Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli

Mimi kwangu ilikuwa sherehe,kaua wengi sana
 
Yaani kama kuna mkono wa mtu ulihusika basi muhusika ajengewe mnara. Kokote kule alipo Jiwe afe tena
Kwa watu wako hao waliosema wazuri hawafi hawatakufa??? Bora siye tumezoa wakwetu hayupo ila sasa nyie si unaona mmeondokewa na mbobezi mkaanza kulia hahahaha na hapo kifo kilikuwa cha ka inzi je siku ng’ombe akidondoka sijui mtasemaje au tembo a hahahah, kikubwa mlifanya kazi yenu ya kuua vizuri ila kwa sababu Damu ya Dkt Magufuli ni innocent ndiyo maana mlishashindwa kujizuia kujionesha nyie mlihusika kumuua mpendwa wa watanzania, mpakwa mafutwa wa Bwana Mungu aliye hai, sasa mmbeki kujistukia. Mtu pekee angeweza kuwa kimya ni Dkt Kikwete ila sasa tunasema kuhifadhi vitu sirini na watoto kila mara wanataka waoneshe eti wana vitu
 
Kwamba Jiwe alikuwa innocent 😂😂😂😂 hata Sukuma gang wenzako watakucheka,jaribu kuwa serious basi
 
Mpina kaka, tafuta kazi ya kufanya. Mwaka 2025 hatutaki watu wanaopiga mayowe mengi kama nyie. Kwa heri ya kuonana.​
 
Kwamba Jiwe alikuwa innocent 😂😂😂😂 hata Sukuma gang wenzako watakucheka,jaribu kuwa serious basi
Anaitwa mtakatifu Dkt John Joseph Pombe Magufuli. Alikuwa mtu wa watu, mnyenyekevu, na mwenye hekima na uzalendo kwa taifa lake na wananchi wa Tanzania
 
Tume zote zilioundwa nchi hii hazina majibu!
 
Mwanza ni ya Wasukuma?
 
Wachawi wameanza kushikana uchawi.
Ama kweli nimeamini kwamba "Umoja wa Wachawi Haudumu."
 
Huyo ni Rais.
 
Mwenzake kingwangala ameanza kusifia anajua 2025 anaweza asirudi, sasa yeye anajua fika harudi ndio maana anaamua kuvuruga zaidi
 
Mwenzake kingwangala ameanza kusifia anajua 2025 anaweza asirudi, sasa yeye anajua fika harudi ndio maana anaamua kuvuruga zaidi
Suala siyo kusifia, Dkt Samia kama Rais kazi nzuri kafanya tena kajitahidi sana. Sema kinachokera ni kukosa ufuatiliaji etc
 
Magufuli aliuliwa na mazCcm zyenyewe. Wasitupotezee muda kutafuta mchawi.
 
Kabla ya kuunda tume watakuwa wamemuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…