu Mbowe!
P
 
kiongozi alieko sasa ameonyesha kiwango cha chini sana cha kiuongozi katika kujikwamua kwenye mikwamo ya masula mbalimbali ya kitaifa na kimataifa kwa njia za kidemokrasia na kidipomasia...

badala yake ana hamasisha chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao ya kidemokrasia madarakani, na kuchochea wanachama wake kujiandaa kufanya vurugu na fujo na kufanya mapinduzi ya kiongozi aliechaguliwa na wananchi kidemokrasia, hali ambayo tayari imezua taharuki, wasiwasi na inahatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi humu nchini...

kama mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu katika siasa za vyama vingi, kiongozi huyo wa Chadema anapaswa kuachia ngazi au kuondolewa mara moja uongozini, kwasababu amepoteza uhalali wa kiuongozi kitaifa na kimataifa, kwasabb ya kukiuka ustaarabu wa kidemokrasia, sheria za kitaifa na kimataifa, katika kufikia muafaka wa amani ikiwa kuna mkwamo wa kisiasa mahali flani na sio kutumia fujo, vurugu, uharibifu na pengine vifo kufikia suluhu ya mkwamo huo....

Napendekeza TUNDU ANTIPAS LISU makamu mwenyekiti taifa, kuchukua wadhifa huo maramoja, ili kuficha aibu na fedheha kubwa sana kwa chadema yenyewe, Demokrasia ya Tanzania na Taifa kwa ujumla,

kwa mtu mchochezi kama huyu mwenye record za kutumia umafia kupata uongozi, lakini pia mtu mwenye record za uhalifu kama vile ugaidi kutoa wito kwa mataifa ya ng'ambo kuja kufanya uchunguzi wa mambo ambayo yanawezekana kufanywa na vyombo vya ndani ya nchi yetu,

sambamba na kuomba hayo kwa mataifa ya nje, humu nchini anapanga mapinduzi yenye sura ya vurugu na umwagaji damu...
Hiyo ni aibu kwa chadema na Taifa kwa ujumla. kiongozi huyo aondolewe haraka sana kwa maoni yangu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mnafiki naona sasa ile tabia yako ya kuwa bendera fuata upepo iko wazi. Hapa ulisema nini, na sasa unasema nini?
 
Napendekeza TUNDU ANTIPAS LISU makamu mwenyekiti taifa, kuchukua wadhifa huo maramoja, ili kuficha aibu na fedheha kubwa sana kwa chadema yenyewe, Demokrasia ya Tanzania na Taifa kwa ujumla


We jamaa ni mnafki hatari
 
Back
Top Bottom