Sema alipouliwa na walafi, wenye husuda, roho mbaya dhidi ya waafrika baadhi ya nchi za EU, NATO, na hasa Ufaransa. Acha kumung'unya maneno.
Hamna chama hapo, hiyo ni saccoss ya wachaga
Nilishasema mara nyingi, Lisu ni CIA project,, na sasa wanadai wameamua 2025 hakuna uchaguzi,, hii maana yake inaweza kuwa wanapanga kuanzisha machafuko,, time will tellBongo hakuna mpinzani wa kweli
Kamuulizeni na Samia mbona watoto wake ni raia wa Uingereza?Nilishasema mara nyingi, Lisu ni CIA project,, na sasa wanadai wameamua 2025 hakuna uchaguzi,, hii maana yake inaweza kuwa wanapanga kuanzisha machafuko,, time will tell
ulivyo huna akili unadhani ni watoto wa mwanasiasa wa upinzani tu ndio wana uraia wa marekani.
kwa taarifa yako,hata baadhi ya wanasiasa wa sisiemu ambao wewe kilaza huwa unawaamini, watoto wao hawasomi nchini, achilia mbali kuwa na passport za mataifa mengine.
ndiyo maana mshauri wake ni TONY BLAIR ?Rais Samia watoto wake wawili ni Waingereza tena wa kuomba na sio kuzaliwa tu.
Mgombea urais wanawe Wana urai was nchi nyingine!!!..hawaamini Kama watashinda achilia mbali Shaka ya uzalendo waoI wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.
Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.
Ghadaf hakujua kuhusu drones surveillance,, mda wote kumbe drone ya marekani, blackhawk ilikuwa imetulia juu ya makazi ya ghadaf na waliweza kumonitor movements zake zote bila yete kujua,Uzuri
Uzuri ni kwamba ghadafi kauawa na raia wake wenyewe, Tena kwa mikono yao wenyewe. Walipomkamata kwenye handaki kajificha. Walimpiga Kama mwizi.
Mjinga wewe, rais wako Samia watoto wake wawili wana ura awa Uingereza.Mgombea urais wanawe Wana urai was nchi nyingine!!!..hawaamini Kama watashinda achilia mbali Shaka ya uzalendo wao
Mjinga mama yako aliyekuzaaMjinga wewe, rais wako Samia watoto wake wawili wana ura awa Uingereza.
Unakomaa na Lissu ambaye watoto wake uraia wao ni kwasababu tu walizaliwa huko.Mjinga mama yako aliyekuzaa
mpinzani wa kweli ni malumumba.Bongo hakuna mpinzani wa kweli
Black hawk si attack helicopter ya marekani!!..kimsingi uingereza waliojifanya kumpa safe escape route ndiyo waliomuuza,na aliuawa na majasusi wa ufaransa, Gaddafi alitishia zaidi maslahi ya ufaransa kwa kutaka kuzifanya francophone countries kutopeleka gold reserve bank kuu ufaransaGhadaf hakujua kuhusu drones surveillance,, mda wote kumbe drone ya marekani, blackhawk ilikuwa imetulia juu ya makazi ya ghadaf na waliweza kumonitor movements zake zote bila yete kujua,
Mmarekani ndio aliwatip, waasi mahali ghadaf anaelekea, msafara wake ukashambuliwa na hadi anajificha kwenye karavati, wamarekani walikuwa wakimuona na wakawadirect wapinzani wake hadi alipokua kafichama
Mjinga mama yako aliyekaa mbuzi kagoma ukazaliwaUnakomaa na Lissu ambaye watoto wake uraia wao ni kwasababu tu walizaliwa huko.
Rais Samia watoto wake uraia wao wa kuomba tena baada ya kuwa wakimbizi. Kama wewe sio mjinga sijui tukuite nani
Rubbish,nilicho andika Ni tofauti kabisa na unacho kijibu,uandika pumba nyingi ,upeo mdogoKuwa binadamu acha roho ya ushetani?. Kuna msanii gani amewahi kulimwa risasi mchana?. Usiingize vichekesho kwenye Jambo serious.
Lissu kalimwa risasi , kafukuzwa ubunge bila sababu , upelelezi mpaka leo haujafanyika na kanyimwa matibabu na marupurupu yake. Nani mwenye akili angeendeleza kuishi kwenye nchi yenye wattu wenye roho mbaya Kama hiyo? Hata Mimi ningehama na kuchukua uraia wa nchi nyingine wenye mioyo mema.