Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima
"Nyie" ni kina nani? Nimehudhuria kumuaga, wananchi walijitokeza kadri ya mapenzi yao kwa marehemu. Sikuona unachokiita siasa msibani, tatizo lako unakuja na mihemko ya UVCCM & BAVICHA.
 
Mkiambiwa ukweli mnaanza kuleta mahubiri. Si nyie mliokua mnajitapa mmezira msiba na bila nyie uwanja ulikua tupu. Poleni siasa misibani mmezianza wenyewe
"Nyie" ni kina nani? Nimehudhuria kumuaga, wananchi walijitokeza kadri ya mapenzi yao kwa marehemu. Sikuona unachokiita siasa msibani, tatizo lako unakuja na mihemko ya UVCCM & BAVICHA.
 
Mkiambiwa ukweli mnaanza kuleta mahubiri. Si nyie mliokua mnajitapa mmezira msiba na bila nyie uwanja ulikua tupu. Poleni siasa misibani mmezianza wenyewe
Naomba taarifa ya kina "NYIE" inayoeleza KUZIRA shughuri ya msiba wa Mkapa.
 
Kura za maoni wamekataliwa kwao Butiama… kura za Makongoro na Madaraka ukijumlisha hazifiki 7

Walevi wa kutupwa

Jk alijaribu kumsaidi Makongoro kwa kumpa Ujaji Mke wake… Mke alipopata tu Ujaji akampa Talaka

Uswahilini tunasema kwa utani… Nyerere alikuwa na akili nyingi hadi akafyonza za watoto wake
Nani.alimpa.Talaka mwenzake Mkuu,kati yao.Hebu fafanua
 
Samahani kama mwananchi natamani kufahamu na kujua kama marehemu rais wa awamu ya tatu alikuwa na familia yaani watoto.

Kwa sababu toka msiba uko Dar hadi unagika kijijini kuzikwa sijabahatika kusikia wala kuwaona wanaoitwa watoto wa marehemu Mkapa.

Naomba mwenye ufahamu anisaidie
Jamani jamani,, mbona wametajwa sana tangu mwanzo wa shughuli yenyewe pale msiba ulipotokea? Wamesemwa wako wawili vijana wa kiume Stephen na Nicolaus (huyu wa mwisho kama sijakosea jina lake). Labda uulize sasa wako idara gani kikazi hapo ndio sijasikia wakisemwa.
 
Live ipo angalia milard na global tv

California love
Hao Global TV wametuma watangazaji makanjanja, wanasema Mkapa ni baba wa Taifa? Halafu Lupaso wanaita Luposa! Hii mitangazaji ya kuokoteza tabu tupu!
 
Mkuu unauliza vumbi darini! Tena kwenye matangazo jana, nilisikia kuwa wamenunua ng'ombe kadhaa kwa ajili ya mlo wa watakaoshiriki shughuli ya leo. Kwenye msiba mzito hivyo mchele lazima. Nakumbuka nikiwa mtoto nilisikia Jaramog Oginga Odinga, baba yake Raila alipokufa yalichinjwa madume ya ng'ombe 100! Baada ya kuwa mkubwa ndio nimefahamu kwa uhakika nyama ya ng'ombe mia moja ilikuwa nyingi kiasi gani.
Nashukuru kwa taarifa
 
Quote mbili mbili post imekuuma ee basi mlengwa ushapata ujumbe wako.
"Nyie" ni kina nani? Nimehudhuria kumuaga, wananchi walijitokeza kadri ya mapenzi yao kwa marehemu. Sikuona unachokiita siasa msibani, tatizo lako unakuja na mihemko ya UVCCM & BAVICHA.
 
Labda utakua haujafuatilia huu msiba, la sivyo ungewaona au kuwasikia
Samahani kama mwananchi natamani kufahamu na kujua kama marehemu rais wa awamu ya tatu alikuwa na familia yaani watoto.

Kwa sababu toka msiba uko Dar hadi unagika kijijini kuzikwa sijabahatika kusikia wala kuwaona wanaoitwa watoto wa marehemu Mkapa.

Naomba mwenye ufahamu anisaidie
 
Kwa ambao tulikuwa tuna hamu ya kumuona mh RAIS dk JPM Lupaso kwenye mazishi amewasili kwa gari
Karibu JPM kumsindikiza mpendwa wetu
 
Kwa ambao tulikuwa tuna hamu ya kumuona mh RAIS dk JPM Lupaso kwenye mazishi amewasili kwa gari
Karibu JPM kumsindikiza moendwa weru
kachelewa sana na kawasubirisha mno watu aisee.
ratiba inaonyesha ilikuwa afike masaa 4 kabla... siyo fair kabisa, kulikoni?
 
Back
Top Bottom