Maaskofu wa Katoliki wakataa mchango wa Shilingi milioni 5.6 kutoka kwa Ruto kwa kanisa la Soweto

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Baraza la Maaskofu wa Katoliki Kenya (KCCB) limekataa michango yote iliyotolewa na Rais William Ruto na Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja wakati wa ibada katika Kanisa Katoliki la Soweto Jumapili.

Katika taarifa yao, Maaskofu walieleza wasiwasi juu ya kutumia majukwaa ya kanisa kwa faida za kisiasa. Walisema michango hiyo inadhoofisha uhuru wa Kanisa na kubadilisha maeneo ya ibada kuwa majukwaa ya siasa.

Ruto alitoa Sh600,000 kwa kwaya na PMC, Sh2 milioni kwa ujenzi wa nyumba ya mapadri, na kuahidi Sh3 milioni zaidi pamoja na basi ya parokia. Sakaja alitoa Sh200,000 kwa kwaya na PMC. Michango yote ilikataliwa na maaskofu wakaahidi kurejesha fedha hizo.

Maaskofu walisema michango hiyo inakiuka maadili ya kanisa na Sheria ya Matangazo ya Kuchangisha Fedha 2024, inayohitaji vibali kwa harambee. Pia waliwataka wanasiasa kuheshimu maeneo ya ibada na kushughulikia changamoto za kitaifa kama ufisadi, haki za binadamu, na kodi kubwa.

PIA SOMA
- Ruto awataka Maaskofu wa Kanisa Katoliki waache Uwongo ni Dhambi. Hii ingekuwa Tanzania hapa pasingetosha!

- Hatimaye Ruto awaangukia Maaskofu wa Kanisa Katoliki asema atarekebisha Makosa yote waliyoorodhesha!
 
Hiyo michango ailete huku bongo kwa yule Mwakajambile aone kama itakataliwa.
 
Baraza la Maaskofu Katoliki Kenya (KCCB) limekataa michango yote iliyotolewa na Rais William Ruto na Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja wakati wa ibada katika Kanisa Katoliki la Soweto siku ya Jumapili.

Katika taarifa yao siku ya Jumatatu, Maaskofu hao walitaja wasiwasi kuhusu utumizi mbaya wa majukwaa ya kanisa kwa manufaa ya kisiasa.

Walisisitiza msimamo wao wa muda mrefu dhidi ya michango ya kisiasa, wakisema kwamba michango hiyo inahatarisha uhuru wa Kanisa na hatari ya kugeuza nafasi takatifu kuwa uwanja wa kujitangaza kisiasa.

Maaskofu wamekataa mchango wa Ruto wa Ksh5.6 milioni

=====

The Kenya Conference of Catholic Bishops (KCCB) has rejected all the donations made by President William Ruto and Nairobi Governor Johnson Sakaja during a church service at Soweto Catholic Church on Sunday.

In a statement on Monday, the Bishops cited concerns over the misuse of church platforms for political gain.

They reaffirmed their long-standing position against political donations, stating that such contributions compromise the independence of the Church and risk turning sacred spaces into arenas for political self-promotion

President Ruto’s donations included Sh600,000 for the church choir and Parish Missionary Council (PMC), Sh2 million for the construction of a priests' house, and a promised Sh3 million for the same project.

He also pledged a parish bus in January upon his visit back to the church.

Governor Sakaja donated Sh200,000 to the choir and PMC.

However, all these contributions were declined, and the bishops confirmed that the funds would be returned to the donors.

"These funds will be refunded to the respective donors. Furthermore, the promised additional Sh3 million for the construction of the Fathers' house, as well as the donation of a parish bus by the President, are hereby declined," Metropolitan Archbishop of Nairobi Philip Anyolo noted in the statement on behalf of the Bishops.

The bishops cited the Public Fundraising Appeals Bill 2024, which requires permits for any fundraising appeals, as part of the legal basis for their rejection.

They highlighted that such contributions violated both the law and the Church’s ethical standards.
"The Church is called to uphold integrity by refusing contributions that may inadvertently compromise its independence or facilitate unjust enrichment," Anyolo said.

He reiterated that politicians should refrain from turning the pulpit into a stage for political rhetoric, as such actions undermine the sanctity of worship spaces.

The Bishops, instead, urged political leaders to demonstrate ethical leadership by addressing the pressing issues raised by the KCCB, including political wrangles, corruption, politics of self-interest, violations of human rights and freedom of speech.

They also cited the culture of lies, issues surrounding NHIF, unfulfilled promises, misplaced priorities, selfish agendas to extend terms of elected leaders, and over-taxation of Kenyans.

The leaders said the church must remain a neutral entity, free from political influence, to effectively serve as a space for spiritual growth and community guidance.

"In light of these directives, and in adherence to the Public Fundraising Appeals Bill 2024 under Section 10(2), it is deemed that any person who solicits or receives money or a benefit conducts a fundraising appeal, regardless of whether the representation made was direct or indirect. Such fundraising appeals require a permit in accordance with the Bill," they said.

Politicians have also been urged to attend services for spiritual nourishment as ordinary Christians while focusing their efforts on addressing pressing national issues.
 
Hii ni ya moto, Katoliki Kenya hawafanyi utani juzi walito walaka unao husu ufisadi nchini ja mojja, Waraka pia ulihusu utekaji, ba kubinya wakosoaji.

Juzi jumapili tarehe 17/11/2024 Ruto na Gavana Sakaya walihudhuria ibada kwenye kanisa moja Nairobi na kutoa mchango na kuahidi kutoa mchango zaidi wa kununua basi na kadhalika.

Sasa Jana usiku Askofu mkuu ambaye yeyehakuwepo hapo kanidani ameamuru mchango wa Raisi Ruto na Gavana Sakaya urudishiwe na pia ahadi walio ahidi iwe canceled.

TEC sasa tumukuwa tukishuhudia Mama yule akitoa mara million 100 mara million 300 sasa ni wakati wakuiga Maaskofu wa Kenya na kusimamia njia sahihi.

Hii sio kwa TEC tu bali na makanisa mengine kama KKT na kadhalika.Makanisani ndio sehemu ya kutakatishia pesa za kifisadi, Na Mama yule anajitahihidi sana kwa hilo. Hatoi mchanho msikitini hapana ni Makanisani tena sana Katolik.

Ni wakati sasa kwa TEC pia kukataa michango ya Mama yule.
 
Sasa ikiwa wewe mwenyewe unamwita mama yule, unataka TEC wadiriki vp🤔

Anyway,

Nijuavyo TEC hutoa warning tatu, ya Kwanza tiari, ya pili tayari, na ya tatu pia wametoa.
 
Hii ni ya moto, Katoliki Kenya hawafanyi utani juzi walito walaka unao husu ufisadi nchini ja mojja, Walaka pia ulihusu utekaji, ba kubinya wakosoaji.
View attachment 3155783


Juzi jumapili tarehe 17/11/2024 Ruto na Gavana Sakaya walihudhuria ibada kwenye kanisa moja Nairobi na kutoa mchango na kuahidi kutoa mchango zaidi wa kununua basi na kadhalika.
View attachment 3155785


Sasa Jana usiku Askofu mkuu ambaye yeyehakuwepo hapo kanidani ameamuru mchango wa Raisi Ruto na Gavana Sakaya urudishiwe na pia ahadi walio ahidi iwe canceled.

TEC sasa tumukuwa tukishuhudia Mama yule akitoa mara million 100 mara million 300 sasa ni wakati wakuiga Maaskofu wa Kenya na kusimamia njia sahihi.

Hii sio kwa TEC tu bali na makanisa mengine kama KKT na kadhalika.Makanisani ndio sehemu ya kutakatishia pesa za kifisadi, Na Mama yule anajitahihidi sana kwa hilo. Hatoi mchanho msikitini hapana ni Makanisani tena sana Katolik.

Ni wakati sasa kwa TEC pia kukataa michango ya Mama yule.
Walaka ndio nini?
=WARAKA
 
Hii ni ya moto, Katoliki Kenya hawafanyi utani juzi walito walaka unao husu ufisadi nchini ja mojja, Waraka pia ulihusu utekaji, ba kubinya wakosoaji.
View attachment 3155783


Juzi jumapili tarehe 17/11/2024 Ruto na Gavana Sakaya walihudhuria ibada kwenye kanisa moja Nairobi na kutoa mchango na kuahidi kutoa mchango zaidi wa kununua basi na kadhalika.
View attachment 3155785


Sasa Jana usiku Askofu mkuu ambaye yeyehakuwepo hapo kanidani ameamuru mchango wa Raisi Ruto na Gavana Sakaya urudishiwe na pia ahadi walio ahidi iwe canceled.

TEC sasa tumukuwa tukishuhudia Mama yule akitoa mara million 100 mara million 300 sasa ni wakati wakuiga Maaskofu wa Kenya na kusimamia njia sahihi.

Hii sio kwa TEC tu bali na makanisa mengine kama KKT na kadhalika.Makanisani ndio sehemu ya kutakatishia pesa za kifisadi, Na Mama yule anajitahihidi sana kwa hilo. Hatoi mchanho msikitini hapana ni Makanisani tena sana Katolik.

Ni wakati sasa kwa TEC pia kukataa michango ya Mama yule.
Safi sana. Wakenya wanaiga siasa chafu za TZ
 
Hamna kitu hapo, wote Hawali kwa Jasho, wanakula kuku kwa mrija... wanaenda kinyume na Mungu wao waliemuapia.... sio wenzetu hao... ukiona hivyo ujue mashavu yao yamebinywa kunako... can't trust both of them, politicians and preachers boil pretty equally in the same pot...
 
Hii ni ya moto, Katoliki Kenya hawafanyi utani juzi walito walaka unao husu ufisadi nchini ja mojja, Waraka pia ulihusu utekaji, ba kubinya wakosoaji.
View attachment 3155783


Juzi jumapili tarehe 17/11/2024 Ruto na Gavana Sakaya walihudhuria ibada kwenye kanisa moja Nairobi na kutoa mchango na kuahidi kutoa mchango zaidi wa kununua basi na kadhalika.
View attachment 3155785


Sasa Jana usiku Askofu mkuu ambaye yeyehakuwepo hapo kanidani ameamuru mchango wa Raisi Ruto na Gavana Sakaya urudishiwe na pia ahadi walio ahidi iwe canceled.

TEC sasa tumukuwa tukishuhudia Mama yule akitoa mara million 100 mara million 300 sasa ni wakati wakuiga Maaskofu wa Kenya na kusimamia njia sahihi.

Hii sio kwa TEC tu bali na makanisa mengine kama KKT na kadhalika.Makanisani ndio sehemu ya kutakatishia pesa za kifisadi, Na Mama yule anajitahihidi sana kwa hilo. Hatoi mchanho msikitini hapana ni Makanisani tena sana Katolik.

Ni wakati sasa kwa TEC pia kukataa michango ya Mama yule.
Siasa za kenya tuziache huko huko,kwani hayo hayo makanisa ndio yalimkumbatia ruto na kusema ni chaguo la Mungu,waliwakataa azimio la umoja hadharani,ambalo lilikuwa kosa kubwa sana,kuchagua upande na walikuwa wanapokea michango ya ruto,sasa eti wameanza kumkataa ruto,hayo ni majibu ya upuuzi wao na ruto anawatukana sawasawa kwani anajua aliwahonga na ushahidi anao
 
Hii nimeipenda.
Hii ni ya moto, Katoliki Kenya hawafanyi utani juzi walito walaka unao husu ufisadi nchini ja mojja, Waraka pia ulihusu utekaji, ba kubinya wakosoaji.
View attachment 3155783


Juzi jumapili tarehe 17/11/2024 Ruto na Gavana Sakaya walihudhuria ibada kwenye kanisa moja Nairobi na kutoa mchango na kuahidi kutoa mchango zaidi wa kununua basi na kadhalika.
View attachment 3155785


Sasa Jana usiku Askofu mkuu ambaye yeyehakuwepo hapo kanidani ameamuru mchango wa Raisi Ruto na Gavana Sakaya urudishiwe na pia ahadi walio ahidi iwe canceled.

TEC sasa tumukuwa tukishuhudia Mama yule akitoa mara million 100 mara million 300 sasa ni wakati wakuiga Maaskofu wa Kenya na kusimamia njia sahihi.

Hii sio kwa TEC tu bali na makanisa mengine kama KKT na kadhalika.Makanisani ndio sehemu ya kutakatishia pesa za kifisadi, Na Mama yule anajitahihidi sana kwa hilo. Hatoi mchanho msikitini hapana ni Makanisani tena sana Katolik.

Ni wakati sasa kwa TEC pia kukataa michango ya Mama yule.
 
Magufuli alikuwa anapeleka bahasha zilizotuna kwa Cardinal yule na bwana Mufti. Huyu wa KK nyingi yeye alikuwa anazifuata mwenyewe maana Yuko kwenye kitengo.
 
Back
Top Bottom