Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wateja wao ni VEOs na walimuTAKUKURU ndio wezi wenyewe au huelewi ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wateja wao ni VEOs na walimuTAKUKURU ndio wezi wenyewe au huelewi ??
Hapa kwetu hakuna muungano zaidi ya sanaaMbona muungano wa jumuiya ya Ulaya una serikali nyingi tu zilizo huru ??
Usalama Tu na biashara
Ninakubaliana na wewe.Huo muungano hauwezi kusimama ukichambuliwa na kujadiliwa kwa uwazi, una matobo mengi tangu mwanzo.
Waumini wake wanataka uwe kama dini, usihojiwe.
Muungano wa watawala usiotakiwa na wananchi wa nchi mbili husika hauwezi kudumu, kuna siku utasambaratika
Lakini hili halina maana kuwa kama haikuwezekana wakati huo, kwa sababu maalum, sasa hivi haliwezi kufanyika. Kwa hiyo, suruhisho zuri ni kuwauliza wananchi sasa hivi kama wanautaka muungano. Sioni sababu kamwe ya kuzuia hili lisifanyike sasa.Mkataba wa Muungano sio kwamba haukupata ridha za wananchi WA Zanzibar Tu, hata wa Tanganyika pia hawakupiga kura
One country two systemsKwa nini tuwe na serikali nyingine ndani ya Muungano kama ilivyo sasa wakati Muungano ni Serikali moja?
Yaani kwenye familia yako unaweza kuruhusu mtu mwingine awe Baba ambaye atacontrol baadhi ya wanafamilia huku wewe ndio ukiwa Top controller wa wote?
Kwahiyo ndio mnataka muongeze mwingine badala ya kuleta Muungano wa kweli?, Marekani zimeungana nchi ngapi? Zina marais wangapi?Mwinyi kule unguja Ni katibu tawala?
Hebu mpuuze kwa hoja tuone kati yako na yeye nani mpumbavuMuungano udumu, Lissu akemewe na apuuzwe.
Kwani hicho kinachoitwa Muungani ni lazima? Kama Muungano wa kweli usio wa kinyonyaji (parasitic) unashindikana, kila mtu achukue njia yakeMuungano huwa kuna makubaliano ya pande mbili zinazoungana !
Huwezi kuwalazimisha upande wa pili wakubali unavyotaka upande mwingine. !
Zilipoungana nchi iliyozaliwa inaitwaje, na Rais wake ni yupi? Mfano Rais wa Tz ni Samiah, taja Rais wa ulaya.Mbona muungano wa jumuiya ya Ulaya una serikali nyingi tu zilizo huru ??
Hayati Karume alisema Muungano ni kama koti !Kwani hicho kinachoitwa Muungani ni lazima? Kama Muungano wa kweli usio wa kinyonyaji (parasitic) unashindikana, kila mtu achukue njia yake
Balaa na nusuTundu Lissu akielezea kuhusu muungano wa mchongo.
Aelezea kuhusu wapinga muungano wa kizanzibari kutekwa na kuwekwa vizuizini, Jumbe na wenzake.
Sikilizeni hapa cheche zake.
MUUNGANO WETU UPO IMARA NA THABITI KABISA HAKUNA MENDE WALA KIZUKA WA KUUCHOKONOA WALA KUUBOMOA, THIS IS A MUTUAL BONDS, HUYU GAY SIJUI KWA NINI ANAWASHWA WASHWA ZAIDI KIPINDI HIKI, ARUDI UBELGIJI.Tundu Lissu akielezea kuhusu muungano wa mchongo.
Aelezea kuhusu wapinga muungano wa kizanzibari kutekwa na kuwekwa vizuizini, Jumbe na wenzake.
Sikilizeni hapa cheche zake.
Kwani huu tulionao ni Muungano au ni mtoto kunyonya kwa mama? Hakuna Muungano hapa, tuungane kweli chini ya Rais mmoja au mtoto akajitegemee, ameshaluwa mkubwa, kaota ndevu sasa..Hayati Karume alisema Muungano ni kama koti !
Likikubana unalivua. 😅🙏🙏 !
Na Hayati Nyerere alisemaga dhambi ya Ubaguzi huwa inaendelea tu ni sawa na mtu akila nyama ya mtu huwezi kuacha !! 😅🙏 !
Ngoja Tusubiri tuone ! 🙏Kwani huu tulionao ni Muungano au ni mtoto kunyonya kwa mama? Hakuna Muungano hapa, tuungane kweli chini ya Rais mmoja au mtoto akajitegemee, ameshaluwa mkubwa, kaota ndevu sasa..
Lissu alisemaga wanaoishi kwa uongo hawawezi kusema kweli !! 😅🙏🙏Kuishi katika UKWELI
We kama nanMuungano udumu, Lissu akemewe na apuuzwe.
Huyu tunamjua kuwa ni mropokaji sana. Alishawahi kumtukana mpaka Nyerere. Lakin baadaye alikana kuwa ha kumtukana.Tundu Lissu akielezea kuhusu muungano wa mchongo.
Aelezea kuhusu wapinga muungano wa kizanzibari kutekwa na kuwekwa vizuizini, Jumbe na wenzake.
Sikilizeni hapa cheche zake.
Nakala iwafikie Pascal Mayalla Nguruvi3 zitto junior BamsTundu Lissu akielezea kuhusu muungano wa mchongo.
Aelezea kuhusu wapinga muungano wa kizanzibari kutekwa na kuwekwa vizuizini, Jumbe na wenzake.
Sikilizeni hapa cheche zake.
Mkuu alimtukanaje?Huyu tunamjua kuwa ni mropokaji sana. Alishawahi kumtukana mpaka Nyerere. Lakin baadaye alikana kuwa ha kumtukana.