Lukuvi na Kabudi waitwa Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia nje ya Muundo wa Serikali
Kumwabudu binadamu ili uende chooni!😁😁😁Nimechagua kuwa mpiganaji💪💪💪
 
Leo mh rais alipokuwa akiwaapisha mawaziri na viongozi wengne ikulu ya chamwino aliwasimamisha mzee lukuvi na prof kabudi akesema hao watu amewaacha kwenye cabinet kwa kazi maalum ya kumsaidia yeye huku nae akikiri kuwa kazi hyo haiko kwenye muundo sasa maswali yangu
Je uteuzi huo maalum nini kazi ya pm na vp je hawatoshi
Pili mh raisi anasema hao wawili kazi yao ni kuwasimamia mawaziri wote je watamsimamia hadi pm ki protocal nani mkubwa kati yao na pm na sheria inasemaje kuhusu mtu asiye wazir kuingia kwenye cabinet meeting
Tatu raisi kasema kabudi atasimamia negotiations ya mikataba yote je haitaleta mgongano wa kimaslahi na wazir wa sheria na Ag

Mwisho ni vema mh rais asingetaza uamuzi wake wa kuwatumia hao watu state house in public angewatumia kimya kimya sisi tukijua wametumbuliwa

Nawasilisha
Naona kama kajishtukia katoa boko bora angekaa kimya tu.

Kwangu mimi Kabudi, Lukuvi na Kimei kukosa uwaziri ni pigo kwa taifa na sizani kama watatumika kama alivyosema.
 
Ninawaza na kubaki mdomo wazi,Kwanin wazee kama akina Lukuvi na Kabudi wamepewa ofisi ikulu ya kumsaidia mama, huku wakiwasimamia wateule wake!

Hapa napata wasiwasi wa mwingiliano wa majukumu na Katibu mkuu kiongozi.

Wakongwe kama akina Paschal Mayala naomba utujuze.
 
Ninawaza na kubaki mdomo wazi,Kwanin wazee kama akina Lukuvi na Kabudi wamepewa ofisi ikulu ya kumsaidia mama,huku wakiwasimamia wateule wake!Hapa napata wasiwasi wa mwingiliano wa majukumu na Katibu mkuu kiongozi.Wakongwe kama akina Paschal Mayala naomba utujuze.
Wala usihofu Mzee wa kurejesha Kwa jamii atakupa mwanga kwani zaidi ya kuwa mwandishi, na mzalendo wa taifa hili ni mwandishi huru, japo Kwa dada anasema amestaafu lakini no Imani yangu kuwa Kwa Yale aliyoamua kurwjesha Kwa jamii no pamoja na kuipa jamii uelewa Kwa mambo yenye mjanganyoko kama hili la Kabudi na Lukuvi.
 
Ninawaza na kubaki mdomo wazi,Kwanin wazee kama akina Lukuvi na Kabudi wamepewa ofisi ikulu ya kumsaidia mama, huku wakiwasimamia wateule wake!

Hapa napata wasiwasi wa mwingiliano wa majukumu na Katibu mkuu kiongozi.

Wakongwe kama akina Paschal Mayala naomba utujuze.
Halafu nini kazi ya baraza la mawaziri? Hapa kwa kweli naona uhuru wa Rais umezidi sana. Yaani anaamua tu kuanzisha ofisi hata haipo kikatiba ?
 
Mtu kama lukuvi, Waziri zaidi ya miaka 20, bado analilia ajira, hivi huyu ana uwezo wa kuweka sera ya vijana kujiajiri kama yeye anasubiri ajira ya ubunge na uwaziri? Pensheni ya uwaziri kwa miaka zaidi ya 20 aliifanyia nini?
 
Mtu kama lukuvi, Waziri zaidi ya miaka 20, bado analilia ajira, hivi huyu ana uwezo wa kuweka sera ya vijana kujiajiri kama yeye anasubiri ajira ya ubunge na uwaziri? Pensheni ya uwaziri kwa miaka zaidi ya 20 aliifanyia nini?
Kwahiyo wewe ndio wakuwabadilikia maboss wako leo, au nawe mwanakulitafuta, au umechoka kuwa mwimba mapambio kutokana na wimbi Kali la tsunami hapo kijani hivi sasa🌀.
 
Halafu nini kazi ya baraza la mawaziri? Hapa kwa kweli naona uhuru wa Rais umezidi sana. Yaani anaamua tu kuanzisha ofisi hata haipo kikatiba ?
MSilalame tulieni dawa iwaingie mliambiwa habari ya katiba mpya mkasema wanaoitaka ni wanasiasa, iweje Leo wananchi wanyonge muikumbuke katiba mpya kwa kelele na maumivu makubwa kiasi hiki, basi msikubali kudangawa na wala keki ya taifa, wanasiasa au unaweza kuwaita wana sii hasa, maana hawamaanishi wanacho tamka.Hasa walionogewa na mamlaka.
 
Close monitoring is the best way to deal with a threat.
====
Sir Blair ameamishiwa kitengo gani?
umemaliza kila kitu mkuu!! hawa watu wawili watu waliwachukulia poa ,lkn Samia anajua ushawishi wao ulivyo mkubwa!! hata hivyo kabudi na lukuvi ,msipozimwe kwa kuwekwa hapo ikulu,2025 tunawategemea ,Kama sio nyny basi mtuletee mtu sahihi !!
 
Back
Top Bottom