Mimi najua sana kiarabu kuliko kiswahili [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani ujui kiarabu ni lugha ya mtume mudi aleku musalamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pia kumbuka sisi ngozi nyeusi kukifufuliwa tutafufuliwa waarabu peponi"furani" ndiyo mungu yuppi huyo?
Huo mkataba wa DP World uko wapi?
Huyo fala wa Kinyaturu anacheza na maneno tu, hakuna mkataba na DP World. Lakini unasukwa bado, upo njiani.
"Yuppi" naye atakuwa mungu yule yule?"furani" ndiyo mungu yuppi huyo?
We are doomed.....
Tumeaibishwa sana, sijui hawa wanaounga mkono huu ujinga wamepewa nini.
Nia ovu kutoka kwa viongozi wetu ilidhihirika pale walipoudanganya umma kwamba walichosaini sio mkataba. Wabunge pia bungeni wameidhinisha kitu wasichokijua, hawakuelewa kwamba wameidhinisha mkataba.
Kitakachofuata sasa hivi ni kurekebisha sheria za Tanzania ili kuingiza vifungu vya mkataba wao huo.
Hivi kweli kama taifa tumefikia hatua ya kuipa nchi nyingine bandari yetu waitawale? Kama taifa tumefikia hatua ya kumpa mgeni lango letu alitawale?
Tumekosewa sana, sana!
Kwani Mama haupigi tena mwingi?[emoji1787][emoji1787]
We are doomed.....
Wabunge wenyewe akina Msukuma, Jahpipo, KibajajiNia ovu kutoka kwa viongozi wetu ilidhihirika pale walipoudanganya umma kwamba walichosaini sio mkataba. Wabunge pia bungeni wameidhinisha kitu wasichokijua, hawakuelewa kwamba wameidhinisha mkataba.
Nadhani Kuna watu wamedhamiria kuuvunja Muungano na kuhakikisha tunagombana lengo Uganda na Tanzania zisifaidi rasilimali zao za kuwainua kiuchumi.
Tumeaibishwa sana, sijui hawa wanaounga mkono huu ujinga wamepewa nini.
Nia ovu kutoka kwa viongozi wetu ilidhihirika pale walipoudanganya umma kwamba walichosaini sio mkataba. Wabunge pia bungeni wameidhinisha kitu wasichokijua, hawakuelewa kwamba wameidhinisha mkataba.
Kitakachofuata sasa hivi ni kurekebisha sheria za Tanzania ili kuingiza vifungu vya mkataba wao huo.
Hivi kweli kama taifa tumefikia hatua ya kuipa nchi nyingine bandari yetu waitawale? Kama taifa tumefikia hatua ya kumpa mgeni lango letu alitawale?
Tumekosewa sana, sana!
Maneno kuntuNiseme ametukosea sana, au pia naweza kusema ametutukana kabisa. Kitendo cha kuwapa wageni mamlaka kamili wajitawale ndani ya nchi yetu, kama sio tusi kwa wale waliopigania uhuru sijui niite ni kitu gani tena..
Atambue tu huko alipo, anatakiwa kutuomba radhi watanganyika, aende pia kwenye makaburi ya wazee wetu waliopigania uhuru wetu awaombe radhi, kisha baada ya hapo auvunje ule mkataba wa kinyonyaji unaomtweza mtanganyika ndani ya mipaka ya nchi yake.
Asijisanganye na majibu mepesi ya kuziba masikio, ajue tu anaotuambia hayo ni watu wazima wenye akili zetu timamu, ameshakosea mwanzo kusaini ule mkataba, asiendelee kukosea zaidi, werevu tutazidi kumuona asivyojielewa.
Ujumbe maridhawa sana huu kwa huyu mama. Asipozisikia sauti zote hizi asije kulaumu mtu mambo yakimharibikia.Niseme ametukosea sana, au pia naweza kusema ametutukana kabisa. Kitendo cha kuwapa wageni mamlaka kamili wajitawale ndani ya nchi yetu, kama sio tusi kwa wale waliopigania uhuru sijui niite ni kitu gani tena..
Atambue tu huko alipo, anatakiwa kutuomba radhi watanganyika, aende pia kwenye makaburi ya wazee wetu waliopigania uhuru wetu awaombe radhi, kisha baada ya hapo auvunje ule mkataba wa kinyonyaji unaomtweza mtanganyika ndani ya mipaka ya nchi yake.
Asijisanganye na majibu mepesi ya kuziba masikio, ajue tu anaotuambia hayo ni watu wazima wenye akili zetu timamu, ameshakosea mwanzo kusaini ule mkataba, asiendelee kukosea zaidi, werevu tutazidi kumuona asivyojielewa.
Faizafoxy hajawah kua na akili 🤣🤣🤣ni bora aendelee kujikita na harakat za jihad!!Kumbe hawa ndugu hawajui wanayoongelea kuwa ni mkataba ila wewe?
View attachment 2678920
Pac the Don wale manguli wa sheria wasiokuwa mafala wameanza ku test mitambo.
Dubai si nchi bali ni sehemu tu ya nchi iitwayo Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates - UAE), kwa Kiswahili hufupishwa Himarati. Ni kama ilivyo Dar es Salaam ni sehemu tu ndogo ya nchi ya Tanzania.
Tumeaibishwa sana, sijui hawa wanaounga mkono huu ujinga wamepewa nini.
Nia ovu kutoka kwa viongozi wetu ilidhihirika pale walipoudanganya umma kwamba walichosaini sio mkataba. Wabunge pia bungeni wameidhinisha kitu wasichokijua, hawakuelewa kwamba wameidhinisha mkataba.
Kitakachofuata sasa hivi ni kurekebisha sheria za Tanzania ili kuingiza vifungu vya mkataba wao huo.
Hivi kweli kama taifa tumefikia hatua ya kuipa nchi nyingine bandari yetu waitawale? Kama taifa tumefikia hatua ya kumpa mgeni lango letu alitawale?
Tumekosewa sana, sana!
Ameupiga hadi umemwagika woteeee, watu hawataki kuokota eti.Kwani Mama haupigi tena mwingi?[emoji1787][emoji1787]
Alipinga wapi wkt kill siku nasikia TBC hotuba za nyerereMashungi ni mpumbavu na adui wa taifa ...wewe jiulize kwanini alipiga marufuku hotuba za Nyerere na Jpm
Sisi tunachojua ni kwamba Mama anaupiga mrefuAmeupiga hadi umemwagika woteeee, watu hawataki kuokota eti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa huo mrefuu umevukaa uwanjaa, umepaa juu.Sisi tunachojua ni kwamba Mama anaupiga mrefu