AnajipendekezaMichango ya Mama yule hasa kwenda Katoliki imekuwa mingi sana siku za hivi karibuni, why kwenda Katoliki pekee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AnajipendekezaMichango ya Mama yule hasa kwenda Katoliki imekuwa mingi sana siku za hivi karibuni, why kwenda Katoliki pekee?
Huku kwetu mtaji wa kwanza wa kanisa ni viongozi wa siasa, hadi kampeni zinafanywa ndani ya nyumba za ibada.Ni ujinga na siyo lengo la kanisa kuwa linaleta wana siasa kuchangisha fedha kila mara
Ngoja niangalie jina maana mie nimefundisha kenya miaka 8Uko sahihi kabisa memba na pia siasa za Kenya ni za ukabila na inaonekana Askofu huyo ni mjaluo kulingana na Jina lake.
Wanainyooshea pale masrahi yao ikiguswa sio ya raia, labda issue ya bandari kwasbb walikua wanapitisha vitu vingi bila kulipia kodi, lakini mbona likija suala la kutnguliwa wagombea wa chama kinzani wajitokeze, wizi wa kura, ufisadi wanakua kimya.Kuna maaskofu wanaoinyooshea serikali vidole kama Catholic hapa kwetu?
Hao akina malasusa na mashekh ubwabwa umewahi kuwasikia?
Kabisa mkuuTEC wana cha kujifunza kwa wenzao wa Kenya. Acheni kuwakumbatia wanasiasa. Hizo hela zao wanazowapa kila siku kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya Kanisa, zina laana!
Ana wasahau hadi wavaa kobazi wenzakeMichango ya Mama yule hasa kwenda Katoliki imekuwa mingi sana siku za hivi karibuni, why kwenda Katoliki pekee?
Ndiyo maana hakuna baraka ndani ya nchiHuku kwetu mtaji wa kwanza wa kanisa ni viongozi wa siasa, hadi kampeni zinafanywa ndani ya nyumba za ibada.
Wabadili mwenendo huo sio lazima kugandana na kukubaliana nao kwenye kila jambo watakalo.Ndiyo maana hakuna baraka ndani ya nchi
Kanisa linatakiwa kuwa huru, huwezi kuwa huru huku unapokea pesa za rushwa, wanasiasa pesa zao ni zao la wizi, ufisadi na ushirikinaWabadili mwenendo huo sio lazima kugandana na kukubaliana nao kwenye kila jambo watakalo.
Sahihi kabisa mkuuKanisa linatakiwa kuwa huru, huwezi kuwa huru huku unapokea pesa za rushwa, wanasiasa pesa zao ni zao la wizi, ufisadi na ushirikina
Tuache lugha za dharau,wavaa kobaz wenzie ni akina nani? tunaishi na waislamu na wakristo mitaani kwetu kwa amani na furaha,chochoko za nini? Kama ni michango anatoa kwa dini zoteAna wasahau hadi wavaa kobazi wenzake
Japo hilo ni jambo jema lakini halitekelezeki,pia uovu ulioko makanisani na misikitini ni zaidi ya kupokea fedhaKanisa linatakiwa kuwa huru, huwezi kuwa huru huku unapokea pesa za rushwa, wanasiasa pesa zao ni zao la wizi, ufisadi na ushirikina
kwa kipimo kipi kwamba nchi haina baraka?Ndiyo maana hakuna baraka ndani ya nchi
TuwaonyeSahihi kabisa mkuu
Waanze na kukataa fedha za zao la ufisadi na ushirikina kwanzaJapo hilo ni jambo jema lakini halitekelezeki,pia uovu ulioko makanisani na misikitini ni zaidi ya kupokea fedha
Indeed, why?Michango ya Mama yule hasa kwenda Katoliki imekuwa mingi sana siku za hivi karibuni, why kwenda Katoliki pekee?
Nchi ingekuwa na baraka ingekuwa ombaomba huku kuna madini, tanzanite, gas, mifugo, mbuga za wanyama, ardhi safi, mito, maziwa, misitu, milima na kila aina ya rasilimali hapa duniani lakini taifa linaongozwa na watu wa hovyo mafisadi tupu?kwa kipimo kipi kwamba nchi haina baraka?
Sasa kumbe hujui,kanisa la kenya ndio zero kabisa kwani ruto alilinunua lote na ndilo likimuingiza madarakani sasa baadhi kama wakatoliki ndio wanaongea muda huu,ila wanaaibishwa maana wanatukanwa sawasawaHuku kwetu mtaji wa kwanza wa kanisa ni viongozi wa siasa, hadi kampeni zinafanywa ndani ya nyumba za ibada.
Kama wamejielewa na kuanza kujirudi ni uamuzi sahihi maana hali ingezidi kuwa mbaya kwao na kwa wafuasi wa ukristo.Sasa kumbe hujui,kanisa la kenya ndio zero kabisa kwani ruto alilinunua lote na ndilo likimuingiza madarakani sasa baadhi kama wakatoliki ndio wanaongea muda huu,ila wanaaibishwa maana wanatukanwa sawasawa
Kama huyo Askofu layasema kweli hayo basi ni MPUMBAVU!Hii ni ya moto, Katoliki Kenya hawafanyi utani juzi walito walaka unao husu ufisadi nchini ja mojja, Waraka pia ulihusu utekaji, ba kubinya wakosoaji.
View attachment 3155783
Juzi jumapili tarehe 17/11/2024 Ruto na Gavana Sakaya walihudhuria ibada kwenye kanisa moja Nairobi na kutoa mchango na kuahidi kutoa mchango zaidi wa kununua basi na kadhalika.
View attachment 3155785
Sasa Jana usiku Askofu mkuu ambaye yeyehakuwepo hapo kanidani ameamuru mchango wa Raisi Ruto na Gavana Sakaya urudishiwe na pia ahadi walio ahidi iwe canceled.
TEC sasa tumukuwa tukishuhudia Mama yule akitoa mara million 100 mara million 300 sasa ni wakati wakuiga Maaskofu wa Kenya na kusimamia njia sahihi.
Hii sio kwa TEC tu bali na makanisa mengine kama KKT na kadhalika.Makanisani ndio sehemu ya kutakatishia pesa za kifisadi, Na Mama yule anajitahihidi sana kwa hilo. Hatoi mchanho msikitini hapana ni Makanisani tena sana Katolik.
Ni wakati sasa kwa TEC pia kukataa michango ya Mama yule.