Lissu ataongozaje chama wakati anaishi Ubelgiji, na familia yake yote ipo huko

Waulize ANC, Mandela aliongozaje ANC akiwa Tanzania na akiwa gerezani.

Kwanza siyo kweli kuwa Lisu anaishi Ubelgiji. Anayeishi Ubelgiji kwa sasa ni mkewe. Lisu muda mwingi yupo TZ. Watoto wake ni watu wazima, wameamua kuishi US.
Felix Tchisekedi wakati anaenda kugombea Urais wa DRC, alitokea Ubelgiji alikokuwa anaishi.

Kuna mazingira ambayo, hasa kwa nchi za kiafrika, wapigania haki na demokrasia ni lazima uwe na makazi nje ya nchi yako.

Fikiria nchi kama Tanzania ambayo hata ajira tu ya Serikali, ikijulikana wewe unaunga mkono vyama vya upinzani unafukuzwa kazi au huwezi kuajiriwa, kama ni mfanyabiashara, watahakilisha unafilisiwa. Ukiwa maskini, wanajua utarudi kulamba nyayo zao. Hivyo ukiweza kupata ajira nje ya nchi au biashara zako zikawa nje ya nchi, ni tahadhari muhimu sana.
 
Mke ubelgiji, watoto USA, baba tanzania, hiyo chemistry unaiona iko sawa kweli? Na ikitokea amepata matatizo na serikali si atakimbilia nje ya nchi huko alikozoea na kutelekeza chama, kama alivyofanya baada ya uchaguzi mwaka 2020?
 


Kwani Mbowe alikuwa anaishi Tanzania?

Pale chadema mtu ambae anakaa Tanzania muda mrefu ni Myika Tu

Wengine wote Maisha Yao mengi ni ulaya na family zao ziko huko

Au Kwa sababu Lissu akisafiri mnajua na Mbowe akisafiri inakuwa kimya?

Na kuhusu familia kuwa nje ya inchi viongozi wengi familia zao ziko nje ya inchi

So sio dhambi
 
Wewe ni Chadema?
Mbona unaumia wewe kuliko Chadema waliomchagua?
Wewe inakuathiri nini?

Kama hujakubaliana nao basi tafuta chama kingine hamia huko ambacho Mwenyekiti hakai ubelgiji
 
Zamani nilikuwa najiuliza kwanini chama changu kinatoa mwanya kwa wanapropaganda wajinga wajinga kufanya propaganda za kijinga?

Little did i know, propaganda ni propaganda na zote zinahitajika.
 
Zamani nilikuwa najiuliza kwanini chama changu kinatoa mwanya kwa wanapropaganda wajinga wajinga kufanya propaganda za kijinga?

Little did i know, propaganda ni propaganda na zote zinahitajika.
It depends. Hizi propaganda zinazoletwa na hawa kina Laki Si Pesa, Lucas Mwashambwa, Choice Variables na Tlaatha haziwezi kumrubuni hata mtoto wa darasa la saba.

Ni upuuzi wa kijinga tu. Na kama wanalipwa huyo anayewalipa hana hata akili.
 
Kwa hiyo wajumbe waliompa kura hawana ufahamu huo?
Au wewe ndiye huna ufahamu?.
 
Ungesema kabla ya uçhaguzi. Kwa sasa unataka nini kifanyike? Uçhaguzi ufutwe Mbowe aendelee na uenyekiti?
 
Sio kweli kwamba Lissu anaishi Belgium. Je, ni sahihi kusema Samia anaishi Oman? au USA, au nchi zote alizosafiri? Kama unaamini Lissu anaishi Belgium, kwanini usiamini Samia anaishi angani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…