James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Ni jambo zuri sana kama kukiundwa hiyo kamati ya kuhakiki mikataba ya serikali. Ila ninachoraka tu Mh Kabudi aachiwe afanye kazi yake kwa uhuru.
Huyu bwana kazi hii inamfaa sana kwasababu hana sifa za kifisadi.
Huyu bwana kazi hii inamfaa sana kwasababu hana sifa za kifisadi.