CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Sidhani, ingekuwa ni mwanachadema kaandika uzushi juu ya CCM au kiongozi wa CCM uzi unafutwa ghafla,lakini mwanaccm kama huyu Laki si Pesa kuleta uzushi wa wazi kuwa Lissu anaishi Ubelgiji wao wanafumba macho.Pengine watachukua hatua soon
Kesho anaenda Ubelgiji wee kaa na kitu ya matakoni ktk yakoNa sio.muda mrefu ataenda zake ubelgiji
Waulize ANC, Mandela aliongozaje ANC akiwa Tanzania na akiwa gerezani.Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Mke ubelgiji, watoto USA, baba tanzania, hiyo chemistry unaiona iko sawa kweli? Na ikitokea amepata matatizo na serikali si atakimbilia nje ya nchi huko alikozoea na kutelekeza chama, kama alivyofanya baada ya uchaguzi mwaka 2020?Waulize ANC, Mandela aliongozaje ANC akiwa Tanzania na akiwa gerezani.
Kwanza siyo kweli kuwa Lisu anaishi Ubelgiji. Anayeishi Ubelgiji kwa sasa ni mkewe. Lisu muda mwingi yupo TZ. Watoto wake ni watu wazima, wameamua kuishi US.
Felix Tchisekedi wakati anaenda kugombea Urais wa DRC, alitokea Ubelgiji alikokuwa anaishi.
Kuna mazingira ambayo, hasa kwa nchi za kiafrika, wapigania haki na demokrasia ni lazima uwe na makazi nje ya nchi yako.
Fikiria nchi kama Tanzania ambayo hata ajira tu ya Serikali, ikijulikana wewe unaunga mkono vyama vya upinzani unafukuzwa kazi au huwezi kuajiriwa, kama ni mfanyabiashara, watahakilisha unafilisiwa. Ukiwa maskini, wanajua utarudi kulamba nyayo zao. Hivyo ukiweza kupata ajira nje ya nchi au biashara zako zikawa nje ya nchi, ni tahadhari muhimu sana.
Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Wajinga ni wengi hii nchi naahususan ukiwa nzi wa kijan ndokabisaaKwani wenyekuongoza chama NI huyo mke na watoto?
😂😂😂😂Sasa mmeamua kujiandikia tuuu😂😂😂
Tegeta ipo kata ipi na Wilaya ipi ya Ubelgiji we inzi wa kijani?Mke ubelgiji, watoto USA, baba tanzania, hiyo chemistry unaiona iko sawa kweli? Na ikitokea amepata matatizo na serikali si atakimbilia nje ya nchi huko alikozoea na kutelekeza chama, kama alivyofanya baada ya uchaguzi mwaka 2020?
It depends. Hizi propaganda zinazoletwa na hawa kina Laki Si Pesa, Lucas Mwashambwa, Choice Variables na Tlaatha haziwezi kumrubuni hata mtoto wa darasa la saba.Zamani nilikuwa najiuliza kwanini chama changu kinatoa mwanya kwa wanapropaganda wajinga wajinga kufanya propaganda za kijinga?
Little did i know, propaganda ni propaganda na zote zinahitajika.
Kwa hiyo wajumbe waliompa kura hawana ufahamu huo?Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Inakuhusu nini?.kwani uongo lisu haishi ubelgiji?
Ungesema kabla ya uçhaguzi. Kwa sasa unataka nini kifanyike? Uçhaguzi ufutwe Mbowe aendelee na uenyekiti?Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Hakuna hoja Hapo ni wazimu na hasira Kwa yasiyo kuhusu dogoJibu hoja mkuu
Sio kweli kwamba Lissu anaishi Belgium. Je, ni sahihi kusema Samia anaishi Oman? au USA, au nchi zote alizosafiri? Kama unaamini Lissu anaishi Belgium, kwanini usiamini Samia anaishi angani?Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?