Marekani haujaundwa kwaajili ya MINORITIES hasa hasa mtu Mweusi.Akili kichwani mzee.. Hii nchi walicho nacho wanatengezea mazingira mazuri sana kwa watoto wao na vizazi vyao.. Kesheshe ipo kwa wasio nacho makapuku.. Ubinafai umetalamaki, hadi inafikia viongozi wanatoa matamko ya ajabu tusio na ajira tukachekiwe mirembe, mala tupo wazembe mala tujiajiri.. Ila tu kwakuwa wao wameshiba.. Jobless kama mzabzab atatoka hapo 😅😅
Yeah, niliishi London nikakuta Waarabu walokimbia na Jamsheed ni totally and unrepentantly incorrigible wana nyumba zao Stonetown. Wengine ni mabaharia stowaway wamechanganyikiwa akili zao nilikuwa nawasikia tu kumbe kweli mpo. CIA hoyee!I wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.
Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.
Kama kagame anataka kukumaliza, hata uende kujificha marekani vijijini, watakufikia tu,Wewe kila siku unaleta upuuzi mtupu, hakuna simu hata moja akili yako inakaa sawa?
Nani ilikuambia kuwa Lisu hana kazi? Kama hujui, uliza kwanza kabla ya kuropoka.
Baada ya yeye Lisu kuwa targeted na utawala wa kishetani, ulitaka watoto wabakie hapa ili nao washambuliwe kwa risasi kama ngiri, kama alivyofanywa Baba yao?
Usiwe mjinga, soma historical intelligency uelimike. Unafahamu Mwalimu Nyerere alienda kuificha wapi familia yake wakati wa kupigania uhuru? Unafahamu Samora alienda kuificha wapi familia yake wakati wa mapambano? Unafahamu Augustinho Neto alienda kuificha wapi familia yake wakati wa mapambano? Hivi unadhani wakati wa mapambano familia ya wewe kapuku itawindwa kwa nguvu sawa na familia ya kiongozi wa mapambano?
Sema kuwa ni raia wa marekani, liberia na ufaransa (ana uraia wa nchi tatu) na mwingine ana uraia wa nchi mbili ambazo ni liberia na marekani...Kawaida sana
George Weah ni Rais wa Liberia lakini mtoto wake ni raia wa Marekani na Juzi kaifungia goli nchi yake ya USA kwenye kombe la Dunia
Watoto wake hawana uraia wa nchi moja wana uraia wa nchi tatu na wengine mbiliGeorge Weah ni Rais wa Liberia ila mwanae raia wa Marekani
Si kweli!! Ili kutovuruga mjadala uliopo mezani. Tutafute uzi mwingine unaozungumzia hao 'wahuni wa Benghazi' tulijadili hili kwa kina. Asubuhi njemakauawa na raia wake wenyewe
Hujaelewa. Huu ni uraia wa kuzaliwa. Alihakikisha wanazaliwa huko, kwa njia yoyote. Wakati huu Magufuli wala hajawa Mbunge. Mrs Margaret Thatcher Waziri wetu wa Elimu tukisomaalikuwa na msemo wake: a traitor is a traitor is a traitor.Self preservation
Kama kagame anataka kukumaliza, hata uende kujificha marekani vijijini, watakufikia tu,
Kitu kikubwa wapinzani waache lugha za dharau kwa mamlaka,, watawala wengine hawanaga ngozi ngumu kama JK au samia,,
Lugha sijui eti 2025 hakuna uchaguzi ni kujipalia makaa ya moto tu,, maana uhalisia uchaguzi lazima utafanyika iwe isiwe
Huyu bwege chinembe upeo wake ni duni sana.Kwa sababu huwa mimi nanyoosha Rula ya UKWELI!
chiembe kwa hili unayo hoja ya Msingi!
Ila kule kukaza kwako shingo kutetea wezi,ndio kutafanya hata Point zako zionekane za ki-chama zaidi.
Wakati kuna ukweli ndani yake.
Ila inabidi watu wenye mawazo mema,tafakuri jadudi ndio wanaweza kuielewa mantiki iyopo hapo!
Sema kuwa ni raia wa marekani, liberia na ufaransa (ana uraia wa nchi tatu) na mwingine ana uraia wa nchi mbili ambazo ni liberia na marekani...
Sio kwamba wana uraia wa nchi moja pekee
Pia ni kawaida ukiruhusu uraia pacha kupata raia wa namna hiyo kulingana na fursa zilizopo
Mi nakuambia uhalisia,, uchaguzi utafanyika,, mimi sio ccm na lisu simchukii na ni ndugu yangu kabisa huyo,, lakini ukweli ni ukweli, uchaguzi utafanyikaKwa akili hizi machawa hawataisha. Mbona uchaguzi ulifanyika 2020 na CCM kuiba kura zote. Ila hakuna jipya zaidi ya mgao, tozo, mfumuko wa Bei na ajira ngumu.
Mi nakuambia uhalisia,, uchaguzi utafanyika,, mimi sio ccm na lisu simchukii na ni ndugu yangu kabisa huyo,, lakini ukweli ni ukweli, uchaguzi utafanyika
Akili fupi.Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake.
Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu
Nilishasema mara nyingi, Lisu ni CIA project,, na sasa wanadai wameamua 2025 hakuna uchaguzi,, hii maana yake inaweza kuwa wanapanga kuanzisha machafuko,, time will tell
Jiulize kwanza alifikaje huko ulaya,kwanini Yuko ulaya na si kwenye bunge la Tanzania!!?Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake.
Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu
usimtukane aisee.ana hoja kwa kweli.TISS inatakiwa kuwa inachunguza maisha ya wagombea wetu kabla ya kupewa majukumu makubwa ya taifa .wato wako wote ni raia wa nchi nyengine.wawezaje kuwa rais wetu? usitoe mfano wa Trump au OBAMA. Watoto wao na wao wenyewe ni raia wa marekani.Sasa TL ni raia wa tanzania then watoto raia wa marekani.huoni kwamba watoto hawa ni usalama wa marekani wanaweza kudukua mambo yetu kwa kupewa siri na baba yao? tumia akili aisee.
Acha zogo we we, hatuwezi mpa uraisi huyo kiherereGeorge Weah ni Rais wa Liberia mtoto wake juzi kafunga bao na timu ya taifa ya marekani
So na George ni C.I.A?
Wakina Mandela waliishi Morogoro na Butiama wakati wa ubaguzi wa rangi south africa so hoja yako Haina mashiko.
Rais wa Congo wa Sasa aliishi Sana ubelgiji so na yeye ni mbelgiji?
Huyo trump mwenyewe na obama ukiwatazama hawana hata asili ya marekani lakini wametawala
Obama katumwa na kenya marekani na mke wake alitumwa na israel?
Hoja zako za kipumbavu Sana watu wataishi vipi kwenye nchi ambayo usalama wao hauna uhakika? Hakikisheni kwanza usalama wa watu ndio muanze kuwahukumu.
Wakina Akwilina, Azory, Mawazo wako wapi?