Kwa hiyo Kitila, Mwambe na Waitara ndio wasaliti kuelekea 2025?
 
kazi ya lukuvi, waziri mkuu atafanya kazi gani au nayeye atakuwa chini yalukuvi? Kwa hii ya kabudi sawa, nashauri apitie na ile yenye viulizo ili kutoa sintofahamu
 
Walalamikaji pokeeni 💉💉💉🤣🤣🤣

Ila mliandika mengi haswa juu ya Kabudi.. kama nawaona mnatamani mjifukie na upinzani koko.. wa nchini🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kazi iendelee...
 
Ameamua kuwaosha baada ya watu kuongea saana kwenue Mitandao ya kijamii! Kikubwa Mama ajaribu kupuuza mihemko ya watu wa mitandaoni itamharibia kama atakuwa kila kelele ya mtandaoni anataka kuitolea ufafanuzi! Sijaona haja ya kulisema hilo
Stop that thinking, mitandao Ni one great source of information kilichopo Ni kuchuja habari hizo by using common sense
 
Mbona umepanic kwani tatizo nini Rais apangiwi ujue
 
Samia mjanja sana hizi zote ni mbinu za kuelekea 2025, hao kawavuta karibu aangalie mienendo yao, vinginevyo atuambie hao jamaa wanaweza vipi kutimiza majukumu yao bila kuingiliana na mawaziri wa wizara husika, mamlaka yao ni yapi kwa sheria ipi?

Hizi kazi zisizo na kichwa wala miguu mwishowe mtu anaondolewa kimyakimya bila kuambiwa yeyote. Hili litafanyika baada ya lengo la kuingia ikulu 2025 kutimia, au kuonekana linakaribia kutimia.
 
Waswahili shukrani huwa hamna hata kidogo. Ni kulalamika kwa kwenda mbele.
 
Ameamua kuwaosha baada ya watu kuongea saana kwenue Mitandao ya kijamii! Kikubwa Mama ajaribu kupuuza mihemko ya watu wa mitandaoni itamharibia kama atakuwa kila kelele ya mtandaoni anataka kuitolea ufafanuzi! Sijaona haja ya kulisema hilo
Umeumia baada ya kusikia hivyo?
 
Mwanasheria Mkuu wa serikali kazi yake ni ipi? Kabudi anaenda kua boss wa AG?
 
Huyu ndiye mwenye kazi ambayo Rais ataitangaza hivi karibuni, Kazi hiyo Mimi na wewe hatuijui huenda hi mpaka spika mpya atangazwe, huenda mpaka Bunge liridhie hiyo kazi mpya, huenda.....
 
Samia mjanja sana, hao kawavuta karibu aangalie mienendo yao, vinginevyo atuambie hao jamaa wanaweza vipi kutimiza majukumu yao bila kuingiliana na mawaziri wa wizara husika.
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Ujanja ndio Akili yenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…