"Nyie" ni kina nani? Nimehudhuria kumuaga, wananchi walijitokeza kadri ya mapenzi yao kwa marehemu. Sikuona unachokiita siasa msibani, tatizo lako unakuja na mihemko ya UVCCM & BAVICHA.
 
Mkiambiwa ukweli mnaanza kuleta mahubiri. Si nyie mliokua mnajitapa mmezira msiba na bila nyie uwanja ulikua tupu. Poleni siasa misibani mmezianza wenyewe
"Nyie" ni kina nani? Nimehudhuria kumuaga, wananchi walijitokeza kadri ya mapenzi yao kwa marehemu. Sikuona unachokiita siasa msibani, tatizo lako unakuja na mihemko ya UVCCM & BAVICHA.
 
Mkiambiwa ukweli mnaanza kuleta mahubiri. Si nyie mliokua mnajitapa mmezira msiba na bila nyie uwanja ulikua tupu. Poleni siasa misibani mmezianza wenyewe
Naomba taarifa ya kina "NYIE" inayoeleza KUZIRA shughuri ya msiba wa Mkapa.
 
Nani.alimpa.Talaka mwenzake Mkuu,kati yao.Hebu fafanua
 
Jamani jamani,, mbona wametajwa sana tangu mwanzo wa shughuli yenyewe pale msiba ulipotokea? Wamesemwa wako wawili vijana wa kiume Stephen na Nicolaus (huyu wa mwisho kama sijakosea jina lake). Labda uulize sasa wako idara gani kikazi hapo ndio sijasikia wakisemwa.
 
Live ipo angalia milard na global tv

California love
Hao Global TV wametuma watangazaji makanjanja, wanasema Mkapa ni baba wa Taifa? Halafu Lupaso wanaita Luposa! Hii mitangazaji ya kuokoteza tabu tupu!
 
Nashukuru kwa taarifa
 
Quote mbili mbili post imekuuma ee basi mlengwa ushapata ujumbe wako.
"Nyie" ni kina nani? Nimehudhuria kumuaga, wananchi walijitokeza kadri ya mapenzi yao kwa marehemu. Sikuona unachokiita siasa msibani, tatizo lako unakuja na mihemko ya UVCCM & BAVICHA.
 
some time life has no mean let lives by doing better to others R I P HERO
 
Labda utakua haujafuatilia huu msiba, la sivyo ungewaona au kuwasikia
 
Kwa ambao tulikuwa tuna hamu ya kumuona mh RAIS dk JPM Lupaso kwenye mazishi amewasili kwa gari
Karibu JPM kumsindikiza mpendwa wetu
 
Kwa ambao tulikuwa tuna hamu ya kumuona mh RAIS dk JPM Lupaso kwenye mazishi amewasili kwa gari
Karibu JPM kumsindikiza moendwa weru
kachelewa sana na kawasubirisha mno watu aisee.
ratiba inaonyesha ilikuwa afike masaa 4 kabla... siyo fair kabisa, kulikoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…