Maafisa uhamiaji Walivyomtesa mtuhumiwa, Je, Sheria inawaruhusu?

HATA JAMAA MWENYEWE MPUMBAVU. NINGEKUA MIMI NISINGETII HATA MOJA YA AMRI WALIZOKUA WANAMPA. INGEBIDI WATUMIE NGUVU NA INGESAIDIA KUWAUMBUA ZAIDI JAMAA HAWA WALIOHARIBIWA NA AWAMU YA TANO.
Hawa inatakiwa wachukuliwe hatua kali sn washenzi wakubwa
 
Haki za binadamu wako wapi? yaani watu wanatesa sn na hivi vyombo vya CCM
 
Hii ni mbaya kabisa,mfano huyo jamaa angegoma Ndio ile inatokea wanampiga anakufa alafu wanasingizia alitaka kuwa nyanganya silaha ,tabia mbaya sana ,alafu walivyo washenzi wanarekodi kuonyesha watu ,
 
Kazi ya Mahakama ni nini? Iko wapi Rule of law?
 
Ukifanya kosa kama hilo ukapewa choice ya mahakamani au adhabu kama hiyo kwa kosa hilo la kujidai takukuru wewe mleta uzi utachagua nini?Tuanzie hapo!
 
Sitetei kosa la mtuhumiwa, lakini hii siyo njia sahihi za kushughulikia mtuhumiwa ambaye hajatumia nguvu. Huu ni ushenzi wa hali ya juu!!
Yawezekana huyu ana kosa la dhati lakini kesho na keshokutwa anaweza mtu kubambikiziwa tu kosa na kudhalilishwa namna hiyo.
Ninaamini wahusika kama wakitaka wataweza kuwawajibisha watumishi hawa!! Wasipotaka Mungu anawaona! Wasipotaka Mungu ana mkono mrefu!
 
Sasa rais aliteuwa majaji na mahakimu wanini na mahakama Kazi yake nini basi mjini ingejaa mizoga ya wahalifu kama kweli hii ndio funzo
 
Vipi na wewe unafanyakazi ya utapeli mkuu?
Hapana Huyu jamaa nimesoma naye na ni afisa serikalini kuna kitu kinaitwa rights of the accused, rights to be heard...ndiyo mana kuna mahakama...tusiingiliane kimajukumu
 
"Huu ni uhaini" walioiba 1.6 billion hazina mbona hawajakamatwa na kufanyika huu unyama? Kamishna general wa uhamiaji kwa hili jiuzulu tu.
zikafuate mkondo wake.
 
Ukifanya kosa kama hilo ukapewa choice ya mahakamani au adhabu kama hiyo kwa kosa hilo la kujidai takukuru wewe mleta uzi utachagua nini?Tuanzie hapo!
Mahakama ndio yenye Mamlaka ya kuamua kama kuna kosa limetendeka na kutoa adhabu.

Kwenye hili pia mtuhumiwa anatakiwa apelekwe mahakamani na ndio maana mwishoni amefungwa pingu na kuamuliwa akae asubiri.

Vinginevyo angeambiwa umeishaadhibiwa ondoka usirudie tena....

Hao maafisa uhamiaji wametenda kosa hapa na labda wamethibitisha jinsi wanavyokiuka sheria. Huyo kijana afungue kesi ya kudhalilishwa.
 
Binafsi hili mm napongeza kuliko kujeruhi. Hii adhabu tena alitakiwa kuongezwa na mikanda michache ili wapungue
 
Huyu kaonewa huruma sana.

Kweli unaenda Uhamiaji unadanganya kuwa wewe ni PCCB?

Ametapeli Wangapi kwenye taasisi za kiraia?

Piga Mbwa huyo
Kama ni hivyo adhabu haijatosha ,alitakiwa aingiziwe gogo nyuma kenge huyo
 
Safi Sana aisee

Hao matapeli wanaojifanya watumishi wa umma wanastahili adhabu zaidi ya hiyo
 
Unadanganya hadharani?takukuru bandia unajua ni kosa la jinai?Tena uhamiaji?huyu angepewa choice angesema arushwe kichura aende kwake!Baada ya yale walitakiwa wamsamehe ingestahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…