Labda ana tafuta atoke na kiki gani aje tu na wheelchair kiki hiyo itabamba!
 
ITV walionyesha picha ya gari la Chadema likiwa nje ya uwanja watu wamelizunguka na kukata picha/ilihitaji umakini sana kuweza kuigundua picha hiyo ni jambo ambalo lilichukua sekunde kadhaa tuu....
 
Duhhhh....
Nimasikia miakenda zaidi ya 17, bado naendelea kuzisikiliza miakenda
 
Hii kitu inanifikirisha hata mimi,
Nyerere anaenziwa sana Tz, ndie baba wa taifa letu haina ubishi lakini mbona watoto wake wametengwa? Sijasikia Waziri Nyerere wala RC Nyerere, kuna nini nyuma ya pazia?
Wajuvi mtujuze.
Kinachoniumiza hawa watawala wala hawawapi hata teuzi , yaan nabaki kushangaa tyuuh km sio kustaajabu.
 
Mkuu Roving Journalist ,kongole sana kwa kazi yako ya kutuhabarisha humu jukwaani. Kwa kweli unajitahidi sana sana kutupa kinachojiri kwenye matukio makubwa ya kitaifa yanayotokea huko nyumbani.

Umekuwa msaada mkubwa sana kihabari kwa sisi tulio mbali na nyumbani.

Mungu akubariki sana mkuu.
 
Duhhhh....
Nimasikia miakenda zaidi ya 17, bado naendelea kuzisikiliza miakenda
Profesa anashindwa kujua kuwa sio watanzania wote wanaoelewa, sana sana hata hawa wanafunzi waliotoa mashuleni waje hapa.

Hata kusoma ni shida, bora angepewa hata mwanafunzi wa sekondari asome huu wasifu.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Wale wale wazungusha mikono. Kwani hujui nchi jirani wana lockdown.
Mgeni kutoka nje ya nchi tofauti na mabalozi ni Waziri Mkuu wa Burundi tu! Tatizo ni corona au diplomasia yetu imeshuka kiasi hiki? Tujitafakari na tujisahihishe!
 
yote sawa ila IBADA YA WAFU mungu amekataa.
 
Huyu waziri mkuu Burundi atakuwa aliishi Tanzania. Maana anaongea kiswahili cha Tanzania kabisa.
 
ITV walionyesha picha ya gari la Chadema likiwa nje ya uwanja watu wamelizunguka na kukata picha/ilihitaji umakini sana kuweza kuigundua picha hiyo ni jambo ambalo lilichukua sekunde kadhaa tuu....
Ha ha haaaa yani wameogopa wangeendelea kulionyesha hilo gari Abbas i angewashuhulikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…