raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
ila tuacheni masihara mtoto wa nyerere akose refereee mkapa mwenyewe alikua mlezi wa familiaThat is not the real point.
Nadhani baba yao hakuamua kuchuma na kuwaandalia maisha ya baadae, aliwaacha wajaribu kujitafutia wenyewe bila hata kuwapa referees.
Imagine mzee angeacha makampuni au miradi mikubwa, say apartments kwa ajili yao, leo hii wangekuwa na maisha ambayo wangeheshimika. Tusingewaita walevi.
Kaka niseme tu wazi huu ulioandika ndio ukweli mtupu.That is not the real point.
Nadhani baba yao hakuamua kuchuma na kuwaandalia maisha ya baadae, aliwaacha wajaribu kujitafutia wenyewe bila hata kuwapa referees.
Imagine mzee angeacha makampuni au miradi mikubwa, say apartments kwa ajili yao, leo hii wangekuwa na maisha ambayo wangeheshimika. Tusingewaita walevi.
Kiukweli kipaji cha jamaa ni sanaa ya maigizo ya vichekesho ( comedy).Kuna mmoja nilimuona pale msibani anasoma risala, sasa hizo miakenda alizo zitaja I'm sure zilikua ni zaidi ya 100
Ana heshima za kubumba!Hivi Mkapa amepigiwa mzinga wowote wa heshima?
Mwalimu alipigiwa mizinga ya heshima
Huyu baba alituchekesha wakati tuna msibaKiukweli kipaji cha jamaa ni sanaa ya maigizo ya vichekesho ( comedy).
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Bado hajazikwa.Hivi Mkapa amepigiwa mzinga wowote wa heshima?
Mwalimu alipigiwa mizinga ya heshima
Nami nilikuwa nimekaa tu naziskilizia hizo miakenda 😅Kuna mmoja nilimuona pale msibani anasoma risala, sasa hizo miakenda alizo zitaja I'm sure zilikua ni zaidi ya 100
Waziri Mkuu wa Burundi atawakilisha wote.... Mazishi hayana VyamaNimeona bendera ya Chadema ikipepea nusu mlingoti hapa Masasi mjini ikanilazimu niulize maana niliamini Chadema iliondoka na Cecil Mwambe.
Kumbe makamanda bado wapo bhana na wameniambia wanategemea kuwapokea viongozi wao kutoka makao makuu wakati wowote tayari kwa shughuli ya mazishi ya mzee Mkapa kijijini Lupaso.
Najaribu kumtafuta mwenyekiti wa kanda ya kusini Suleiman Methew walau anidokeze juu ya ugeni huo.
Nitarejea.
Maendeleo hayana vyama!
Bado sijafika Lupaso..... Nitaenda huko mapema asubuhi.Mzee Wa fix, eti upo lipaso sahv
Ova