LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa


Mkuu hapa tunajadili alichosema Lissu kwa maana ndiyo ulio msingi wa mada.

Zingatia tumekuwa tukijadili ya wengi wakiwamo hawa:





Mikanganyiko hii unaiona wewe kuwa na afya ndugu? Kila wakibadili nguo na kauli pia!

Kwani hawa serikali wamekuwa wanataka kuficha nini hasa?
 
Jamani tunaitaji kufungua akili zetu izi hofu tulizojazwa zinakwenda kutuweka pabaya haiwezekani kila kina kinachokuja tukisujudu tu tunawezaje kuiabudu noti hizi ikiwa wazee wetu waliishi bila hizo noti mwenye kujua historian ya kilwa naomba anipe kidogo maana tunapotezezwa pasipo mafikirio ya mbali kwa mtazamo wa haraka vizazi vyetu vijavyo vitakua wakati mgumu mno katiba mpyaaaaaaaa tunaitaji tujipambanie wenyewe hatuitaji msaada wa mzungu kwani sisi wenyew tunaweza kujisimamia pia
 

..bandari ni suala la muungano, lakini Znz waliamua kuwa na mamlaka yao ya bandari kinyume na katiba.

..sasa baada ya Znz kuwa na mamlaka yao ya bandari si sahihi kuteua Wazanzibari kushughulikia bandari za TANGANYIKA.

..Kuteua Wazanzibari ktk wizara zisizo za muungano ni kukiuka makubaliano ya muungano, na kuwadhulumu Watanganyika.

..Hiyo ndiyo hoja ya Lissu na wenzake kuhusu Wazanzibari ktk suala la bandari za Tanganyika.
 
Hata hao viongozi wa Chadema walipozaliwa hamna bandari kila mtu arudi mkoa wake.. Bandari ni za watu wa pwani si mnaleta ubaguzi.
Wewe huna tofauti na yule Mbunge Musukuma aliyepata Ubunge kwa matunguli.
 
Hata hao viongozi wa Chadema walipozaliwa hamna bandari kila mtu arudi mkoa wake.. Bandari ni za watu wa pwani si mnaleta ubaguzi.

Ukweli mchungu:

Your browser is not able to display this video.


Mwenye masikio na asikie.
 
Kilichosababisha haya yote ni wahusika wenyewe yaani Rais, Waziri na Katibu Mkuu wa Wizara husika. Wote watatu wametoka upande mmoja. Bandari iliyoingizwa kwenye Mkataba ni wa upande tofauti na maeneo yao wanakotoka. Huku Bandari ya upande wao wakiweka pembeni. Hapo ni Nani Wabaguzi????
 

..tatizo lingine wenzetu hawapendi kuitwa Watanzania wanataka kudumisha utambulisho wao wa UZANZIBARI.

..sasa hasara za utamaduni na tabia hiyo ndio hiki tunachokishuhudia sasa hivi. Kwamba akipatikana kiongozi toka Zanzibar kuongoza Tanzania wananchi wanajisikia kuwa wanaongozwa na mgeni.
 

Mkuu hakuna mtu anayeweza kutusaidia hayo maswali maana naona una hoja ILA BADO ujapata mtu sahihi wakubishana nae.

Hakuna wanasheria watujibie haya maswali?
 
Mkuu hakuna mtu anayeweza kutusaidia hayo maswali maana naona una hoja ILA BADO ujapata mtu sahihi wakubishana nae.

Hakuna wanasheria watujibie haya maswali?

Ngoja tuwasubirie kwa maana Joni aka ustaadh kasema elimu siyo muhimu sana kuhusiana na mauzo 🤣🤣
 
Mh 🤔 ngoja manguli wa mikataba waje akina.. Lord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS tuone wanadadavua vp kisheria!!
Hawo wote ma fisi kwenye orodha yako wekula hongo.Faizafoxy siku hizi ameanza kutafuna nguruwe na ashushia bapa kwa hela za hongo nilimuona Corner Bar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…