Maaskofu wa Katoliki wakataa mchango wa Shilingi milioni 5.6 kutoka kwa Ruto kwa kanisa la Soweto
Kuna maaskofu wanaoinyooshea serikali vidole kama Catholic hapa kwetu?
Hao akina malasusa na mashekh ubwabwa umewahi kuwasikia?
Wanainyooshea pale masrahi yao ikiguswa sio ya raia, labda issue ya bandari kwasbb walikua wanapitisha vitu vingi bila kulipia kodi, lakini mbona likija suala la kutnguliwa wagombea wa chama kinzani wajitokeze, wizi wa kura, ufisadi wanakua kimya.
 
Ana wasahau hadi wavaa kobazi wenzake
Tuache lugha za dharau,wavaa kobaz wenzie ni akina nani? tunaishi na waislamu na wakristo mitaani kwetu kwa amani na furaha,chochoko za nini? Kama ni michango anatoa kwa dini zote
 
Huku kwetu mtaji wa kwanza wa kanisa ni viongozi wa siasa, hadi kampeni zinafanywa ndani ya nyumba za ibada.
Sasa kumbe hujui,kanisa la kenya ndio zero kabisa kwani ruto alilinunua lote na ndilo likimuingiza madarakani sasa baadhi kama wakatoliki ndio wanaongea muda huu,ila wanaaibishwa maana wanatukanwa sawasawa
 
Sasa kumbe hujui,kanisa la kenya ndio zero kabisa kwani ruto alilinunua lote na ndilo likimuingiza madarakani sasa baadhi kama wakatoliki ndio wanaongea muda huu,ila wanaaibishwa maana wanatukanwa sawasawa
Kama wamejielewa na kuanza kujirudi ni uamuzi sahihi maana hali ingezidi kuwa mbaya kwao na kwa wafuasi wa ukristo.
 
Hii ni ya moto, Katoliki Kenya hawafanyi utani juzi walito walaka unao husu ufisadi nchini ja mojja, Waraka pia ulihusu utekaji, ba kubinya wakosoaji.
View attachment 3155783


Juzi jumapili tarehe 17/11/2024 Ruto na Gavana Sakaya walihudhuria ibada kwenye kanisa moja Nairobi na kutoa mchango na kuahidi kutoa mchango zaidi wa kununua basi na kadhalika.
View attachment 3155785


Sasa Jana usiku Askofu mkuu ambaye yeyehakuwepo hapo kanidani ameamuru mchango wa Raisi Ruto na Gavana Sakaya urudishiwe na pia ahadi walio ahidi iwe canceled.

TEC sasa tumukuwa tukishuhudia Mama yule akitoa mara million 100 mara million 300 sasa ni wakati wakuiga Maaskofu wa Kenya na kusimamia njia sahihi.

Hii sio kwa TEC tu bali na makanisa mengine kama KKT na kadhalika.Makanisani ndio sehemu ya kutakatishia pesa za kifisadi, Na Mama yule anajitahihidi sana kwa hilo. Hatoi mchanho msikitini hapana ni Makanisani tena sana Katolik.

Ni wakati sasa kwa TEC pia kukataa michango ya Mama yule.
Kama huyo Askofu layasema kweli hayo basi ni MPUMBAVU!
 
Back
Top Bottom