Lukuvi na Kabudi waitwa Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia nje ya Muundo wa Serikali
Kwa hiyo Kwanini alisema Kuna watu wanawaza 2025 kwenye Baraza Lake La Mawaziri? Yaani Lengo la kufanya Mabidiriko Ya Baraza ni Yapi? Kama Sio Kutumie Kodi Zetu Vibayaaa

Mnakopa Ili mje mbadiri Baraza La mawaziri?
 
Salaam Wakuu,

Aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi na Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, wametakiwa kwenda Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia ya kuwasimamia Mawaziri...

Unampiga mtoto halafu unampa pipi anyamaze…

😄 daah siasa bwana
 
Leo mh rais alipokuwa akiwaapisha mawaziri na viongozi wengne ikulu ya chamwino aliwasimamisha mzee lukuvi na prof kabudi akesema hao watu amewaacha kwenye cabinet kwa kazi maalum ya kumsaidia yeye huku nae akikiri kuwa kazi hyo haiko kwenye muundo sasa maswali yangu
Je uteuzi huo maalum nini kazi ya pm na vp je hawatoshi
Pili mh raisi anasema hao wawili kazi yao ni kuwasimamia mawaziri wote je watamsimamia hadi pm ki protocal nani mkubwa kati yao na pm na sheria inasemaje kuhusu mtu asiye wazir kuingia kwenye cabinet meeting
Tatu raisi kasema kabudi atasimamia negotiations ya mikataba yote je haitaleta mgongano wa kimaslahi na wazir wa sheria na Ag

Mwisho ni vema mh rais asingetaza uamuzi wake wa kuwatumia hao watu state house in public angewatumia kimya kimya sisi tukijua wametumbuliwa

Nawasilisha
 
Zabayanga Aendelee Na Mazingira Mpaka Yawe Safi
Ahakikishe Miti Inapandwa Sana,
 
Kwahiyo lengo ni kujustify kuwaondoa watu makini wenye uwezo na kupachika vigoigoi uchwara kama kina Nape. Au sio?
 
Back
Top Bottom